Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
Hizo lips sio za mchezo mchezoHeshima kwako.
Mmeo anakufaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo lips sio za mchezo mchezoHeshima kwako.
Usije kumuamini kiumbe kinachoitwa Jinni hata siku moja. Waongo balaa, atakuja kwa sura ya Fatma wakati yeye ni Zwangedaba. Alafu makata ni jina la asili ujue !!.Kwa nini viumbe "majini" yanatumia majina ya Kiislamu? Mfano: Fatuma, Maimuna, Makata n.k.
Regardless, bado naomba div yako ya 4 na 6 if you don't mind. Kushika mkia duniani is nothing kama Akhera yako ipo vyema.hahaha kwa hali hiyo mtaendelea kushika mkia hadi kiama huku mkisingizia nectar
Unaonaje kwa mfano Tanzania kama nchi ingerasimisha michezo kama Judo, Karate na basketball ikawepo mashuleni na ktk mashindano ya kimataifa kama Olympic Watanzania wenzako wanaenda kuiwakilisha nchi na maybe wakarejea na [emoji471][emoji471][emoji146][emoji146]. Huoni kuwa in the long run ingekuwa ni chanzo kingine cha ajira na ingetupunguzia tatizo kwa wale vijana ambao wana Degree na hawana wa kuwaajiri?sasa mnapopata div zero mnalalama kwa necta MNA akili?
pateni degree za judo mukome kulalamikia necta elim elim elim
Nakubaliana nawewe kamanda 100%. Respect kwa bibi yangu tumu. Mungu ampe umri mrefu na taqwa.No disrespect to Mama Mwantum lakini nilikuwa napata taabu kweli kweli ku-connect dots huku nikijiuliza kimya kimya kwamba "Yaani Mama Mwantum huyu huyu ndo awe FF kweli....!"
Ila nimezi-miss sana pilika pilika za uwajibikaji wake! Inawezekana ni kwavile simfahamu vizuri lakini kwangu nilikuwa namuona ni kama mwanamama anayejituma sana kwenye kutekeleza majukumu yake! Aidha, naikumbuka vizuri siku alipowajia juu watu wenye tabia ya kukimbilia kupiga picha kila zinapotokea ajali ili wawe wa mwanzo kuzituma mitandaoni badala ya kujishughulisha na kusaidia majeruhi! Nakumbuka alikuwa mkali kweli kweli ile siku huku akihoji "...yule aliyepata ajali angekuwa dada yako ungekimbilia kupiga picha na kutuma kwenye mitandao?!" Kwa kumbukumbu zangu, yeye alikuwa ndo kiongozi wa mwanzo wa ngazi za juu kukemea jambo hili wazi wazi enzi zile akiwa RC wa Pwani!!
I miss Mama Mwantum!
Hahahahahahaha, kaaz kwelikweli bi faiza akikupa za kitabu chako utasema hizo za Syria sio za Romasiamini kitabu chenu
habar Dada Faiza F. nahsi uko powa, Nilikuwa naomba tofauti kati ya "Scholarship" na "Sponsorship" , na ntaweza vipi kupata sponsor ya kwenda kusoma abroad huwa watu wanapata vipi?
Punguza speed mkuu, na unipe sababu zenye kuendana na jibu lako!Ndio ni kweli 100%
Nijuavyo scholarship hutolewa na vyuo au serikali yetu au ya wahisani kwa wanafunzi waliofanya vizuri ili waendelee na masomo ya juu.habar Dada Faiza F. nahsi uko powa, Nilikuwa naomba tofauti kati ya "Scholarship" na "Sponsorship" , na ntaweza vipi kupata sponsor ya kwenda kusoma abroad huwa watu wanapata vipi?
Hahahaaa umenifanya nipaliwe na maji duuuJe ni kweli kuna watu wanavaa mabomu kiunoni?
Too good to be true‘’In the perspicuous Arabic tongue.’’2
‘’We sent not a messenger except (to teach) in the language of his (own) people, in order to make (things) clear to them.’’3
The verse above states that our prophet (pbuh) conveyed the message to the Arabs, who were in his own nation, by using their own language.
Because being language of the Quran and the language that our prophet Hz Muhammad spoke is Arabic, the language of Paradise is unmistakably Arabic. Before Hz Adam was sent to earth, he would speak in Arabic while he was in Paradise. And also this is the language that some of the other prophets spoke as well as our prophet
TB Joshua is a big liar....he's not a messenger of God
Kafir ni mtu yeyote yule asiekuwa muislam,ebu acha unafki ww dadaMwenye kukufuru.
Lakini wazungu na mpaka leo huko South Afrika wanawaita watu weusi "kafirs".