wewe the book ebu angalia taswira nima kwa sasa ya wizara ya elimu huyu mama hafai mimi ni mkristu ila kwa kwer huyu mama fitina zake ana mengi ya kuya jibu baada ya umauti wake je ni haki kuwabadilishia ufaulu vijana wa kidato cha sita baada ya mtihani si haki hata sekunde pili swala la mikopo ana ruka ruka tu kwa hili namuunga mkono kabisa faiza foxy juu ya figisu zake pale necta ila atmbue kila kitu kina mwisho wake ........Ufaulu unaletwa na NECTA??
ebu leta ushahidi kuwa wanafelishwa na NECTA.
na sio kutumia itikadi.
HUYO HUYO MAMA JE NI KWELI UKOO WAKE NDO UNATAWALA SAUDIA LEO?Abubakar wapo wengi, lakini kama unamaanisha Abubakar Abdallah Bin Quhafah As-Siddiq, huyu alikuwa ni swahaba na baba mkwe wa Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam kwa Bi Aisha na pia alikuwa Muislam wa kwanza kutangaza wazi Uislam wake wakati wa Mtume nje ya familia ya Mtume.
Licha ya hayo, pia alikuwa ni mshauri muaminifu wa Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam na kaja kuwa kiongozi mkuu (khalifa) wa Waislam wa kwanza baada ya Mtume.
nmeona niulize hiliMimi ni mwanachama hai wa CCM na mpiga debe wao maarufu humu JF. Si zaidi ya hayo.
Mkuu,hata kwangu hafai ila sio kwasababu za 'kidini'.!!!!wewe the book ebu angalia taswira nima kwa sasa ya wizara ya elimu huyu mama hafai mimi ni mkristu ila kwa kwer huyu mama fitina zake ana mengi ya kuya jibu baada ya umauti wake je ni haki kuwabadilishia ufaulu vijana wa kidato cha sita baada ya mtihani si haki hata sekunde pili swala la mikopo ana ruka ruka tu kwa hili namuunga mkono kabisa faiza foxy juu ya figisu zake pale necta ila atmbue kila kitu kina mwisho wake ........
unajua watu wana hisia na wasingeenda kuandamana ila hayo tuyaache hapa hapa ila uyu maza hakustahili kabisa kupewa wizara na endapo angekuwa lecture ingekuwa balaaa maana angemwaga sup dalasa nzimaMkuu,hata kwangu hafai ila sio kwasababu za 'kidini'.!!!!
kwenye udini ata mimi ni kama 99% siaminangetoa sababu za mikopo au zingine,ila sio hizo.
Wewe ni mtetezi wa waislamu au wananchi woteSina chuki na Joyce Ndalichako bali nnauhakika si kiongozi mzuri, alivurunda kama mkuu wa NECTA mpaka baadhi ya Waislam wa Tanzania wakaandamana kumkataa. Jikumbushe:
Duh, 1982??? Shikamoo!!Nna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
iyo avatar ndio wew mwenyew?
Maa Sha Allah..Kasome post namba 43.
Licha ya hiyo, kuna kozi nyingi sana na seminar nyingi sana za taaluma mbali mbali nimepitia sehemu nyingi duniani. Lakini katika yote hayo hakuna taaluma niliyoipata zaidi na iliyonifunguwa ubongo na macho kama Qur'an, kusafiri na kujisomea mwenyewe kila nnapopata nafasi.
Hivi kweli kwa fikra zako, waziri wa elimu kazi yake ni ku-mark mitihani? Mpaka mseme waislamu mnafelishwa?! Na je, ktk wizara ya Elimu hamna waislam? Hivi kwanini waislamu huisi kuonewa katika kila jambo?!Baada ya kufanya figisu pale NECTA.
Lol....kumbe watu humu wanavyokuita bibi ni kweli? Mi nikajua ni maneno ya watu.Nna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
Lol.....huna sababu ya kumpenda?! [emoji28] [emoji28] [emoji28] we huwa hupendi wakristo so sio ajabu kusikia hivyo.Sina sababu ya kumchukia Nyerere kama Nyerere wala sina sababu ya kumpenda.
FaizaFoxy tunaomba analysis yako, nini hitma ya Tanzania iwapo Trump akichukua nchi?
Tayari USA baby wameshatukatia msaada wa Millennium Challenge Goal pamoja na msaada wa madawa uliokuwa ukipitia USAID.
Mpaka sasa Donald Trump anaongoza kwa kura 244 dhidi ya 214 za Hilary Clinton