Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa



1. Vyama vya siasa vya upinzani vinaongelea sana "watu" na "matukio" havina "ideas" mpya yoyote. Hilo ndiyo kosa lao kubwa.

2. Tanzania si masikini bali Watanzania ni masikini na umasikini wetu ni wa akili. Hapa nnaungana na Lowassa kwa kumnukuu tu, "elimu, elimu, elimu". Watanzania inabidi tufumuwe kabisa mfumo wetu wa elimu uliopo sasa na tuliourithi ukoloni. Mfumo mzima umeelekea katika kutengeneza watumwa mambo leo na si katika kutengeneza "ma bosi" wa kesho.

3. Nnakuomba pitia hapa: Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu
 
Unasema kweli kwamba miaka 38 uko kwenye ndoa? Basi shikamoo mamdogo. But you behave quite different from your true age!!!! "Kama ni kweli!!!"

Naam, ni ukweli kabisa.

Unanionaje "behaviour" yangu? Wakati hapa unayoyaona ni maandiko tu.
 
Utaweza kunijibu haya maswali.
1. What is philosophy in your life.
2. What is time?
3. Which one is more power, love or fear.
4. Are you religious or spiritual
5. Are you confrontational?
6. Jina lako lina maana gani? Na unaamini vipi maana yake sababu zipi zilizofanya ukapewa jina lako halisi la kuzaliwa, na kwa misingi ipi.


Ni hayo tu.
 
Nitapataje nakala ya kitabu cha Agoro Anduru TEMPTATION
 
Umekosea, u shabaab umeshanitoka, mimi sasa ni mtu mzima wa makamo.

Jee, unafahamu kuwa hata "Yanga" maana yake ni Al Shabaab?
nazungumzia kule kujitundika mabomu mgongoni.

unazungumziaje hilo........
 
Wewe ungekuwa mwalimu hufai hata kufundisha mbwa.Mimi si mwalimu wa kiswahili lakini mtu yeyote aliesoma kiswahili vizuri hawezi kukubaliana na utumbo wako kuhusu hilo tu dogo neno jini.Wewe andika kama unavyotaka lakini kama ungekuwa mtihani lazima hapa ungekula mweleka.Kwenye mada ya TEZI DUME pia uliemtumia kueleza nae amechapia kwa kudanganya wasomaji kueleza vitu vya uongo.Rejea ufafanuzi nilioutoa ndio sahihi.Halafu elewa kuwa wewe huwezi kujua vitu vyote duniani,na lazima ukubali kukoselewa kwa sababu kufanya hivyo ni sehemu ya kujifunza,ni Mungu pekee ndiye anaejua kila kitu.
 


Hata hivi sasa siwezi wala sijuwi kufundisha mbwa. Hongera wewe unaeweza kufundisha mbwa, "birds of a flock...".

Umekazana "neno jini", Jinni ni jina la kiumbe kama vile Binadam. Kumbuka hilo.

Vipi, nikuletee mbwa wangu unifundishie?
 
Halafu wewe umeathirika mno na mfumo wa elimu ya Kiarabu ambao hauna tija katika ulimwengu wa sayansi na teknolojia,na ndiyo maana Mwarabu anamtegemea Mzungu kwa kila hitaji katika maisha yake yote.
 
Hata hvi sasa siwezi wala sijuwi kufundisha mbwa. Hongera wewe unaeweza kufundisha mbwa, "birds of a flock...".

Umekazana "neno jini", Jinni ni jina la kiumbe kama vile Binadam. Kumbuka hilo.

Vipi, nikuletee mbwa wangu unifundishie?
Nioneshe kwanza hayo majini(siiti majinni)yanapatikana wapi ili tuweze ku-visualise physically yakoje.Hayo ni mambo yakufikirika hakuna binadamu yeyote anaeweza kumwona jini.Wale wote wanaodhaniwa wana majini ukweli wa mambo huwa wamepata mental breakdown.
 
Hili ni tatizo la kujua machache ukafikili unajua mengi.Ni janga kwa wengi.Unaongelea vitu vingi na vikubwa vinavyohitaji uelewe mpana wa kiislamu.
Katika nchi ambazo si za kiislamu,Uislamu unaangalia utawala wa haki,kama kuna haki na watu wanaruhusiwa kuabudu dini inavyosema,waite demokrasia,ubepari,ujima nk dini haikupinga hili. Kuna nchi nyingi za ulaya na marekani zina sheria nyingi ambazo zimetajwa kwenye dini kuliko nchi zinazijiita za kiislamu; mfano haki za binaadamu.tafuta somo/kitabu cha 'makasida sharia' utaelewa zaid haya masuala,pia kuna mwanazuoni wa ki egypt kwa sasa yupo Canada anaitwa JASSER AUDA huyu ni msomi aliekubuhu na ni mwalimu wa sharia mfuatilie utajifunza mengi.
Salaam
 
Tyupa
Vipi juu hapo, unaongea mwenyewe unajijibu mwenyewe, umechanganyikiwa?

Makubwa!
Siwezi kuchanganyikiwa na vitu vyepesi kama hivi ila nina mashaka na wewe unaejidai kulingana na Mungu kwa kujua kila kitu wakati ni mwepesi sana.
 
Kwa maelezo hayo kutoka kwenye Qur'an huoni kama yana halalisha mauaji ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…