who are the real children of Israel?
degree mwaka 1982 ? hukupata cheo chochote nchini hapa?Nna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
Haya madai kwamba Mwislamu akifa katika kuupigania Uislamu (mf. Kwa kujitoa mhanga maisha yake) anakwenda akhera na anakabidhiwa mabikra 72 wasiomaliza ubikra na kuwafaidi milele na milele ni ya kweli na yana misingi yo yote katika Uislamu au ni porojo tu za makundi haya ya kigaidi yanayotumia Uislamu kama mwamvuli wake? Madai haya yamo katika Quran tukufu au katika hadithi za Mtume?
Wote ni viongozi bora ndiyo maana wakapata nafasi za kuongoza watu zaidi ya million 40.
Kwanini ume-quote kwa kingereza na sio kiarabu wala kiswahili?Kama usemavyo hayo ni "madai" tu, sasa ni "madai" ya nani, mimi sielewi.
Ukitaka kuujuwa Uislam nnakushauri usijifunze kutoka kwa wasio Waislam. Jifunze amma kutoka kwa Waislam wenyewe au pitia Qur'an, jisomee:
Qur'an 04:95.
The holders back from among the believers not disabled by injury, and those who strive hard in Allah's way with their property and their persons, are not equal. Allah has made the strivers with their property and their persons to excel the holders-back a (high) degree. And to each Allah has promised good. And Allah has granted to the strivers above the holders-back a mighty reward
Ulishawahi kushika hela ya muuza kitimoto?
Je unaweza tumia sahani iliyooshwa baada ya kiti moto kuliwa?
Hongera mkuu!Nna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
A,aleukoum,nauliza mama,nilioa,baadae mke akadai talaka,nikamwambia afuate utaratibu,yaani aikomboe talak,nikampa,sasa anadai turudiane,alishawishiwa tu,kidini inawezekana kurudiana?
Sijawahi kukuona ukijibu kwa kiingereza sehemu yeyote. Pia nina mashaka na elmu yako.
Yesu wa kwenye Biblia.Yesu wapo wengi na "isa" wapo wengi unamaanisha wepi? Funguka kidogo.
mbona swali langu hujajibuHta uzi huu nimeshajibu Kingereza nilipoulizwa kwa Kingereza, kajisomee: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa
Kuwa na mashaka ni ubinadam, siwezi kukuziwia kwa hilo na sijaomba kazi kwako. Upo hapo ulipo?
Acha uzinifu, naimani kama uliolewa kwa ndoa ya kiislam ulishafunzwa namna ya kufanya baada ya tendo na mumeoNaomba nifundishe namna ya KUOGA JANABA mimi mwanaume wa kiislam!
Aslam aleikum muislam mwenzangu na ndugu yangu kiimani.Ni na maswali kama matatu hivi la kwanza wewe ni mfuasi wa ccm chama tawala moja ya ahadi zenu nikupiga vita rushwa swali zile milioni kumi zilitoka wapi na wabunge walipewa kwa kwakazi gani? Swali la pili muheshimu anatumia nguvu nyingi sana kukandamiza Uhuru wa kukosoa kwa maana ya kutoa maoni,kupiga marufuku mikutano ya hathara ambayo inatusaidia sisi wanachi wakawaida kujua mapungufu ya serikali pamoja na kutoonyesha bunge live swali ni ya mh kufanya yote hayo kwa nguvu kubwa paka kutoa milioni kumi kwa wabunge ni IPI? Tatu mlituaidu ajira mh kasema uwakiki ulikuwa miezi miwili imesha imepita mda lakini paka Leo ajira hamna mikopo ya wanavyuo kizungu mkuti nini tatizo linalokwamisha?
Umekuwa mkosoaji mkubwa wa matumizi mabovu ya misamiati hususani katika lugha ya kiswahili, je wewe ni mmoja wa wanataaluma wa lugha ya kiswahili?
Mimi siamini kama ufaulu unaletwa na NECTA ila nafahamu NECTA ni waratibu wa mitihani Wanasimamia utungaji, ufanyaji wa mitihani hiyo (kwa kushirikiana na baadhi ya walimu na askari polisi) , usahihishaji (hapa ni baadhi ya walimu wanahusika pia) na utoaji wa matokeoUfaulu unaletwa na NECTA??
ebu leta ushahidi kuwa wanafelishwa na NECTA.
na sio kutumia itikadi.