Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

who are the real children of Israel?


In the Qur'an we have a complete surah (chapter) on Children of Israel, called Al Isra or Bani Israel, besides, we have many other verses in the Qur'an which mentions Children of Israel.

We strongly advise you to read the said surah (Surah Al-Isra [17]) and you may also want to read the following verses on Children of Israel; Quran Index - Children Of Israel
 
Haya madai kwamba Mwislamu akifa katika kuupigania Uislamu (mf. Kwa kujitoa mhanga maisha yake) anakwenda akhera na anakabidhiwa mabikra 72 wasiomaliza ubikra na kuwafaidi milele na milele ni ya kweli na yana misingi yo yote katika Uislamu au ni porojo tu za makundi haya ya kigaidi yanayotumia Uislamu kama mwamvuli wake? Madai haya yamo katika Quran tukufu au katika hadithi za Mtume?


Kama usemavyo hayo ni "madai" tu, sasa ni "madai" ya nani, mimi sielewi.

Ukitaka kuujuwa Uislam nnakushauri usijifunze kutoka kwa wasio Waislam. Jifunze amma kutoka kwa Waislam wenyewe au pitia Qur'an, jisomee:

Qur'an 04:95.
The holders back from among the believers not disabled by injury, and those who strive hard in Allah's way with their property and their persons, are not equal. Allah has made the strivers with their property and their persons to excel the holders-back a (high) degree. And to each Allah has promised good. And Allah has granted to the strivers above the holders-back a mighty reward
 
Kama usemavyo hayo ni "madai" tu, sasa ni "madai" ya nani, mimi sielewi.

Ukitaka kuujuwa Uislam nnakushauri usijifunze kutoka kwa wasio Waislam. Jifunze amma kutoka kwa Waislam wenyewe au pitia Qur'an, jisomee:

Qur'an 04:95.
The holders back from among the believers not disabled by injury, and those who strive hard in Allah's way with their property and their persons, are not equal. Allah has made the strivers with their property and their persons to excel the holders-back a (high) degree. And to each Allah has promised good. And Allah has granted to the strivers above the holders-back a mighty reward
Kwanini ume-quote kwa kingereza na sio kiarabu wala kiswahili?
 
FaizaFoxy nijibu swali langu. Kwanini unapenda kusahihisha watu saana wakati wewe unakosea zaidi ya unaowasahihisha katika lugha ya kiswahili.

Kwenye kichwa cha mada.
Darsa ndiyo nini?
 
Aslam aleikum muislam mwenzangu na ndugu yangu kiimani.Ni na maswali kama matatu hivi la kwanza wewe ni mfuasi wa ccm chama tawala moja ya ahadi zenu nikupiga vita rushwa swali zile milioni kumi zilitoka wapi na wabunge walipewa kwa kwakazi gani? Swali la pili muheshimu anatumia nguvu nyingi sana kukandamiza Uhuru wa kukosoa kwa maana ya kutoa maoni,kupiga marufuku mikutano ya hathara ambayo inatusaidia sisi wanachi wakawaida kujua mapungufu ya serikali pamoja na kutoonyesha bunge live swali ni ya mh kufanya yote hayo kwa nguvu kubwa paka kutoa milioni kumi kwa wabunge ni IPI? Tatu mlituaidu ajira mh kasema uwakiki ulikuwa miezi miwili imesha imepita mda lakini paka Leo ajira hamna mikopo ya wanavyuo kizungu mkuti nini tatizo linalokwamisha?


Hizo "millioni kumi" mimi nnazisoma humuhumu JF, sijaona ushahidi wowote kwa hiyo siwezi kuziongelea zaidi ya kupiga porojo za hapa na pale kama ilivyo kawaida ya barza lolote lile. Si kila ukisikiacho ni ukweli, jee mwenzangu ulikuwepo wakigawana hizo "million kumi kumi"?

Hayo mengine yote uliyoyauliza ukipitia mkanda wa video wa Rais Magufuli alipoongea na waandishi wa habari Ikulu alishayajibu, sionisababu yamimi kujibu maswali amabayo Rais kishayajibu. Tazama hii:

 
Umekuwa mkosoaji mkubwa wa matumizi mabovu ya misamiati hususani katika lugha ya kiswahili, je wewe ni mmoja wa wanataaluma wa lugha ya kiswahili?


Ukinisoma vizuri, mara nyingi huwa nnasahihisha inapokosewa pa kuwekwa herufi ya R na L. Inanikera.

Mimi si mtaalam wa Kiswahili isipokuwa ndiyo lugha mama kwangu.
 
Ufaulu unaletwa na NECTA??

ebu leta ushahidi kuwa wanafelishwa na NECTA.

na sio kutumia itikadi.
Mimi siamini kama ufaulu unaletwa na NECTA ila nafahamu NECTA ni waratibu wa mitihani Wanasimamia utungaji, ufanyaji wa mitihani hiyo (kwa kushirikiana na baadhi ya walimu na askari polisi) , usahihishaji (hapa ni baadhi ya walimu wanahusika pia) na utoaji wa matokeo
Kwaiyo kwa maana nyepesi NECTA hawana mamlaka ya kuleta ufaulu maana hata wao hawashughuliki nao
 
Back
Top Bottom