Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Naomba kuuliza nin chanzo cha bawasiri,na je dawa yake niipi naomba msaada ktk hili,

Bawasiri ina vyanzo vingi, pamoja na haja kuwa ngumu.

Niliwahi kuona dawa humu humu JF imetangazwa kuwa inaponesha bawasiri pia, nami kwa kuwa nilikuwa nayo hiyo dawa ninaitumia kwa kulainisha nywele na ngozi, basi kuna siku mtu alilalamika ana tatizo la bawasiri nami nikampa akaijaribu. Naam, baada ya siku tatu alikuja kunishukuru kuwa tatizo limeisha.

Ni "Aunt Zainab's Natural Super Clay".

Pitia link hii: Pata elimu kuhusu ugonjwa wa kuota vinyama sehemu za siri (Bawasiri, Hemorrhoids)
 
Bawasiri ina vyanzo vingi, pamoja na haja kuwa ngumu.

Niliwahi kuona dawa humu humu JF imetangazwa kuwa inaponesha bawasiri pia, nami kwa kuwa nilikuwa nayo hiyo dawa ninaitumia kwa kulainisha nywele na ngozi, basi kuna siku mtu alilalamika ana tatizo la bawasiri nami nikampa akaijaribu. Naam, baada ya siku tatu alikuja kunishukuru kuwa tatizo limeisha.

Ni "Aunt Zainab's Natural Super Clay".

Pitia link hii: Pata elimu kuhusu ugonjwa wa kuota vinyama sehemu za siri (Bawasiri, Hemorrhoids)
Shukrani sana
 
Je nin chanzo cha miguu kuuma kuanzia magotini kushuka chini?imenianz ghafla Jana hadi napata homa nashangaa sababu hata miaka 26 sijafika naomba ushauri wako,ingawa najiandaa kwenda hospital hadi najihisi kukata tamaa
 
Je nin chanzo cha miguu kuuma kuanzia magotini kushuka chini?imenianz ghafla Jana hadi napata homa nashangaa sababu hata miaka 26 sijafika naomba ushauri wako,ingawa najiandaa kwenda hospital hadi najihisi kukata tamaa

Ni vyema sana ukaanzia kwa kuwaona madaktari.

Mambo mengi sana yanaweza kusababisha miguu kuuma. Hata viatu vinaweza kusababisha miguu kuuma. Ni wazo jema sana hilo la kwenda hospitali.

"First aid" mbadala ni kuchemsha maji ya moto yenye chumvi nyingi, unaweka kwenye beseni na yanapoanza kupowa kiasi kuwa ni ya moto lakini hayaunguzi, unatumbukiza miguu ndani ya hilo beseni na kuiroweka mpaka yapowe kabisa.

Hii ni "home remedy" tu na suluhisho kamili la tatizo lako inabidi umuone daktari haraka iwezekanavyo.
 
Ni vyema sana ukaanzia kwa kuwaona madaktari.

Mambo mengi sana yanaweza kusababisha miguu kuuma. Hata viatu vinaweza kusababisha miguu kuuma. Ni wazo jema sana hilo la kwenda hospitali.

"First aid" mbadala ni kuchemsha maji ya moto yenye chumvi nyingi, unaweka kwenye beseni na yanapoanza kupowa kiasi kuwa ni ya moto lakini hayaunguzi, unatumbukiza miguu ndani ya hilo beseni na kuiroweka mpaka yapowe kabisa.

Hii ni "home remedy" tu na suluhisho kamili la tatizo lako inabidi umuone daktari haraka iwezekanavyo.
Ok shukrani
 
Eti TEZI DUME inapimwaje?🙂😉


New prostate cancer test that 'smells' the disease in urine could save lives and spare men from invasive procedures
  • More than 1.1 million cases of prostate cancer recorded globally in 2012
  • Test uses a special tool to 'smell' for the cancer in a man's urine
  • Current investigations to diagnose are invasive and not always accurate
  • Accurate urine test could spare men from having to undergo a biopsy
  • See more news on cancer treatment for prostate cancer


Read more: New prostate cancer test that 'smells' the disease in urine and will save lives | Daily Mail Online
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook
 
FaizaFoxy, unadhani ni nini hatma ya mdororo wa kisiasa visiwani Zanzibar?


Zanzibar kwa mtazamo wangu, Maalim Seif si mpinzani wa kweli na kama ni mpinzani basi ameishiwa na mbinu na hana ubunifu tena.

Yote kwa yote nnahisi Zanzibar ni kama "time bomb" lililopoteza majira, linaweza kuripuka wakati wowote.
 
Kwa maadili mema tu, katika vitu ambavyo hupaswi kumuuliza mtu, ni miaka yake mingapi?

Kingine ni kumuuliza mtu kama "una watoto"?

Vipo vingi lakini kwa leo hivyo vitakutosha kuvifikiri.

*Wale wote watakaoona nimewapa link ya kuja post hii waelewe kuwa swali lao liko nje ya maadili.

kwa hiyo wewe kwenye form za kiofisi ambazo wanauliza date of birth unawajibugi hivi ulivyojibu hapa?
 
= unawajibu

Kwani hapa nnaomba kazi?

kwa akili zangu ndogo maadili ya apply kote ata kwenye kazi au kwenye maulaji maadili yanakaa pembeni kidogo? maana huyu muajiri wako ni binadamu sawa na huyu aliyekuuliza hapa sema tuu yeye kauliza kwa kupitia marimba ya mzungu
 
kwa akili zangu ndogo maadili ya apply kote ata kwenye kazi au kwenye maulaji maadili yanakaa pembeni kidogo? maana huyu muajiri wako ni binadamu sawa na huyu aliyekuuliza hapa sema tuu yeye kauliza kwa kupitia marimba ya mzungu

Binafsi nachukulia kumuuliza mtu umri wake ni ubaguzi.

Wewe una mtazamo wako ambao una uhuru wa kufikiria upendavyo kwa "akili zako ndogo".
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Back
Top Bottom