Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,224
- 995
What are you trying to accomplish?Kiongozi.
Je wafahamu kwanini Suuratu TAWBA haikuanza na Bismillah?
Naomba tuwekana sawa.
Na hesabu Sura zote 114, utakuta kila Sura ina Bismillah kasoro Suuratu TAWBA, ili upate idadi ya Bismillah 114 ihesabie na Bismillah iliyomo kwenye Suuratu NAMLI, ambayo kwa jumla yote unapata,
Sura 114, na Bismillah 114.
Je hapo haijalipia?
Binafsi nachukulia kumuuliza mtu umri wake ni ubaguzi.
Wewe una mtazamo wako ambao una uhuru wa kufikiria upendavyo kwa "akili zako ndogo".
kweli mie akili zangu ndogo, wala sibishi. lakini kwa akili zangu ndogo nashindwa kuelewa kwa nini sababu zinakuwa nyingi, mara sio maadili mara ni ubaguzi. which is which sasa?
alafu katika ulimwengu huu ubaguzi utaendelea kuwepo tuu tupende tusipende
Ukisoma comment ya mtu niliye m'quote' mimi utajua kwanini nilimjibu hivyo.Na Mapepo ni nini?
Ukisoma comment ya mtu niliye m'quote' mimi utajua kwanini nilimjibu hivyo.
Ila waweza kunisaidia majina walau matatu ya majini unayoyajua kutokea hapo nadhani utaelewa zaidi.
Naomba unijibu Swali langu.What are you trying to accomplish?
Hapo sasa nimekuelewa.Ukisoma comment ya mtu niliye m'quote' mimi utajua kwanini nilimjibu hivyo.
Hata mimi nasikitika sana.ntarudi kuendelea na darsa,nimechelewa kuona hii post japo kwa comment chache nimeona manyang'au fulani yanauliza maswali ya kijinga sana
Huu Uzi, Lengo lake lilikuwa zuri sana.Hongera mama, wewe ni mwanamke wa pekee!!! Unauwezo wakujibu kwa hoja pia atakaye kuja kwa utumbo utamjibu kiutumbo
Umeona e...Ndio Watanzania walivyo, hawajui kuwa hata Kama Faiza foxy wanamchukia au Wana misimamo tofauti lakin ni Miongoni mwa Member wachache waliojipambanua kuwa na General knowledge kubwa sana na huenda tungefaidika kwa kuuliza Maswali muhimu.
I love me some FAIZAMakafiri hata hapa walikuwepo.
Damned if you do damned if you don't .
Pole sana.Kwa zaidi ya wiki tatu mpenzi wangu amekuwa akiniambia hapati hisia zozote anapokuwa faragha na mimi. Imefikia kipindi anaomba nimpe break aweze kujitafakari kama andelee kuwa na mimi au tuachane kabisa. Na mimi bado nampenda.
Je nifanye dada faiza, naomba ushauri.
Kwa kweli ni janga.Inashangaza sana mkuu, na hii ndo sample frame ya Watanzania tulionao, I wonder what were our expectations kwa Wahariri waliopewa nafasi ya kuuliza maswali Ikulu ikiwa IQ yetu wanajamii ipo too low to Ask meaningful questions.
Naomba appointment.Unaweza kuniona.
Nafikiri tuishie hapa hayana faida kwa hadhira. Muhimu ni kuonyesha mahaasinil islaam kwa wengineNaomba unijibu Swali langu.
Mbona Swali lenyewe liko wazi.
Kwasababu mimi nataka tuwekane sawa.
Na ni kwa nia njema tu.
Swali ....
Je wafahamu kwanini Suuratu TAWBA haijaanza na Bismillah?