doohhh hii kali....Hapendi kuambiwa kuwa ni muongo na aache uongo.
Kwa kuongezea anty James huyu ni mkuria aliyekulia mwanzaNani amekuambia ushoga uko pwani Kwa sababu tu wako Waislam Na Waarabu.
Huko Tarime ,UK(ukerewe) Na Sehemu nyingi mashoga wengi tu Hata Aunty Matola wapo.
Ushoga hauna dini wala kabila.Wapo Ma padri Na ma askofu mashoga ambao wanajitangaza
i like your honesty.Kwa sababu wewe ni mmoja Kati ya member ninao waheshimu humu,ngoja nitulie.@LANCANSHIRE [emoji120]
teh tehKwa kuongezea anty James huyu ni mkuria aliyekulia mwanza
Itapendeza sana, na wewe mwenye Elimu na uwezo mkubwa utusaidie kujibu Masuali ambayo unayaona hakuyajibu kiufasaha.Jinsi unavyojibu inaonyesha Elimu yako na uwezo wako ni mdogo sana ila unamisifa tu!
Mungu kaamua meseji iende nusu nusu.....hahahah, how did u know alikuwa anataka hivi?? Alikuwa anataka hivi au wamefeli due to lack of technology... unataka kuniambia kama by then wangekuwa na technology wangeishi the same way na sio kufikisha ujumbe wa Mungu kadri wawezavyo.Tatizo lako unataka ujibiwe unavyotaka wewe na si kwa mujibu wa swali lako. Mungu ana mipango yake na taratibu zake za utekelezaji malengo yake, na hayakufuatisha unavyotaka wewe, bali wewe ndo ufuate anavyotaka yeye. Alipotaka wanadamu wote walione jua kwa wakati alioupanga, amefanya hivyo, huku jua linawaka na huku wengine wako gizani, angelitaka watu wote wapate jua kwa wakati mmoja pia angeweza, lakini hakutaka hivyo. Kwenye imani ya kiroho, pia angetaka watu wote wapate ujumbe mmoja kwa wakati mmoja (kama unavyotaka wewe), pia angeweza, lakini hakutaka hivyo unavyotaka wewe (wewe sio muumba na wala si muweza) amefanya vile anavyotaka yeye (kwakuwa yeye ni muumba na muweza wa kila jambo) Ametuma Wajumbe wake kuleta ujumbe wake katika zama tofauti, tofauti ya karne nyingi tu, na wala hakuwalazimisha wajumbe wake kuzunguka dunia nzima na kuonana na kila nwanadamu (kama unavyotaka wewe) bali alitaka ujumbe wake uendelee kusambaa hata baada ya wajumbe wake hao kuondoka duniani, na hivyo ndivyo ilivyo sasa, ujumbe unaendelea kusambaa na utaendelea kusambaa hadi siku ya kiyama ndipo utakapokoma kusambaa, hivyo ndivyo alivyotaka. Kuhusu wale walioishi hadi kufa bila kupata ujumbe, imeelezwa katika maandiko nini itakuwa hatima yao, na walikuwepo hata wakati wa uhai wa Wajumbe hao, wengine waliweza hata kukutana nao, lakini kwa sababu mbalimbali hawakuweza kupata ujumbe huo (viziwi, vichaa, uzee wa kiwango cha kupoteza ufahamu nk) hukumu yao anaijua mwenyewe, maandiko yanabainisha hali hii, lakini kwakuwa huyaamini maandiko, pamoja na kubainishiwa, basi haina maana yoyote kuhangaika na "...wana masikio lakini hawasikii, wana macho lakini hawaoni (na wala hawataona), ...wamekuwa kama wamefungwa makongwa ya shingoni, shingo zao haziwezi kugeuka kulia wala kushoto!"
Naomba unijuze kisa cha Dajjal na fitna zake.Hapendi kuambiwa kuwa ni muongo na aache uongo.
Naomba unijuze kisa cha Dajjal na fitna zake.
In sha Allah
Nimekuota staki dhulma nielekese nikupe book hero yako..Jibu Swali
Insha-Allah sheikh wangu nimekuelewa nitajitahidiINNA MAL A'AMALU BINNIYAAT,
Hakika ya tendo, au naweza sema Hakika ya tendo lolote lile ni kwa Nia.
Sheikh, hakuna kinachoshindikana.
ILMU haina mwisho, na ILMU ina mapana sana.
Jambo la kwanza, weka Nia.
Jambo la pili, kuwa na ile hali ya kutamani, shauku, kupenda kupita kiasi kile unachokihitaji. Nikiwa na maana,
Jitahidi japo kwa siku uweke moyoni japo Aya moja.
Na kwakuwa wewe ulianzia Juzuu ya Mwanzo, ningekushauri/nakushauri urudi nyuma uanze na Juzuu ya Ishirini na Tisa (29), ambayo ni TABAARAKA LLADHII.
Na Sura yako ya kwanza iwe Suuratul MUR-SALAAT (WALMUR-SALAAT), nimepata Uchu wa ghafla, ngoja nipate japo Aya mbili tatu hivi,
Bismillaahi RRahmaani RRahiim.
WALMURSALAATI U'RFAA.
FAL 'AASWI FAATI ASW FAA.
WANNAASHIRAATI NASHRAA.
FAL FAARIQAATI FARQAA.
FAL MUL QIYAATI DHIKRAA.
UDH RAN AW NUDHRAA.
INNAMAA TUU A'DUUNA LAWAAQI'U.
Ngoja niishie hapo nisijaze Ukurasa, maana mizuka imeshanipanda.
Kwanini nimekushauri uanzie huku nyuma?, TABAARAKA LLLADHII.
Ni kwasababu Sura za huku ni fupi sana, kwahiyo wewe jiwekee utaratibu, kila siku iendayo weka Moyoni Aya moja.
Ninakuhakikishia kila siku zinavyoenda, utaona mabadiliko, itafikia wewe mpaka kuweka Moyoni Aya Tatu au zaidi ya Tatu kwa Siku, ndani ya Siku moja.
Nenda kidogo, kidogo, InshaAllah mpaka ukifika Juzuu ya Ishirini na Mbili (22), WAMAYYAQNUT. Nna hakika utakuwa umejengeka. Unaweza kuishia Juzuu ya Ishirini na Mbili (22), na ukarudi Mwanzo Juzuu ya Kwanza ALIF LAAM MMIIM na kuanza kwenda nayo mpaka ukafikia ulipoishia, ambapo ni WAMAYYAQNUT, Juzuu ya Ishirini na Mbili (22), na kuendelea mpaka Sura ya Mwisho ambayo ni SuuratuNNAAS.
Ujue QUR'AAN ina maajabu sana.
Nafahamu kuna tofauti kubwa sana, kuweka Moyoni ukiwa mdogo, na kuweka Moyoni kwa Mtu mzima.
Ila kwa niliowaona walioweka Moyoni ukubwani, ingawa ni ngumu kiasi kwa Mtu mzima, lakini wameweza kwa uwezo wa ALLAH.
Kila la Kheri
Acha longolongo.Nimekuota staki dhulma nielekese nikupe book hero yako..
Khabari yako Faiza Nakumbushia swali langu # 1589,sijapata majibu. Ama jibu lake ni Kimya/Hewa?....Hivi utaratibu wa Dini "ulowekwa" ni "inaenda" kwa PM?
Makubwa haya, madogo yana mambo.
Dini ni njia na ikiwa tutazificha njia kwenye PM ni nani wa kufaidika? Kuna siri ipi kwenye mambo ya dini hata iwe PM?
Tafadhali sana tusitake kutishana kwenye njia ya haki. Na kama upo kwenye haki basi usiogope kuwa muwazi. Unakificha nini?
BAARAKALLAHInsha-Allah sheikh wangu nimekuelewa nitajitahidi
BAARAKALLAH