Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Hukupatia ktk kufasiri neno "ma'a" huwezi kufasiri kuwa ni kutokana!!
 
Swala la Mali mamy n jingine inabidi utafte mwenye ilmu zaidi atakusaidia me nimekusaidia napopafaham kuhusiana Na kukomboa talaka
Dah... Hii ni simple tu.. . mlikuwa na mkataba wa ndoa na siyo ubia wa Mali...kama uliwekeza basi utapata kwa kiasi ulichowekeza... I love Islam nikaa so perfect and iko clear sana[emoji13] [emoji13]
 
Faizafoxy eti kwa tamaduni za dini ya kiislamu mwanamke hua anachaguliwa mchumba??

Uislam haukatazi mtu ku recommend mchumba kwa fulani. Mwisho wa siku anaeoa na kuolewa ndiyo wenye kauli ya mwisho ya kuoana.
 
Nimetoa hadithi acha kukurupuka kama hujui kaa kimya.
Ungekuwa msomi ungeitafsiri hiyo hadhithi kwamba inamapungufu haya ama la au inalenga hili au la sio kubisha bisha....... Unahatibu jukwaa hapa
 
( الَّذِينَ أُخْرِجُوا مِن دِيَارِهِم بِغَيْرِ حَقٍّ إِلَّا أَن يَقُولُوا رَبُّنَا اللَّهُ ۗ وَلَوْلَا دَفْعُ اللَّهِ النَّاسَ بَعْضَهُم بِبَعْضٍ لَّهُدِّمَتْ صَوَامِعُ وَبِيَعٌ وَصَلَوَاتٌ وَمَسَاجِدُ يُذْكَرُ فِيهَا اسْمُ اللَّهِ كَثِيرًا ۗ وَلَيَنصُرَنَّ اللَّهُ مَن يَنصُرُهُ ۗ إِنَّ اللَّهَ لَقَوِيٌّ عَزِيزٌ )

الحج (40) Al-Hajj

Wale ambao wametolewa majumbani mwao pasipo haki, ila kwa kuwa wanasema: Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu! Na lau kuwa Mwenyezi Mungu hawakingi watu kwa watu, basi hapana shaka zingeli vunjwa nymba za wat'awa, na makanisa, na masinagogi, na misikiti, ambamo ndani yake jina la Mwenyezi Mungu linatajwa kwa wingi. Na bila ya shaka Mwenyezi Mungu humsaidia yule anaye msaidia Yeye. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu Mtukufu.

AYA HII NI YA KWELI?
 

Weka link ya source.
 
Shukraan sana rihaa. [emoji1]
 
Weka link ya source.
Faizafoxy
Nataka kujua tu kama aya hii ya Quran inaukweli wowote ndani yake au haina ukweli wowote kulingana na uana zuoni wako.
Wakati huo naomba pia utoe ufafanuzi wa aya hii

( إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَالَّذِينَ هَادُوا وَالصَّابِئُونَ وَالنَّصَارَىٰ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَعَمِلَ صَالِحًا فَلَا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ )

المائدة (69) Al-Maaida

Hakika walio amini, na Mayahudi na Masabii na Wakristo, walio muamini Mwenyezi Mungu, na Siku ya mwisho, na wakatenda mema, basi hawatakuwa na khofu wala hawatahuzunika.
 

Usiwe na wasi wasi, ondoa hofu. Hizo utajibiwa amma na mimi amma na mchangiaji mwengine yeyote, hii ni open forum.

Nilichokuomba mimi ni link ya source ya uliyobandika hapa.
 
Kajirutaluka heshima kwako, nipo ndani ya swala kabla imam kutoa salam, ushuzi ukanibana, naweza toa salam kabla imam ili swala ikamilike , maana nikimsubiri imam sitofika, mkuu unapojibu jaribu ku- quote kwa kutumia swali
 
Kajirutaluka heshima kwako, nipo ndani ya swala kabla imam kutoa salam, ushuzi ukanibana, naweza toa salam kabla imam ili swala ikamilike , maana nikimsubiri imam sitofika, mkuu unapojibu jaribu ku- quote kwa kutumia swali

Unatakiwa uwende uwani ukatoe hewa chafu.mkojo.hajakubwa kabla hujachukua udhu na kuanza kuswali.
Huwezi toa asalam kabla ya imam hairuhusiwi kumtangulia imam lazima umfate.
Utakacho Fanya ni kukata swala na hapa humsubirii imam. Unakatacswala na unaenda chukua udhu upya. Ukirudi kama imam kashatoa salam unaanza kuswali upya. Kama bado unaunga alipo na kulipa rakaa alizo kwisha swali.

Rakaa za mwanzo hazitambuliki.zishafutika.

Ikitokea umetokwa na udhu kwa njia au kitu chochote ukiwa ndani swala itakubidi ukatize swala ukajitwaharishe tena.

Allah sw anajua zaidi. Karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…