Kwahiyo huamini hizo aya ama?
Mimi nime download Quran iliyotafsiriwa na sheikh barwan. Naipenda kwasababu imeweka na lugha ya asili pia imejitahidi Sana kutafsiri neno kwa neno.Usiwe na wasi wasi, ondoa hofu. Hizo utajibiwa amma na mimi amma na mchangiaji mwengine yeyote, hii ni open forum. Nilichokuomba mimi ni link ya source ya uliyobandika hapa.
Kama unayolink na source nnakuomba iweke tu hapa itusaidie wengi la kama hauna au link na source ni wewe mwenyewe, sema tu hilo, wala lisiwe mtihani mkubwa kwako.
Hauruhusiwi kumkhalifu imam unatakiwa umfuate mpaka mwisho wa sala. Hivyo kama umebanwa ujikaze mpaka swala ifike mwisho ukishindwa basi jiechie tu halafu urudie kuswaliKajirutaluka heshima kwako, nipo ndani ya swala kabla imam kutoa salam, ushuzi ukanibana, naweza toa salam kabla imam ili swala ikamilike , maana nikimsubiri imam sitofika, mkuu unapojibu jaribu ku- quote kwa kutumia swali
Sijajuwa kiwango chako lakini unaweza kuanziaa website hiiNinataka kujifunza kiarabu fasaha mtandaoni. Je kuna tovuti yoyote unaifahamu FaizaFoxy ?
Nakushauri utumie tafsiri ambayo ipo katika mtandao wa alhidaaya ndio ambayo imekamilika kila kona. Hii ya Baruwan ina makosa ya kiufundi.Mimi nime download Quran iliyotafsiriwa na sheikh barwan. Naipenda kwasababu imeweka na lugha ya asili pia imejitahidi Sana kutafsiri neno kwa neno.
NotedNakushauri utumie tafsiri ambayo ipo katika mtandao wa alhidaaya ndio ambayo imekamilika kila kona. Hii ya Baruwan ina makosa ya kiufundi.
Mimi nime download Quran iliyotafsiriwa na sheikh barwan. Naipenda kwasababu imeweka na lugha ya asili pia imejitahidi Sana kutafsiri neno kwa neno.
Hapana udhu huatenguki kwa kubwanwa na haja au upepo kuwa makini. Kwa mujibu wa fiqhi ya kishafi mtu anaweza kuswali hata kama amebanwa na mkojo lakini ni makuruhuUnatakiwa uwende uwani ukatoe hewa chafu.mkojo.hajakubwa kabla hujachukua udhu na kuanza kuswali.
Huwezi toa asalam kabla ya imam hairuhusiwi kumtangulia imam lazima umfate.
Utakacho Fanya ni kukata swala na hapa humsubirii imam. Unakatacswala na unaenda chukua udhu upya. Ukirudi kama imam kashatoa salam unaanza kuswali upya. Kama bado unaunga alipo na kulipa rakaa alizo kwisha swali.
Rakaa za mwanzo hazitambuliki.zishafutika.
Ikitokea umetokwa na udhu kwa njia au kitu chochote ukiwa ndani swala itakubidi ukatize swala ukajitwaharishe tena.
Allah sw anajua zaidi. Karibu
Siwezi kudanganya tafadhaliWell, sidhani umezitoa kwenye tovuti ya Baruani kwa sababu fonts za Kiarabu ulizobandika hapa ni tofauti na zilizopo huko.
Anyway, nadhani siyo issue. Na ni matumaini yangu kuwa utapata majibu ya maswali yako baada ya muda mfupi.
Siwezi kudanganya tafadhali
Aya hiyo tunaziamini kama tunavyoamini aya zingine. Na khabari ilotolewa hapo ni kweli na haki. Ufafanuzi wake ni kuwa wale ambao wataamini miongoni mwa mayahudi na manaswara yale ambayo wanayopaswa kuamini ikiwemo kuamini Allaah na kuamini mitume wake akiwemo Muhammad na wakafanya vitendo vizuri na wala wasibadilike mpaka wakafa basi hawatakuwa na khofu. Lakini hapo hawaingii wale waliompinga muhammad kwani wao aya inayowahusu ni suwrat al bayyinah aya ya 6 inasema "Hakika wale waliokufuru miongoni mwa watu wa kitabu na washirikina watakuwa katika moto wa Jahannam, ni wenye kudumu humo; hao ndio waovu kabisa wa viumbe"Faizafoxy
Nataka kujua tu kama aya hii ya Quran inaukweli wowote ndani yake au haina ukweli wowote kulingana na uana zuoni wako.
Wakati huo naomba pia utoe ufafanuzi wa aya hii
( إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَالَّذِينَ هَادُوا وَالصَّابِئُونَ وَالنَّصَارَىٰ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَعَمِلَ صَالِحًا فَلَا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ )
المائدة (69) Al-Maaida
Hakika walio amini, na Mayahudi na Masabii na Wakristo, walio muamini Mwenyezi Mungu, na Siku ya mwisho, na wakatenda mema, basi hawatakuwa na khofu wala hawatahuzunika.
Download hiiSijakuambia umedanganya, nimesema " sidhani kama umezitoa kwenye tovuti ya Baruani" (Barwani), tovuti ya Barwani (Qur'ani Tukufu) Fonts zake ni hizi:
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
Si unaona tofauti?
Source: 112. SURAT AL-IKHLAS'
Labda umetoa kwenye tovuti nyingine.
Na nimesema, si kitu, In sha Allah utapatiwa majibu kutokana na maswali yako.
( الَّذِينَ أُخْرِجُوا مِن دِيَارِهِم بِغَيْرِ حَقٍّ إِلَّا أَن يَقُولُوا رَبُّنَا اللَّهُ ۗ وَلَوْلَا دَفْعُ اللَّهِ النَّاسَ بَعْضَهُم بِبَعْضٍ لَّهُدِّمَتْ صَوَامِعُ وَبِيَعٌ وَصَلَوَاتٌ وَمَسَاجِدُ يُذْكَرُ فِيهَا اسْمُ اللَّهِ كَثِيرًا ۗ وَلَيَنصُرَنَّ اللَّهُ مَن يَنصُرُهُ ۗ إِنَّ اللَّهَ لَقَوِيٌّ عَزِيزٌ )Aya hiyo tunaziamini kama tunavyoamini aya zingine. Na khabari ilotolewa hapo ni kweli na haki. Ufafanuzi wake ni kuwa wale ambao wataamini miongoni mwa mayahudi na manaswara yale ambayo wanayopaswa kuamini ikiwemo kuamini Allaah na kuamini mitume wake akiwemo Muhammad na wakafanya vitendo vizuri na wala wasibadilike mpaka wakafa basi hawatakuwa na khofu. Lakini hapo hawaingii wale waliompinga muhammad kwani wao aya inayowahusu ni suwrat al bayyinah aya ya 6 inasema "Hakika wale waliokufuru miongoni mwa watu wa kitabu na washirikina watakuwa katika moto wa Jahannam, ni wenye kudumu humo; hao ndio waovu kabisa wa viumbe"
Makosa yapi ya kiufundi. Je wameondoa maneno ya asili?Nakushauri utumie tafsiri ambayo ipo katika mtandao wa alhidaaya ndio ambayo imekamilika kila kona. Hii ya Baruwan ina makosa ya kiufundi.
Yapo mambo ambayo kimsingi siwezi kuyataja hapa maana mpaka nikukalishe chini nikusomeshe hasa ili upate kuelewa na hapa si mahali pakeMakosa yapi ya kiufundi. Je wameondoa maneno ya asili?
Hebu ndugu kuwa wazi khasa kipi unakusudia. Kwani kwa muislamu analazimika kuzikubali na kuziamini aya zote za Qur-aan kuwa ni haki itokayo kwa Allah.Makosa yapi ya kiufundi. Je wameondoa maneno ya asili?
Hujajibu maswaliHebu ndugu kuwa wazi khasa kipi unakusudia. Kwani kwa muislamu analazimika kuzikubali na kuziamini aya zote za Qur-aan kuwa ni haki itokayo kwa Allah.
Haifai kuitenga aya yeyote kwa kujua tafsiri yake,sababu au hikma ya kushuka kwake au kutokujua.
Hebu weka wazi nini unakikusudia huenda ikawa rahisi kupata jibu unalolihitaji
Hapa hampagusi kulikoni( الَّذِينَ أُخْرِجُوا مِن دِيَارِهِم بِغَيْرِ حَقٍّ إِلَّا أَن يَقُولُوا رَبُّنَا اللَّهُ ۗ وَلَوْلَا دَفْعُ اللَّهِ النَّاسَ بَعْضَهُم بِبَعْضٍ لَّهُدِّمَتْ صَوَامِعُ وَبِيَعٌ وَصَلَوَاتٌ وَمَسَاجِدُ يُذْكَرُ فِيهَا اسْمُ اللَّهِ كَثِيرًا ۗ وَلَيَنصُرَنَّ اللَّهُ مَن يَنصُرُهُ ۗ إِنَّ اللَّهَ لَقَوِيٌّ عَزِيزٌ )
الحج (40) Al-Hajj
Wale ambao wametolewa majumbani mwao pasipo haki, ila kwa kuwa wanasema: Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu! Na lau kuwa Mwenyezi Mungu hawakingi watu kwa watu, basi hapana shaka zingeli vunjwa nymba za wat'awa, na makanisa, na masinagogi, na misikiti, ambamo ndani yake jina la Mwenyezi Mungu linatajwa kwa wingi. Na bila ya shaka Mwenyezi Mungu humsaidia yule anaye msaidia Yeye. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu Mtukufu.
Quran inatamka majengo manne ya ibada
Msikiti
Kanisa
Sinagogi
Hekalu
Na inasema jina la Mungu hutamkwa kwa wingi humo.
Swali je aya hii unaiamini?
Mungu gani anatamkwa kwa wingi hekaluni, kwenye sinagogi na kanisa?
Je Kwasasa kulingana na uelewa wako wa usomi unaamini kwamba jina la Mungu bado linatajwa kwa wingi katika majengo hayo ya ibada? Kama la kwanini na unavigezo gani?
Je unaamini kwamba Allah siku ya kiama watu kama wakristo, wayahudi hawatauridhi ufalme wake mpaka wawe waislamu?.
Sitaki matusi na naomba kama huwezi maswali nyamaza nami nitajua nalo ni jibu.