FaizaFoxy naomba unipatie majibu mujarab ya maswali haya:
- Uligraduate 1982, Bsc in electronic engineering, specialised in Telecommunications.
Naamini kwa wakati huo kulikuwa na wasomi wachache sana wa course hiyo hapa nchini.
JE: uliwahi kufikiria kuanzisha Firm yako au kuisaidia Tanzania kwa elimu yako kwa namna yoyote?
Au ulipoolewa ukaamriwa na mumeo utulie ndani na kumpikia pamoja na kumtunzia watoto kama wanawake wengi wa kiarabu wanavyoishi baada ya ndoa?
JE, Unazungumziaje uongozi wa Makamu wa Rais wa kwanza mwanamke Tanzania?
Huoni kama kwa Elimu, hekima yake na huruma angefaaa kabisa pia kuwa Rais wa URT?
Je huyo Mheshimiwa ameolewa? Unaweza kutuwekea picha ya Mumewe (I also understand about privacy but she is an icon)
Sent from my GT-S7580 using
JamiiForums mobile app