Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Hahahaaaa....inawezekana ana stress ...alitegemea atateuliwa kuwa waziri wa elimu awabebe waislam wenzie ikagonga mwamba, ndio maana anamwandama mama Ndalichako sana!!!!!!
Hapana, si hivyo.

Sijawahi kuwa na shida ya kuajiriwa, iwe serikalini au binafsi, nilivyolelewa ni wa kuajiri si wa kuajiriwa, kwetu tukiwa wadogo na sasa wanetu, huwa hatuwaulizi "mkikuwa mtafanya kazi gani?" tunawauliza mengine kabisa ya kuwajengea muono wa kuajiri na si kuwajengea muono wa kuajiriwa. Kumbuka hilo.
 
Dah...1982[emoji15] ....enzi za thermionic tubes [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Hahahaha, I would rather call them vacuum tubes.

Lakini tayari tulikuwa tunasomea digital switching pia.
 
Siku kadhaa zimepita toka tuanzishe uzi huu na nimesikitishwa na aina ya maswali yanayoulizwa kwenye huu uzi.

Tumetowa fursa ya kuulizana na kila niwezapo kujibu au kutafuta majibu muafaka kutokana na hayo maswali na fursa ya wachangiaji kujibu maswali yatakayojitokeza ya "general knowledge" lakini hadi hii leo ni maswali machache sana yenye faida kwa wengi yameulizwa. Maswali yaliyojaa ni amma ya kutaka kuanzisha ubishi "ligi" na amma yamelenga mtu binafsi, hususan amelengwa mleta mada. Ni masikitiko makubwa sana.

Nnawashauri wote waliouliza maswali yenye kulenga binafsi na wale waliouliza maswali yenye kubomoa badala ya kujenga wabadilike na waanze kuuliza maswali yenye kujenga, kuelimisha, kutujaza hekima na maarifa.

Nilipoweka aina ya elimu niliyoisomea nilidhani ntakumbana na kibano kikali kuhusu hilo na nijibu ili iwe faida kwa wengi lakini kwa bahati mbaya au nzuri hakuna hata mmoja alieuliza swali lolote kuhusu hilo.

Isitoshe, mna fursa ya kuuliza kuhusu chochote. Ndege, mimea, dunia, sayari, nyota, maajabu, maswali yasiyokuwa na majibu, viumbe kwa ujumla vinavyojulikana na visivyojulikana, maajabu ya duniani, elimu na vitu vingi kama hivyo na vinginevyo.

Nnauhakika wale walioleta maswali ya kiajabu ajabu na yaubishi wana mengi sana ya kuuliza yanayoweza kuwapa faida wengi na kuna wengi kati yao wana mengi wanayajuwa na wanaweza kuchangia kwenye majibu kwa faida ya wengi.

Ombi langu kwa wote ni tuboreshe aina ya maswali na majibu.

Karibuni.
 
Siku kadhaa zimepita toka tuanzishe uzi huu na nimesikitishwa na aina ya maswali yanayoulizwa kwenye huu uzi.

Tumetowa fursa ya kuulizana na kila niwezapo kujibu au kutafuta majibu muafaka kutokana na hayo maswali na fursa ya wachangiaji kujibu maswali yatakayojitokeza ya "general knowledge" lakini hadi hii leo ni maswali machache sana yenye faida kwa wengi yameulizwa. Maswali yaliyojaa ni amma ya kutaka kuanzisha ubishi "ligi" na amma yamelenga mtu binafsi, hususan amelengwa mleta mada. Ni masikitiko makubwa sana.

Nnawashauri wote waliouliza maswali yenye kulenga binafsi na wale waliouliza maswali yenye kubomoa badala ya kujenga wabadilike na waanze kuuliza maswali yenye kujenga, kueleimisha, kutujaza hekima na maarifa.

Nilipoweka aina ya elimu niliyoisomea,, nilidhani ntakumbana na kibano kikali kuhusu hilo na nijibu ili faida kwa wengi lakini kwa bahati mbaya au nzuri hakuna hata mmoja alieuliza swali lolote kuhusu hilo.

Isitoshe, mna fursa ya kuuliza kuhusu chochote. Ndege, mimea, dunia, sayari, nyota, maajabu, maswali yasiyokuwa na majibu, viumbe kwa ujumla vinavyojulika na visivyojulikana, maajabu ya duniani, elimu na vitu vingi kama hivyo na vinginevyo.

Nnauhakika wale walioleta maswali ya kiajabau ajabu ya ubishi wana mengi sana ya kuuliza yanyoweza kuwapa faida wengi na kuna wengi kati yao wana mengi wanayajuwa na wanaweza kuchangia kwenye majibu kwa faida ya wengi.

Ombi langu kwa wote ni tuboreshe aina ya maswali na majibu.

Karibuni.

Shukran sana kwa ushauri mzuri.

1) Hivi Nchi za Rwanda, Congo, Burundi nk zilitawaliwa na France na Belgium kwa wakati mmoja au kwa nyakati tofauti au ikoje? Kwa nini ushawishi wa France kwa Mataifa hayo ni Mkubwa baada ya ukoloni kuliko Belgium kwa Mataifa hayo?

2) Kwny Masuala ya Electronics ikitokea nimeacha switch on kwny Socket na Radio au TV nime zima lakin Moto unaingia jee hapo umeme unaenda au laa?

3) Chanzo cha Nuclear Energy ni nini?
 
Shukran sana kwa ushauri mzuri.

1) Hivi Nchi za Rwanda, Congo, Burundi nk zilitawaliwa na France na Belgium kwa wakati mmoja au kwa nyakati tofauti au ikoje? Kwa nini ushawishi wa France kwa Mataifa hayo ni Mkubwa baada ya ukoloni kuliko Belgium kwa Mataifa hayo?

2) Kwny Masuala ya Electronics ikitokea nimeacha switch on kwny Socket na Radio au TV nime zima lakin Moto unaingia jee hapo umeme unaenda au laa?

3) Chanzo cha Nuclear Energy ni nini?


Naam, maswali kama haya mpaka yanafurahisha na nna uhakika wengi wanatamani kuyasoma majibu. Nitajaribu kuyajibu kadri niwezavyo na ni fursa kwa wachangiaji wengine kuchangia.

Kwa kuwa maswali ni matatu na nyanja tofauti basi ntayajibu kila moja na post yake kwa faida ya wengi.

Ntaaza kukujibu post zijazo hivi karibuni, hii ilikuwa ya kukupongeza tu kwa maswali mazuri sana.
 
Nimepata kusikia kuwa hawa Watabiri wa Jadi/Wanajimu(The late Shekh Yahya, TB Joshua, etc) wanatumia Nyota/Majinni kufanikisha tabiri zao, je ni kweli? Unalizungumziaje hilo?
2. Je, hawa Watabiri wa hali ya hewa ie, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania huwa wanatumia mechanism gani kufanikisha tabiri zao? Je, kwa mujibu wa Imani ya Uislamu ni halali kufuata tabiri hizo?
3. Je, ni kwanini hadi ss Wanasayansi wameshindwa kupata namna ya kutabiri ujio wa Tetemeko la Ardhi pindi linapotaka kutokea?
 
1. Radi ni nini na inasababishwa na nini?
2. Je, kuna kipimo cha kupimia ukubwa/nguvu ya radi? Kama kipo kinaitwaje?
3. Ni kwanini baadhi ya maeneo/mikoa( Singida, Shinyanga, Sumbawanga etc) kuna kuwa na radi nyingi na nzito kulinganisha na maeneo mengine ie Kanda ya Pwani(Tanga, Morogoro& Dsm)?
4. Je, unatushauri nn ili kuepukana/ kupunguza vifo vitokanavyo na radi?
5. Hivi huko Canada nako kuna radi za ukweli kama hapa kwetu Sumbawanga?
 
1. Je, Tezi dume ni nini?
2. Nini tofauti ya Tezi dume na Saratani ya Tezi dume?
3. Nini kinasababisha huu ugonjwa wa Tezi dume?
4. Ni zipi dalili za ugonjwa huu? Ni watu gani wapo katika hatari za kupata maambukizi/ugonjwa huu wa Tezi dume?
5. Ni kwanini miaka hii ya karibuni ugonjwa huu ndo umekuwa maarufu sana? Je, ni sample gan(urine, blood, tissue etc) huchukuliwa ili kupima kama Mtu anamaambukizi ya Tezi dume? Na huchukuliwaje na wap?
6. Ni tahadhari zp zichukuliwe ili kujikinga/kupunguza upatikanaji wa maambukizi hayo?
 
Dah...lakini hazikuwa IC ....na processors zilipoozwa kwa maji[emoji13] [emoji13]

Mpaka leo hii ingawa teknolojia imekuwa lakini inafahamika kuwa best na faster processors ni zile zinazopoozwa na maji or something similar (liquid), bila kusahau kuwa utafiti mwengine wa "software" sasa umeelekezwa kwenye "liquiware", na tafiti zimeonyesha mafanikio na matumaini makubwa. Wouldn't this lead to true artificial brain?
 
Siku kadhaa zimepita toka tuanzishe uzi huu na nimesikitishwa na aina ya maswali yanayoulizwa kwenye huu uzi.

Tumetowa fursa ya kuulizana na kila niwezapo kujibu au kutafuta majibu muafaka kutokana na hayo maswali na fursa ya wachangiaji kujibu maswali yatakayojitokeza ya "general knowledge" lakini hadi hii leo ni maswali machache sana yenye faida kwa wengi yameulizwa. Maswali yaliyojaa ni amma ya kutaka kuanzisha ubishi "ligi" na amma yamelenga mtu binafsi, hususan amelengwa mleta mada. Ni masikitiko makubwa sana.

Nnawashauri wote waliouliza maswali yenye kulenga binafsi na wale waliouliza maswali yenye kubomoa badala ya kujenga wabadilike na waanze kuuliza maswali yenye kujenga, kuelimisha, kutujaza hekima na maarifa.

Nilipoweka aina ya elimu niliyoisomea nilidhani ntakumbana na kibano kikali kuhusu hilo na nijibu ili iwe faida kwa wengi lakini kwa bahati mbaya au nzuri hakuna hata mmoja alieuliza swali lolote kuhusu hilo.

Isitoshe, mna fursa ya kuuliza kuhusu chochote. Ndege, mimea, dunia, sayari, nyota, maajabu, maswali yasiyokuwa na majibu, viumbe kwa ujumla vinavyojulikana na visivyojulikana, maajabu ya duniani, elimu na vitu vingi kama hivyo na vinginevyo.

Nnauhakika wale walioleta maswali ya kiajabu ajabu na yaubishi wana mengi sana ya kuuliza yanayoweza kuwapa faida wengi na kuna wengi kati yao wana mengi wanayajuwa na wanaweza kuchangia kwenye majibu kwa faida ya wengi.

Ombi langu kwa wote ni tuboreshe aina ya maswali na majibu.

Karibuni.
Kwanza nitangulize shukrani kwa uzi wako, su wengi wanapenda kushare life experience na wengine. Pia nakusalimu shikamoo, (kulingana na maelezo yako ya elimu umenidi sana ki umri) Asante,kwa huu mboresho. Lakini tatizo ulililea tangu mwanzo maswali ktk utangulizi na ktk kujibu maswali. Maswali yenye kuchonganisha imani imani ni vizuri usiyajibu , jibu yale ya kujenga itamfanya hata muulizaji wa hayo maswali kutouliza kichonganishi.

SWALI.

Elimu yako ya shule ya msingi na secondary uliipatia wapi,shule gani na vipi? Na je shahada yako iligharamiwa na taasisi binafsi, serikali au familia?

Je uraia Wako na mumeo mpaka sasa upoje?

Kuna watoto wako waliosoma Tanzania, taasisi gani za elimu na wana elimu gani?

Kwa kuwa wewe ni pro Swahili je unahisi wakati umefika sasa Wa kutumia lugha hii adhimu ktk kufundishia tangu elimu awali hadi vyuo vikuu? na kwanini?

Je uliwai kushiriki ktk project yoyote ya kimataifa au ndani ya Tz iliyohusisha taaluma yako ? Au kutoa publication zozote ? Au project yako chuoni ilihusisha nini hasa?

Asante nitarudi.
 
Back
Top Bottom