Semistocles
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,932
- 1,126
ok fine, tu- assume nimebadilisha mawazo.....Umeshasema nimeyabuni halafu unatafuta "source", kama si upunguani ni nini huo?
haujayabuni.
haya, nipe source.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok fine, tu- assume nimebadilisha mawazo.....Umeshasema nimeyabuni halafu unatafuta "source", kama si upunguani ni nini huo?
shukhrann.Ni viatu, njuti hilo limetokana na jina la viatu vya Kipunjab "Jutti" vinavyotengenezwa na ngozi na kudariziwa na "jute".
Men Jutti:
View attachment 436914
Women Jutti:
View attachment 436915
shukhrann.
ok, back to the topic...
kandambili na njuti haziwezi kuoana.
ni kipi kinachokufanya usiolewe ila kuoana????
Eti stereo na mono zinaendana?"Source" ni mimi. Upo coco beach unauliza baharini wapi? Unanshangaza!
Kutohoa maneno ya Kiarabu kuwa ya Kiswahili sio kigezo kuwa kiswahili ni Kiarabu.Maneno mengi ya kiswahili asili yake ni Kibantu.Kiswahili pia kina maneno ya kiingereza,kijerumani na kireno,lakini ni maneno ya kutohoa kama ilivyo kwa Kiarabu.Kwa hivyo kwa vyovyote vile kiswahili sio Kiarabu wala Kijerumani au Kiingereza.Nilikuwa najiuliza sababu za kutokwa povu kiasi hicho..
Kumbe tatizo uarabu. Jitahidi uondoe maneno yote ya kiswahili yenye asili ya kiarabu.
Lakini kumbuka wazungumzaji halisi wa lugha ndio wanaoifahamu zaidi
hiiiiiiiiiiiiiiiKwa sababu kandambili na njuti haziwezi kuoana, kama ulivyojibu.
Mimi sijaolewa na mume wangu, tumeoana na ndiyo tukawa "pair" au kwa Kiswahili jozi au kwa Kiarabu "jawz".
kwahiyo umeyabuni??"Source" ni mimi. Upo coco beach unauliza baharini wapi? Unanshangaza!
Ni kweli ila neno lililotoholewa kutoka kireno,wazungumzaji halisi wa kireno ndio wanaojua zaidi matamshi sahihi ya neno hiloKutohoa maneno ya Kiarabu kuwa ya Kiswahili sio kigezo kuwa kiswahili ni Kiarabu.Maneno mengi ya kiswahili asili yake ni Kibantu.Kiswahili pia kina maneno ya kiingereza,kijerumani na kireno,lakini ni maneno ya kutohoa kama ilivyo kwa Kiarabu.Kwa hivyo kwa vyovyote vile kiswahili sio Kiarabu wala Kijerumani au Kiingereza.
hawezi kujibu hapa.Eti stereo na mono zinaendana?
sasa bibie, nimesema vipi tena????Wewe unasema.
Mbona uko selective sana ktk kujibu naona kuna maswali fulani yanapata kipaumbele sana kupewa majibu.
Wasiwasi wangu ni pale utakapotoa mrejesho mwingine kuwa unataka maswali yabadilike wakati maswali utakayoyahitaji huyajibu.
Ntarudi...
Gozi na doro je, wanaendana?Naam, zinaendana.
Nini umuhimu wa simu ya mezani hapa kwetu Tanzania kwa mfanya biashara (ofisi/kiwanda) na mtu binafsi(nyumbani) katika zama hizi za utandawzi na simu za kiganjani, ukitilia maanani magharibi bado wanazitumia kwa wingiNna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
Nini umuhimu wa simu ya mezani hapa kwetu Tanzania kwa mfanya biashara (ofisi/kiwanda) na mtu binafsi(nyumbani) katika zama hizi za utandawzi na simu za kiganjani, ukitilia maanani magharibi bado wanazitumia kwa wingi