FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #2,301
approximately 7.6–17.7 cmuke una urefu gani /kina gani kwenda ndani?
Soma zaidi: How deep is the average vagina? Size and appearance
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
approximately 7.6–17.7 cmuke una urefu gani /kina gani kwenda ndani?
Kwa matokeo uliyoyaonesha kwenye uzi wako, nakushauri rudia form III na IV. Nadhani kuna mpango wa kuisoma hiyo kwa mwaka mmoja na uwe dedicated na masomo ili upate matokeo mazuri. Matokeo yatakupa muangaza.Assalam aleykum warahmatulla
Mama yangu mpenz i FaizaFoxy mimi ni kijana mdogo ambae unaweza kunizaa na kunihandle kama mwanao kiukweli nakuheshimu kama mama yangu.
Mimi nataka ushauri hapa hadharani,kuna uzi wangu huu kutaka ushauri kwa watu,ila bado sijapata kutoka kwako naomba nawe unishauri mama yangu.
Ushauri wenu,nimefikiria nimeona nirudi shule kusoma,nisomee nini wakuu? - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tofauti nyingi za kiitikadi kati ya Ukristo na Uislam lakini tofauti kubwa ya Ukristo na Uislam ni pale Wakristo (wengi) wanapoamini Yesu ni Mungu.hata ukristo pia uko hivyo
Mimi naamini Yesu ni Mwana wa mungu aliyetumwa na mungu kuja Duniani kukomboa ulimwenguKuna tofauti nyingi za kiitikadi kati ya Ukristo na Uislam lakini tofauti kubwa ya Ukristo na Uislam ni pale Wakristo (wengi) wanapoamini Yesu ni Mungu.
Waislam tunaamini Yesu ni mtume wa Mungu, siyo Mungu.
Mimi naamini Yesu ni Mwana wa Mungu aliyetumwa na Mungu kuja Duniani kukomboa ulimwenguKuna tofauti nyingi za kiitikadi kati ya Ukristo na Uislam lakini tofauti kubwa ya Ukristo na Uislam ni pale Wakristo (wengi) wanapoamini Yesu ni Mungu.
Waislam tunaamini Yesu ni mtume wa Mungu, siyo Mungu.
Asante madam
Waislam tunaamini Yesu ni mtume wa Mungu na si mwana wa Mungu. Pia Qur'an ina ujumbe huu muhimu sana kuhusu hilo...Mimi naamini Yesu ni Mwana wa Mungu aliyetumwa na Mungu kuja Duniani kukomboa ulimwengu
Inategemea huyo bint ni wa dini ipi. Maana Qur'an imetaja watu waliopokea vitabu kabla yetu. Sasa kujuwa ni wepi hapo kidogo kuna hitilafu za wanazuoni.
Inategemea huyo bint ni wa dini ipi. Maana Qur'an imetaja watu waliopokea vitabu kabla yetu. Sasa kujuwa ni wepi hapo kidogo kuna hitilafu za wanazuoni.
Binafsi nasema binti akiwa Mkristo, Myahudi, Msaba (sabeans) basi ruksa kijana wa Kiislam kumuoa na iwe jukumu la huyo kijana kumfahamisha Uislam ili watoto walelewe Kiislam.
Kwa matokeo uliyoyaonesha kwenye uzi wako, nakushauri rudia form III na IV. Nadhani kuna mpango wa kuisoma hiyo kwa mwaka mmoja na uwe dedicated na masomo ili upate matokeo mazuri. Matokeo yatakupa muangaza.
وما جعل عليكم في الدين من حرجSwali :
Sehemu nilipo ni mbali sana na msikiti, ni takribani km 25, na mwanaume ni wajibu kuswalia msikitini, je akiswalia nyumbani anapata daraja kama za mtu aloswalia msikitini kutokana na umbali ulivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tofauti nyingi za kiitikadi kati ya Ukristo na Uislam lakini tofauti kubwa ya Ukristo na Uislam ni pale Wakristo (wengi) wanapoamini Yesu ni Mungu.
Waislam tunaamini Yesu ni mtume wa Mungu, siyo Mungu.
Ukweli kwa mujibu wa isiyokuwa uislamu.
Unapingana na Biblia:
Mathayo 27:
46 Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Neno la Kiswahili oana linamaanisha vitu viwili au zaidi vilivyoshabihiana, mfano viatu, ukichukuwa kiatu cha buti huwezi kukioanisha na raba ukavivaa.
Jitahidini sana hapo ulipo kupata ahali zako na majirani ili mpate "jamaa" hata ya kuanzia wawili.Swali :
Sehemu nilipo ni mbali sana na msikiti, ni takribani km 25, na mwanaume ni wajibu kuswalia msikitini, je akiswalia nyumbani anapata daraja kama za mtu aloswalia msikitini kutokana na umbali ulivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app