Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Nini maana ya ramadhan,!?sikukuu ya Eid Ina maana gani!?Eid alfitr na Eid alhaj


Katika swala kujisitiri hasa mtoto wa kike
Je,Ni lazima kufunga hijab ama kilemba Cha kawaida kinaruhusiwa!???

Kwanini mnaswali ijumaa na Sio jumapili au jumamosi???
Je,sabato ya kweli Ni ipi!??ijumaa,jumamosi ama jumapili!?

Unadhani kwanini Kuna tofauti baina ya waislam na wakristo kuhusu sabato!???



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nini maana ya ramadhan,!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ramadhan ni mwezi mtukufu sana kwa walimwengu wote na umebeba nguzo muhimu ya Kiislam ya kufunga. Nguzo za Kiislam ni tano, mojawapo ni hii ya kufunga swaum mwezi wa Ramadhan.

Ni mwezi wa tisa kwa hesabu za miezi ya kalenda ya Kiislam.

Ramadhan ni mwezi wa kuzidisha Ibada kwa kila hali. Kuna kufunga Alfajiri mpaka Magharibi. Kuna Ibada za usiku, kuna kuzidisha ukarimu na sadaka. Kuna kila hali ya kuzidisha kuomba toba na msamaha kwa Mwenyezi Mungu na kwa binaadam mliokoseana. Kuna utulivu wa moyo wa kipekee unaopatikana mwezi wa Ramadhani kwa kuzidisha Ibada.

Binafsi huwa napenda kuifananisha Ramadhan na nyavu inayotupwa bahari iliyochafuka ili kuokoa vilivyomo. Vilivyomo ni sisi wanaadam na nyavu ni matendo yote mema yafanyikayo mwezi wa Ramadhani na bahari iliyochafuka ni hii dunia yetu tunayoishi. Mwezi wa Ramadhan huopoa wengi waliopotea na huweza kutafakari na kujirudi na kuondokana na mabaya yote ya zamani kwa wingi wa Ibada zifanyikazo ndani ya mwezi huo.

Kihistoria mwezi wa Ramadhan una mema mengi.

Jisomee zaidi: Understanding the true meaning of Ramadan | IslamicFinder
 
Si kweli.

Uislam haufundishi ugaidi wala haufungamani na kundi lolote la kigaidi.

Uislam unafundisha:


Qur'an 5:
32. Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.

33.Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa.
Je katika Quran hakuna kifungu kinachomruhusu muisilam kuua akaipigania dini na Mungu wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Had" ni past tense. Kuishia kwenye "ever" pekee inakuwa past/present/future participle tense. Kwa kuwa "ever" ni wakati wowote ule. Ambayo siyo kabisa maana ya nilichokiandika. Mimi siyafahamu ya kesho.
:"Had" inabadili nini katika hiyo nukuu yako?
 
"Had" ni past tense. Kuishia kwenye "ever" pekee inakuwa past/present/future participle tense. Kwa kuwa "ever" ni wakati wowote ule. Ambayo siyo kabisa maana ya nilichokiandika. Mimi siyafahamu ya kesho.
Dada Faiza! The grammar in your sentence is incorrect and the sentence is incomplete.
 
Dada Faiza! The grammar in your sentence is incorrect and the sentence is incomplete.
Correct it and complete it. Learning is a never ending process, who am I to deny knowledge.
 
Nadhani umenielewa.
"That Kikwete was the best President Tanzania ever had" = I guess what you trying to say madam is that JK was better than Mwalimu , Ben and Mwinyi but is nothing compared to JPM.
 
"That Kikwete was the best President Tanzania ever had" = I guess what you trying to say madam is that JK was better than Mwalimu , Ben and Mwinyi but is nothing compared to JPM.
So where is the "incorrect" ness on grammar?

Of course he was.
 
Si kweli.

Uislam haufundishi ugaidi wala haufungamani na kundi lolote la kigaidi.

Uislam unafundisha:


Qur'an 5:
32. Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.

33.Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa.
Na hizi aya kaagiza nani?! Acha Tagyah!
IMG_20181203_123754_266.jpeg
IMG_20190120_110136_364.jpeg
unholy-quran-handbook-of-hate.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom