Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa Aleykum salaam.Asalaam Alaikum
www.jamiiforums.com
Karibu.
Uislam haujaacha kitu. Tuna tiba zinazokubalika Kiislam.Nina mtu wa karbu ana mapepo na natamani kumsaidia, nafanyaje nataka hayo mapepo yamuondoke kabisa maana yanamsumbua mala kwa mala.
ushahuri..tafadhali
But sijaua kama umewahi ku experience hii kitu.
Uislam haujaacha kitu. Tuna tiba zinazokubalika Kiislam.
Fata "links" ujisomee...
Ruqyah: Kinga Na Tiba Katika Shariy'ah
Imekusanywa na: Alhidaaya.com
01-Ruqyah Ya Shariy'ah Na Hukmu Zake ›
- 01-Ruqyah Ya Shariy'ah Na Hukmu Zake
- 02-Ruqyah: Suwrah, Aayah Na Mengineyo Yaliyothibiti Kutumia Kwa Ajili Ya Ruqyah
- 03-Ruqyah: Du’aa Za Sunnah Kwa Ajili Ya Maradhi Na Mabaya Mengineyo
- 04-Ruqyah: Du’aa Za Kujiombea Au Kumuombea Mgonjwa
- 05-Ruqyah Dhidi Ya Uhasidi Na Jicho Baya
- 06-Ruqyah Dhidi Ya Sihri, Mashaytwaan, Majini Na Kila Aina Ya Uovu
- 07-Ruqya: Kuomba Kinga Kwa Allaah Dhidi Ya Kila Aina Ya Shari
- 08-Ruqyah: Kuomba Kinga Kwa Allaah Kutokana Na Jirani Muovu
- 09-Ruqyah: Kuomba Kinga Kwa Allaah Dhidi Ya Adui, Dhulma, Na Ukandamizaji
- 10-Ruqya: Kutafuta Shifaa: Poza Ya Maradhi, Sihri (Uchawi) Katika Baadhi Ya Vyakula
- 11-Ruqyah: Kutafuta Shifaa Kwa Hijaamah
Yanayohusiana
Adhkaar Zenye Thawabu Maradufu
Hiswnul-Muslim: Du’aa Na Adhkaar Kusoma Na Kwa Kusikiliza (Toleo Lilohaririwa)
Du’aa Za Ruqyah (Kinga) Faida Na Sharh Zake
Matumizi Ya ‘In Shaa Allaah’ Ndani Ya Du’aa
Du'aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)
Jisomee. Ndiyo majibu ya swali lako, tena kwa kina.Sijaelewa mkuu hayo ndo majibu ya swali langu au vip..
Nifafanulie kidogo,
Pia kama kuna sheikh fundi kabisa, nipewe conection nae, atoe msaada.
Jisomee. Ndiyo majibu ya swali lako, tena kwa kina.
Bofya "link" hizo ukasome kwa utulivu, usiwe na haraka. Kama utakuwa na swali baada ya kusoma nitakujibu.
Naomba kujua vitu ambavyo hupaswi kumuuliza mtu kimaadili,kama ulivyo sema hapo juuKwa maadili mema tu, katika vitu ambavyo hupaswi kumuuliza mtu, ni miaka yake mingapi?
Kingine ni kumuuliza mtu kama "una watoto"?
Vipo vingi lakini kwa leo hivyo vitakutosha kuvifikiri.
*Wale wote watakaoona nimewapa link ya kuja post hii waelewe kuwa swali lao liko nje ya maadili.
Naona busara zimekushinda hata unapoambiwa unaharibu uzii wa watu huelewi.
Kwanza unaijua swarfu namna ya kubadilisha maneno kwa kutumia vipimo mbali mbali...?Naona busara zimekushinda hata unapoambiwa unaharibu uzii wa watu huelewi.
Sasa hapa ntakupa darsa "zurri" likuingie.
Kwanza tuanze na hilo la hadith yako halafu ntakufundisha maana ya neno "nikah'.
Hilo swali unatakiwa ujibu wewe uliyeileta hiyo "hadith" ukasingizia ya mtume.
Tueleze hiyo hadith ya nani? Kwa ushahidi si kwa maneno matupu.
Mkuu kuna ubaya mtu kumuingilia mkewe?Kwanini mtume wenu alianza kumuingilia kingono Aisha akiwa na miaka tisa?
.
Kwanini kitabu chenu kimeikopi Biblia na si cha mabudha ama wahindu?
Naona umenileta huku.Naona busara zimekushinda hata unapoambiwa unaharibu uzii wa watu huelewi.
Sasa hapa ntakupa darsa "zurri" likuingie.
Kwanza tuanze na hilo la hadith yako halafu ntakufundisha maana ya neno "nikah'.
Hilo swali unatakiwa ujibu wewe uliyeileta hiyo "hadith" ukasingizia ya mtume.
Tueleze hiyo hadith ya nani? Kwa ushahidi si kwa maneno matupu.
Naendeleza azma yangu ya kukufundisha uuungwana wa kutoharibu nyuzi za watu kwa kuendeleza mjadala wa mambo yaliyo nje ya mada iliyopo, ndiyo maana nakuleta huku. Na ndiyo sababu kuu ya mimi kuanzisha hizi nyuzi za mada tofauti.
Bi mkubwa kwanini umeamua kuwa muongo wakati mja mwema Haroun alipata kusema hivi "Laiti kama uongo ungekuwa ni jambo jema lenye kuruhusiwa kulitenda, nisinge litenda kwa ajili ya kujitakasa"MN
Naendeleza azma yangu ya kukufundisha uuungwana wa kutoharibu nyuzi za watu kwa kuendeleza mjadala mambo yaliyo nje ya mada iliyopo ndiyo maana nakuleta huku. Na ndiyo sababu iuu ya mimi kuanzisha hizi nyuzi za mada tofauti.
Maajabu ya JF, hilo neno la "KAZI yangu nimemaliza" analitumia sana mtu anejiita Zurri pale anapoona anshindwa kujibu mada. Naona na wewe unamuiga, au?
Kazi huna, utaimaliza vipi?
Jibu hiyo hadith ya nani kwa ushahidi. Usikimbie.