Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Kukopi aya sio kazi.


Bora mkristo kuliko weye mpinga mafundisho ya Mtume.uislamu wa kukopi aya hata wapagani wanaweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma...
Qur'an 6;
114. Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi? Na hao tulio wapa Kitabu wanajua ya kwamba kimeteremshwa na Mola wako Mlezi kwa Haki. Basi usiwe katika wanao tia shaka. 114

6_115.gif

115. Na yametimia maneno ya Mola Mlezi wako kwa kweli na uadilifu. Hapana awezaye kuyabadilisha maneno yake. Na Yeye ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua. 115

6_116.gif

116. Na ukiwat'ii wengi katika hawa waliomo duniani watakupoteza na Njia ya Mwenyezi Mungu. Hawa hawafuati ila dhana tu, na hawakuwa ila ni wenye kusema uwongo tu. 116

6_117.gif

117. Hakika Mola wako Mlezi ndiye Mjuzi kushinda wote kuwajua walio potea Njia yake, na ndiye Mjuzi kushinda wote kuwajua walio hidika. 117
 
Unajua wazni matumiizi yake katika swarfu?

Ukiskia wazni unajua mashairi tu?

Hahahahhahahhahaha,ndo mana tunasema wanaopotea ni wajinga majaahil kama nyie hamna mjualo wallahi.

Umenipa huo waznu wa neno kuowana kwa kiarabu ni upi kama kweli wewe unayo hiyo elimu?

Kama kweli wewe umepita kidogo katika swarfu nipe waznu wa neno kuowana kwa kiarabu hapa kws kuzingatia sharia za kiswarfu.

Leta huo waznu.

Ndo mana najiamini kusema bora mkristo kuliko wewe mama.kwa sababu ni mjinga ulonshojs za kijinga sio za kielimu

Sent using Jamii Forums mobile app
Umebadili wimbo siku hizi baada ya kukupa darsa la neno "wazn" na "wazni".

Sasa nikupe na darsa la neno "waznu"?

Nasubiri Aya za adhabu ya kaburi.

Kama umeshindwa kuzipata sema tu nikupe darsa, usione haya, ilm haina haya. Miaka inakata sasa.
 
Kuna mtu huku kapagaa na pepo.. nifanye nini kuweza kulitoa hilo pepo??

Shehe wa mkoa kashindwa. FaizaFoxy
Kama upo "serious" muadhinie tu, kama haujuwi kuadhini, tafuta audio au video clip ya 'adhan' YouTube msikilizishe.

Halikai hilo "pepo" likisikia adhana labda awe ana "'act" huyo "aliyepagawa".
 
Kama Ile unayoisikia msikitini inakumbusha wanaosahau wakati wa kuswali. Hii hapa...


Mbona adhan kila siku anaisikia... Maana tulipo kuna msikiti.

Adhan ya saa moja katumia.🥴🥴🥴


Unanidanganya FaizaFoxy adhan hatoi kitu.
 
Anataka atuletee uislamu wa kufurahisha watu,wa kukubaliwa na kila mtu.ndo mana anakuwa muislamu anaempinga Mtume.

Alishaathirika sana na propaganda za wazungu huko nje ndo mana kawa hivyo.


Kiufupi bora mkristo anakubali hadithibza mtume ila hazimini.ila huyu mama anakataa hadithi na haziamini.

Sent using Jamii Forums mobile app

وَكَذَٰلِكَ جَعَلْنَا فِي كُلِّ قَرْيَةٍ أَكَابِرَ مُجْرِمِيهَا لِيَمْكُرُوا فِيهَا ۖ وَمَا يَمْكُرُونَ إِلَّا بِأَنفُسِهِمْ وَمَا يَشْعُرُونَ - 6:123

Qur'an 6
123. Kadhaalika katika kila mji tumewajaalia wakubwa wa wakosefu wao wafanye vitimbi ndani yake. Na wala hawafanyii vitimbi isipo kuwa nafsi zao, nao hawatambui.
123
 
Ma Shaa Allah kama anaisikia mtazame utakuta wakati wa adhana hana pepo.

Mnaenda kuswali mnapoisikia adhana?
Itakua basi, adhan ikiisha linarud.
Adhana ikija pepo linasepa.

Ikiiidha midamida linarud.

NGOJA NIKATAFUTE ATAE WEZA KULITOA KABISA LISIRUDI
 
Huna elimu wewe.

Kuna mashairi unataka kutunga hata mizan?

Umekwepa la hadith zako kumsingizia Mtume eeh?

Bado nasubiri Aya za adhabu ya kaburi kutoka kwako na yule anayejiita Zurri.

Hamchomoki hapa mpaka muombe poo.

Unalo Hilo.
Ukijibu yale maseali niliyo kuuliza naongeza aya nyingine hapa. La aya sio tatizo bi mkubwa.

Itifaki lazima izingatiwe,jibu maswali yangu.
 
Ukijibu yale maseali niliyo kuuliza naongeza aya nyingine hapa. La aya sio tatizo bi mkubwa.

Itifaki lazima izingatiwe,jibu maswali yangu.
Huna swali ambalo hujajibiwa. Unatafuta pakutokea. Unaleta Aya uliyoitia maneno yako, haina uhusiano wowote na adhabu ya kaburi.

Nikakupa za uso, umesahau?


Msaidie mwenzako. Kumbukeni tu, bila kuongeza porojo zenu, Qur'an imekamilika na haihitaji maneno yenu.

Hii ni challenge kwako na mwenzako na waiteni na wengine wawasaidie...

"...Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli." 2:111
 
Huna swali ambalo hujajibiwa. Unatafuta pakutokea. Unaleta Aya uliyoitia maneno yako, haina uhusiano wowote na adhabu ya kaburi.

Nikakupa za uso, umesahau?


Msaidie mwenzako. Kumbukeni tu, bila kuongeza porojo zenu, Qur'an imekamilika na haihitaji maneno yenu.

Hii ni challenge kwako na mwenzako na waiteni na wengine wawasaidie...

"...Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli." 2:111
Nakuoyesha sasa kwamba wewe ni muongo sana.

Hili swali umelijibu ?

Kwenye Tashahudi huwa unasoma dua gani katika kikao cha mwisho kabla ya kutoa salamu katika sala ?

Ile "adhabu mara mbili" katika ile aya ina maana gani ?

Wewe mmama unaleta mzaha na haya mambo. Hujajibu swali hata mona na najua huna uwezo huo. Nacho fanya hapa nawaonyesha watu kwamba wewe ni muongo na huna elimu juu ya hiki unachokiandika.
 
Huna swali ambalo hujajibiwa. Unatafuta pakutokea. Unaleta Aya uliyoitia maneno yako, haina uhusiano wowote na adhabu ya kaburi.

Nikakupa za uso, umesahau?


Msaidie mwenzako. Kumbukeni tu, bila kuongeza porojo zenu, Qur'an imekamilika na haihitaji maneno yenu.

Hii ni challenge kwako na mwenzako na waiteni na wengine wawasaidie...

"...Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli." 2:111
Nikakuuliza tena kuhusu msimamo wako juu ya Hadithi za mtume.


Sasa wewe mama unatakiwa uache UONGO, sio tabia nzuri hii.
 
Huo ni ujuhs wako.
Kumbe hata nahwu huijui wewe mama.
Kinahwu unaweza kusema muhammadu au muhammadi zote sawa ukizileta kwa kiswahili maana ni ile ile.

Hata nahwu hujui wewe mzee hahhaa.hayo ni mambo ys nahwu kssome.


Uko wapi waznu(wazni) wa neno kuowana kwa kiarabu kwa fani ya swarfu?
Umebadili wimbo siku hizi baada ya kukupa darsa la neno "wazn" na "wazni".

Sasa nikupe na darsa la neno "waznu"?

Nasubiri Aya za adhabu ya kaburi.

Kama umeshindwa kuzipata sema tu nikupe darsa, usione haya, ilm haina haya. Miaka inakataka sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye ukimuuliza anskopi aya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hajibu maswali anayo ulizwa. Hapa leo amekuja na uongo mwingine, ana dai maswaliniliyo muuliza ameyajibu. Sasa nikamuonyesha ya kuwa hajajibu hata swali moja, nimemuwekea yale maswali aniambie ameyajibu wapi au ayajibu tena. Mpaka muda huu nasubiri majibu.
 
Huo ni ujuhs wako.
Kumbe hata nahwu huijui wewe mama.
Kinahwu unaweza kusema muhammadu au muhammadi zote sawa ukizileta kwa kiswahili maana ni ile ile.

Hata nahwu hujui wewe mzee hahhaa.hayo ni mambo ys nahwu kssome.


Uko wapi waznu(wazni) wa neno kuowana kwa kiarabu kwa fani ya swarfu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Zamani tulikuwa na duka kwetu nilikuwa nautumia kupimia watu sembe.

Wapi Ayat za Qur'an za adhabu ya kaburi.

Mimi nakwambia hakuna. Mwite na mwenzako Zurri msaidiane kuzitafuta, waiteni na mashetani wenzenu, pia hamtozikuta.

Mtamzulia maneno yenu Mtume tu lakini kuibadili Qur'an hamtaweza.
 
Zamani tulikuwa na duka kwetu nilikuwa nautumia kupimia watu sembe.

Wapi Ayat za Qur'an za adhabu ya kaburi.

Mimi nakwambia hakuna. Mwite na mwenzako Zurri msaidiane kuzitafuta, waiteni na mashetani wenzenu, pia hamtozikuta.

Mtamzulia maneno yenu Mtume tu lakini kuibadili Qur'an hamtaweza.
Nasubiri majibu ya maswali yangu. Hatulei ujinga sisi.
 
Nikakuuliza tena kuhusu msimamo wako juu ya Hadithi za mtume.


Sasa wewe mama unatakiwa uache UONGO, sio tabia nzuri hii.
Hiyo hadith' ya mtume iko wapi? Hebu weka hapa tuione.

Mwenzako anayejiita @dafuher umesahau nilimfanya nini na hadithi yake mpaka akakiri hawezi kujibu?

Kwanza nnawangoja na Ayat za adhabu ya kaburi mnazojidai zipo nyingi. Leteni
hapa mnashindwa nini?

Ningewaambia mlete hadith zenu za kujitungia mnazojidai eti za Mtume za adhabu ya kaburi mngeleta kibao. Si uongo mtupu huo.
 
Back
Top Bottom