FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si lazima "connection". Unatafuta kazi ipi?
Adhan (Kiarabu: أَذَان [ʔaˈðaːn]), iliyoandikwa pia kama Adhaan, Azan, Azaan au Athan, pia huitwa Ezan kwa Kituruki, ndio wito wa Kiislam kwa sala, unaosikika na mu'azzin kwa nyakati zilizowekwa za siku. Mizizi ya neno ni ʾadhina أَذِنَ inamaanisha "kusikiliza, kusikia, kupewa habari juu ya". Jingine linalotokana na neno hili ni ʾudhun (أُذُن), linamaanisha "sikio".@FaizaFoxy kwakuwa adhan ni wito ama "tangazo" la kuita watu kuswali,. "tangazo" hilo linatolewa kwa taratibu maalum kwa hiyo nipo sahihi nikisema adhan (tangazo) la kuita watu ktk salat lina taratibu zake za namna tutakavyoitana.
nakusudia siyo yeyote anaweza kwenda mahali pa kuswalia na kutoa adhan (tangazo) kwa namna anayoijua yeye,. zipo taratibu za kufuata na ipo namna ya kutoa "tangazo" hilo.
sasa basi taratibu hizo zinafuatwa kwasababu alizianzisha nani?
(rejea za mwanzilishi wa taratibu hizo tafadhali)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuwa salat ni jambo muhimu sana katika Uislam na kwa kuwa maswali yote yanahusu salat. Naomba uliza moja moja ili niweze kutoa majibu ya uhakika kwa kila kipengele.Nam ukhtyi nimesoma post hyo kuna aya umezibainishya kuwa sala ilikuepo hapo kabla ila hakuna idadi ya rakaa na hakuna kuwa kuna sala ya ijumaa kuwa ni rakaa ngapi.asa kwa kuwa sala ilikuepo tokea hapo lazima pia ilikuwa na idadi ya rakaa na kwa kuwa sala ya ijumaa imetajwa kwenye Qurani bila shaka lazima iwe sala maalumu yenye mavitendo maalum na rakaa maalum.
Ndo mana nikauliza sala ya ijumaa kwa mujibu wa Qurani pekee ina idadi ya rakaa ngapi,na sala ya ijumaa ina idadi ya rakaa ngapi?
NAKUBALIANA NAWE KUWA SALA ILIKUEPO HAPO KABLA.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Kwa historia ya sasa ya Kiislam taratibu hizo zilianzishwa kwa ndoto ya Abdullah bin Ziyad na Mtume Muhammad (PBUH) hakulipinga hilo na akamteua Muadhin kuwa Bilal Ibn Rabah."
naomba unijuze maelezo hayo niliyo 'copy' kutoka ktk post yako hiyo wewe uliyapata katika 'historia' aliyokusimulia nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuingia mitini ukimya wake ulikuwa wa nia njema tu., naam na ni njema amerejea na majibu. safuher
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona historia zipo nyingi sana na zote zinazoitwa "hadith za Mtume" in fact hizo siyo hadith za Mtume bali wana historia wameandika kwa kuhadithiwa na wengi tu. Msome Bukhari, msome Muslim na wengine (sijui kama umewahi kuwasikia) kina Sayyid Ibn Taus, Allamaha Hilli na pia Msome Shaikh Al Albani kaingia deep kuhusu Adhan mpaka zingine kasema ni "bidaa".
Huyu bi mkubwa anakataa hadithi za mtume,hali ya kuwa neno lenyewe Hadithi hajui lina maanisha nini katika ulimwengu wa Elimu ya Hadithi."Nnakushangaa sana, kwani watu walioizulia Qur'an na walioahidi kuleta ayat za Qur'an na hawazileti hauwaulizi chochote kuhusu hilo, unaniulza na kunifanyia "scrutiny" mimi nnaewapa jibu ya kila swali lenu. Ajiib."
huna haja ya kunishangaa kwakuwa muanzilishi wa 'thread' hii ni wewe na maudhui ya 'thread' ni maswali kuelekezwa kwako na pia majibu utoe wewe kwa yale ambayo unayaweza, pia yale usiyoweza wengine wenye ilmu nayo watayajibu.
Zurri na safuher wao niwaulizeje hali ya kuwa siyo wenye 'thread'?
usisahau kuwa hata wewe ulishaniambia kuwa 'yangu kwao technically siyo maswali'
Sent using Jamii Forums mobile app
'historia' ambazo ndani yake yapo mafundisho nayo tunayafuata mfano ni namna ya kuadhini.,Mbona historia zipo nyingi sana na zote zinazoitwa "hadith za Mtume" in fact hizo siyo hadith za Mtume bali wana historia wameandika kwa kuhadithiwa na wengi tu. Msome Bukhari, msome Muslim na wengine (sijui kama umewahi kuwasikia) kina Sayyid Ibn Taus, Allamaha Hilli na pia Msome Shaikh Al Albani kaingia deep kuhusu Adhan mpaka zingine kasema ni "bidaa".
Huyo uliyemuita safuher mpaka leo kashindwa kuleta Ayat za Qur'an zinazoongolea "adhabu ya kaburi" alizoahidi kuleta. Na hii ni open challenge kwake kwa kuwa kaahidi na mwenzake pia aliahidi anajiita Zurri na mwengine yeyote anaejuwa kuwa zipo aje amwage darsa. Mimi nasema hakuna.
Unaweza pia kuwasaidia kama na wewe unaamini zipo.
Nnakushangaa sana, kwani watu walioizulia Qur'an na walioahidi kuleta ayat za Qur'an na hawazileti hauwaulizi chochote kuhusu hilo, unaniulza na kunifanyia "scrutiny" mimi nnaewapa jibu ya kila swali lenu. Ajiib.
Hilo nimeshakujibu juu kidogo,soma post namba 3152.'historia' ambazo ndani yake yapo mafundisho nayo tunayafuata mfano ni namna ya kuadhini.,
taratibu za kuadhini, namna ya kuadhini kadhalika lugha ya kutumia wakati wa kuadhini, pia ni nani aadhini je Quran imeelekeza mambo hayo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha porojo. Nisome tena. Hakuna hadith za Mtume Muhammad, kuna hadith za wanazuoni wanahadithia kuhusu Mtume Muhammad na mengi mengineyo.Unapenda sana kunitaja bibie. Ungekuwa unajibu maswali ingekuwa bora zaidi.
Kwa haya maelezo yako unaonyesha ni kwa jinsi gani huzijui hadithi za mtume achilia mbali elimi yenyewe ya hadithi.
Hadithi za mtume ni yale masimulizi kufikia kwake mtume. Hadithi za mtume zina sehemu mbili nazo ni sanadi na matini. Masimulizi hayo ndio huitwa hadithi.
Imwam al Bukhari na Imaam Muslim hawa ni miongoni mwa wanazuoni maarufu walio kusanya hadithi za mtume. Soma "Muqadimmah fi Sahihi Muslim" utangulizi wa sahihi muslim. Hawa hawakumdiriki mtume wa Allah,kwahiyo walikuwa wanashughulika na sanadi ya masimulizi ifike mpaka kwa mtume na matini zake. Hizi ndio hadithi. Sasq unapokataa hadithi hali ya kuwa hujui hadithi ni nini huu ni uhayawani ns unaihujumu elimu. Tqngu mwanzo nilijua tu wewe huzijui hadithi za mtume.
Umemgusia Imaam al albaniy,huy ni mwanazuoni bingwa wa hadithi habari zake zimetangaa na Allah amempa kabul sana. Huyu ameishi katika elimu ya hadithi na kazi zake zinathibitisha hilo. Imaam al Albaniy anazikubali hadithi,na ukiona anaongelea jambo fulani ni "bidaa" ujue anarejea katika mafundisho ya mtume na hadithi za mtume. Imaam al Albaniy amekufa kabla ya kukimaliza kitabu chake kiitwacho "Sahihi siirat an Nabiy" kitafute uoe alivyo pita na alivyo nukui hadithi za mtume.
Sasa inakuwaje unazikataa hadithi za mtume hali ya kuwa huzijui na hujui nini maana ya hadithi ? Nilikuuliza jana unitajie vitabu japo vitatu tu ulivyo visoma vya historia ya mtume ambavyo havina hadithi zake. Hujataja mpaka muda huu.
Hitimisho langu ni kuwa,ndio maana maswali yangu marahisi huwa unashindwa kuyajibu sababu huna elimu wala hujui hadithi za mtume ni nini ?
Acha porojo. Nisome tena. Hakuna hadith za Mtume Muhammad, kuna hadith za wanazuoni wanahadithia kuhusu Mtume Muhammad na mengi mengineyo.
Msimzylie Mtume.
Al Albany hadith zilizohusishwa na Mtume kuwa sahihi nyingin alishazipangua kuwa hizo ni uzushi tu. Moja wapo ni hiyo ya adhan zingine. Unaijuwa adhan ipo hiyo kasema ni "bidaa'?
Porojo ndeeeefu haina kichwa wala miguu.
Nakuvuta dana ili ulete uzushi wako uliotaka kuizushia Qur'an. Au uombe toba mbele za watu kuwa huo upuuzi haupo kwenye Qur'an au sitokuacha. Kumbuka hilo.
Hadith hata za alfu lela u lela ni hadith au unataka kulipa neno hadith maana mpya?
Acha porojo. Nisome tena. Hakuna hadith za Mtume Muhammad, kuna hadith za wanazuoni wanahadithia kuhusu Mtume Muhammad na mengi mengineyo.
Msimzylie Mtume.
Al Albany hadith zilizohusishwa na Mtume kuwa sahihi nyingin alishazipangua kuwa hizo ni uzushi tu. Moja wapo ni hiyo ya adhan zingine. Unaijuwa adhan ipo hiyo kasema ni "bidaa'?
Porojo ndeeeefu haina kichwa wala miguu.
Nakuvuta dana ili ulete uzushi wako uliotaka kuizushia Qur'an. Au uombe toba mbele za watu kuwa huo upuuzi haupo kwenye Qur'an au sitokuacha. Kumbuka hilo.