Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Kama hauna muda uliza moja moja kila post, si lazima uyarundike yote post moja.

Google ninyenzo nzuri sana ya mtandao, naitumia sana lakini imeanza kupitwa na wakati, kuna nyenzo zingine zipo advanced zaidi.

Mengube hayo ni mawazo yako duni, sina sababu ya kupingana na mawazo yako.

Wahenga walisema "asili ya mtu duni huona vitendo vyake".

Wahenga pia walisema”Mwanamke kujifanya mjuaji kila kitu ni mpumbavu kupitiliza na hafai”

Swali la 1.

Kwanini nyie mnyaazi mna uana kwa kigezo cha kumtetea Allah, ina maana Allah hawez kujitetea?
 
Swali la 1.

Kwanini nyie mnyaazi mna uana kwa kigezo cha kumtetea Allah, ina maana Allah hawez kujitetea?

Kuwa na ustaarabu basi, huna sababu ya kutukejeli, sisi ni Waislaam siyo "mnyaazi".


Unajiita "nshomile" halafu hulitendei haki hilo jina.

Allah hatetewi na mtu, hatuna uwezo wa kumtetea Muumba wetu. Muelewe kidogo hapa:

Qur'an 2:255. Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu. 255
 
Wote na akili zetu timamu tuiname kugeukia jiwe ambalo tunadanganywa limeletwa na Mungu

Pata darsa dogo kuhusu Waislaam kuelekea kibla tunaposali:

Kibla (Kiarabu: قِبْلَة, romanized: qiblah, lit. 'direction') ni mwelekeo kuelekea Kaaba (cube) katika Msikiti Mtakatifu wa Makkah, ambao hutumiwa na Waislamu katika mazingira mbalimbali ya kidini, hasa mwelekeo wa sala kwa ajili ya kusali. Katika Uislamu, Al-Kaaba inaaminika kuwa eneo takatifu lililojengwa na nabii Ibrahim na Ismail, na kwamba matumizi yake kama kibla yaliadhimishwa na Mwenyezi Mungu katika aya kadhaa za Qurani iliyoteremshwa kwa Mtume Muhammad, salla Allahu alayhi wa Salaam, katika mwaka wa pili wa Hijri. Kabla ya ufunuo huu, Muhammad, salla Allahu alayhi wasalaam, na wafuasi wake huko Madina walielekea Yerusalemu kwa ajili ya kusali. Misikiti mingi ina mihrab inayoonyesha mwelekeo wa kibla.
Hujaji hufanya dua kuelekea kwenye Kaaba, kibla cha Waislam, kwenye Msikiti Mtakatifu wa Makka.

Soma zaidi: Qibla - Wikipedia.
 
Kuwa nanudtaarabu basi, huna sababu yabjutujejeli, sisi ni Waislaam siyi "mnyaazi".


Unajiita "nshomile" halafu hulitendei haki hilo jina.

Allah hatetewi na mtu, hatuna uwezo wa kumtetea Muumba wetu. Muelewe kidogo hapa:

Qur'an 2:255. Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu. 255

Nilijua huna akili kumbe walau zimozimo.

Sasa kama Allah hatetewi, kwanini ndugu zako wa huko Sudan,libya na syria wanafulululiza kuuawa.

Huwa naona video wanataja Takbirrrrrr Allah akbar huku wanamiminia risasi kwa raia.
 
AlhamduliLlah, nilizaliwa nikiwa Muislam, kama binaadam wengine wote. Toka nimepata akilibna kumbukumbu sijaacha kujisalimisha kwa Muumba wetu, Allah.
Una uzoefu mkubwa kwa hiyo dini yako kwa kuzaliwa, lakini je kwa nini hakuna viongozi wa dini wanawake katika kiislamu?
 
Unadhani msimamo wako katika uislamu ungekuaje endapo ungezaliwa na wazazi wakristu?
 
Nilijua huna akili kumbe walau zimozimo.

Sasa kama Allah hatetewi, kwanini ndugu zako wa huko Sudan,libya na syria wanafulululiza kuuawa.

Huwa naona video wanataja Takbirrrrrr Allah akbar huku wanamiminia risasi kwa raia.
Kama u mkweli iweke hapa hiyo video tuione. Au umejazwa ujinga wa Hollywood ukakujaa?
 
Unadhani msimamo wako katika uislamu ungekuaje endapo ungezaliwa na wazazi wakristu?
Siwezi kudhani kisichokuwepo.

Mbona kuna wengi waliozaliwa na wazazi wakristo wamerudi kwenye Uislam? Tena wengine ni watu wakubwa kwenye makanisa.
 
Kama FF au Muislam yeyote yupo tayari nimuoe bint yake wa miaka 9 ajitokeze nislim.
 
Yaani ata kama kuna muislam ana mtoto wa miaka 10 kama yupo nimuoe bint yake akikubali basi naslim
 
Mana natakiwa nitende kama alivotenda mtume wetu kwanza ndo nifuate mafundisho yake
 
Back
Top Bottom