Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Leo ni fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), inapigwa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid mkoani Arusha ambapo Mtibwa Sugar dhidi ya Singida United.
00' Mpira umeanza kwa mashambulizi kwa zote mbili
22' Gooooal, Kihimbwa anaipatia Mtibwa Sugar bao la kwanza kwa shuti la umbali
Kutoka uwanja wa Sheikh Amri, mpira ni makali sana
37' Gooooal..Kona ya Issa Rashid ' Baba Ubaya' inaingia moja kwa moja nyavuni na kuipa Mtibwa Sugar goli la pili
43' Gooooal Salum Chuku anaandika bao la kwanza upande wa Singida United
45' Henry anaonyeshwa kadi ya njano
Mapumziko kutoka Uwanja wa Sheikh Amri mkoani Arusha
Goooooooal..Tafadzwa Kutinyu anawarudisha mchezoni Singida United kwa kusawazisha bao.
Mtibwa Sugar 2-2 Singida United
Issa Rashid anapewa Kadi Nyekundu baada ya kumchezea rafu Deus Kaseke. Baada ya kuwa alipewa mwanzo Kadi ya Njano. Upande wa Mtibwa Sugar
Kutinyu anapiga shuti. Lakini golikipa anadaka
85' Kihimbwa yuko chini baada ya kupata rabsha
Goooooooal, goooooooal .. Mtibwa Sugar wanaandika bao la tatu kupitia kwa Ismail Mhesa
Hatari lakini golikipa wa Mtibwa anaruka juu na kuunyaka mpira
90' Kuelekea kuhitimisha mtanange huu wa ASFC
Mtibwa Sugar 3-2 Singida United
Naam mpiraaa umekwishaaaaaa. Mtibwa Sugar ni Bingwa wa ASFC, hivyo wanapata tiketi ya kuungana na Simba SC kuiwakilisha Tanzania Kimataifa
00' Mpira umeanza kwa mashambulizi kwa zote mbili
22' Gooooal, Kihimbwa anaipatia Mtibwa Sugar bao la kwanza kwa shuti la umbali
Kutoka uwanja wa Sheikh Amri, mpira ni makali sana
37' Gooooal..Kona ya Issa Rashid ' Baba Ubaya' inaingia moja kwa moja nyavuni na kuipa Mtibwa Sugar goli la pili
43' Gooooal Salum Chuku anaandika bao la kwanza upande wa Singida United
45' Henry anaonyeshwa kadi ya njano
Mapumziko kutoka Uwanja wa Sheikh Amri mkoani Arusha
Goooooooal..Tafadzwa Kutinyu anawarudisha mchezoni Singida United kwa kusawazisha bao.
Mtibwa Sugar 2-2 Singida United
Issa Rashid anapewa Kadi Nyekundu baada ya kumchezea rafu Deus Kaseke. Baada ya kuwa alipewa mwanzo Kadi ya Njano. Upande wa Mtibwa Sugar
Kutinyu anapiga shuti. Lakini golikipa anadaka
85' Kihimbwa yuko chini baada ya kupata rabsha
Goooooooal, goooooooal .. Mtibwa Sugar wanaandika bao la tatu kupitia kwa Ismail Mhesa
Hatari lakini golikipa wa Mtibwa anaruka juu na kuunyaka mpira
90' Kuelekea kuhitimisha mtanange huu wa ASFC
Mtibwa Sugar 3-2 Singida United
Naam mpiraaa umekwishaaaaaa. Mtibwa Sugar ni Bingwa wa ASFC, hivyo wanapata tiketi ya kuungana na Simba SC kuiwakilisha Tanzania Kimataifa