Mechi saa ngapi wakuu, mtibwa nao wako vizuri hii mechi itakuwa ngumu sana.
Simba Timu funga Mtibwa hao.
Yanga njooni na kapu la magori,mnapakatwa
Leo simba lazima wakae mbele ya mtibwa, mwenye kubisha anyoshe mkono juu!
Hawa JKU wametukosesha uhondo sana maana ilikuwa ni kutoka tunajiramba tu kama paka katoka kunywa maziwa.Wewe waache, watese muda huu maana wana muda mchache wa kutesa, baada ya saa 4:30 usiku mjini patakuwa kimyaaaa wakati kule Manungu mambo yatakuwa cherekochereko.
Hawa JKU wametukosesha uhondo sana maana ilikuwa ni kutoka tunajiramba tu kama paka katoka kunywa maziwa.