Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Simba isiyo na golikipa! He sasa sheria inaruhusu kucheza bila golikipa? Wewe usije kuwa unazungumzia mashindano ya kugombea kuku mtaani kwenu. Hii tunazungumzia kombe la Mapinduzi ya Kumng'oa Sultan Jamseed kule Zanzibar ambayo yalishirikisha timu nyingi zikiwemo KCC ya Uganda na Yanga (ambayo bahati mbaya ni kuwa imeonyesha kiwango duni kama timu ya daraja la tatu sijui kwa nini, labda njaa) ambazo zote kwa nyakati tofauti zilishaondoka.
Pale golini kuna mtu, siyo golikipa, huenda hulijui hilo, subiri masaa mawili yajayo utapata jibu lako.