Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bhebhe namhala igete ginehe! Umeiona hii?:
https://www.jamiiforums.com/sports/...isi-zanzibar-live-update-18.html#post11643548
Washabiki wa Simba wameonekana kwa wingi wakiwa wanaelekea Bandarini kupanda boti kuelekea Zanzibar wakiwa na wapenzi wao wa moyoni kama huyu hapa chini. Ila mpenzi wake kama vile hana furaha.
View attachment 218199
ukipita mitaa mbali mbalimbali yenye matawi ya simba utakuta vijana kwa wazee wametulia wakisubiri ushindi wa leo dhid ya mtibwa.
Simba imetimia na kutulia sawasawa kiwango kipo juu na hii itadhihirshwa leo pale uwanja wa amani.simba oyeeeeeeeeeeeeeeeee
Washabiki wa Simba wameonekana kwa wingi wakiwa wanaelekea Bandarini kupanda boti kuelekea Zanzibar wakiwa na wapenzi wao wa moyoni kama huyu hapa chini. Ila mpenzi wake kama vile hana furaha.
View attachment 218199
Namhala hiyo nimeiona, ninachosema ni hawa JKU kutuangushia mtani wetu kabla hatujakutana naye, tulitaka mtani wetu asogee sogee ili tukutane hata kama ingekuwa ni nusu fainali poa tu lakini JKU nao kwa sababu ya kiherehere chao na kutaka sifa wakamwangusha mtani wetu ndo maana nasema wametukosesha uhondo.
huyo mpenz wake ni yanga tu
We bwana we! Mambo ya Yanga sio kuyataja hapa watatushukia na uzi huu uharibike bure! Wewe msifie tuu huyo bibie kwamba kajaliwa sana hayo makalio pia hiyo nguo yake ya rangi ya njano na kijani imemtoa kisawasawa!
aaaaahaa nimecheka paka bas.daaa mrembo mashalaaaaa wowoo hilo duuuu kaumbika kisawasawa kwa chakulaaaa
Kuna jamaa mmoja kutoka Brazil anaitwa Maksi wa Mo alikuja kwa mbwembwe ile mbaya! Ila alivyokuja gundua huyo dada anaachia kama hana akili nzuri akaona isiwe shida ngoja nijirudie nyumbani mie. Sasa mkuu we ona mwenyewe huo mgongo hata huyo Maksi Wa Mo alikuwa hataki kufaidi? Sasa huyo jamaa Red wa pale Msimba Wizi yeye anajilia kwa ulaini tuu.
hivi hili bonanza bado linaendelea tu,nilizania lilimalizika tangu jana bana...
hafu nasikia ndo aliemfumua malinda.duuu huyu msimbaz anafaid bana
Hata kama ni bonanza kwani wanacheza kwa mikono? Au kwa dakika 50? Au sheria zinazotumika pale sio za fifa bali za WBC? Ukipata majibu hayo njoo tena mkuu.
BTW imekuwaje tena akina Kaseja mnawafanya chanzo cha mapato kwa kupanga wawalipe ngapi? Mzee mwenyewe Manji kafulia au ameshtuka kufanywa buzi hivyo kakata kamba?
mzee kwa simba hii sahau kabisa kufungwa
Simba hii ndiyo ile imemwonyesha njia ya kwenda Lusaka Mwl. Phiri baada ya kufungwa na Kagera Sugar. Simba hii ndiyo iliyokubali kipigo cha tiGO moja toka kwa Mtibwa Sugar hii hii katika hatua ya makundi ya mashindano haya haya! Simba hii hii ndiyo ile isiyo na golikipa; sasa wewe unataka kutuaminisha nini jioni hii ya leo?
Eti hadi jaja habari ya mujini nae amegeuzwa sehemu ya kuingizia mapato, ndala wanafurahisha sana. Kanjubhai naona mifuko ishaanza toboka.