Fainali Mapinduzi Cup 2019: Azam FC 2 - 1 Simba SC

Fainali Mapinduzi Cup 2019: Azam FC 2 - 1 Simba SC

Lisha ya kuchezesha idadi kubwa vijana timu ya Simba imeweza kuwabana vilivyo timu ya Azam iliyo na kikosi kamili katika mchezo wa fainali na Azam kupata ushindi mwembamba ya goli 2 kwa 1
Magoli ya Azam yakufungwa na mudathir Yahya na Obrey Chirwa huku la Simba likifungwa na Yusuph Mlipili
Hongereni vujana wa Simba mmejitaidi na hongera pia kwa ubingwa Azam FC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni sana Timu ya simba kwa kukosa kuchukua Kombe la Mapinduzi. Natumaini timu iliyocheza ni timu B.
 
Hongera azam, msimbazi walijiona kama Barcelona dhidi ya jss, wakati tim yenyewe haijulikani huko algeria. Hata ndala fc ingeshinda jana.
Ingeshindaje wakati haina uwezo wa ku qualify kucheza mechi kama aliyocheza simba jana...kachezeni nao basi na nyinyi kama unafikiri kila anayejisikia anaweza kucheza nao...vyura bana 😂😂😂😂😂😂
 
Write your reply...ASANTE AZAM KWA KUMNYAMAZISHA SIMBA WA MABOX
Vyura bana...mmejitokeza kutoka mlikokuwa mmejificha😂😂😂😂😂...sisi tumerudi na milioni kumi...vyura mmerudi na nini??
 
Hongera azam, msimbazi walijiona kama Barcelona dhidi ya jss, wakati tim yenyewe haijulikani huko algeria. Hata ndala fc ingeshinda jana.
images.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ZIMEBAKI saa kadhaa kabla ya Klabu ya Azam FC kuvaana na Simba katika fainali ya Kombe la Mapinduzi itakayofanyika Uwanja wa Gombani, Pemba leo saa 9.30 jioni.

Wakati Azam FC ikitinga fainali baada ya kuichapa KMKM mabao 3-0, Simba yenyewe imeshinda kwa changamoto ya mikwaju ya penalti 3-1 dhidi ya Malindi kufuatia dakika 90 kumalizika kwa suluhu.

Mchezo huo unakumbushia fainali ya mwaka 2017, Azam FC ilipoifunga Simba bao 1-0, bao lililofungwa na nahodha wa zamani wa timu hiyo, Himid Mao ‘Ninja’, kwa shuti la mbali lililomshinda aliyekuwa kipa wa Simba, Daniel Agyei.

Azam FC itaingia kwenye mchezo huo ikisaka taji la tano la michuano hiyo, na ubingwa wa tatu mfululizo, utakaoifanya kuandika rekodi mpya ya kuwa timu pekee kuwahi kufanya hivyo.

Kila ikiingia fainali, Azam FC mara zote imeweza kufanikiwa kutwaa taji hilo, ambapo kihistoria imelitwaa mwaka 2012, 2013, 2017, 2018.


Mshambuliaji wa Azam FC, Obrey Chirwa, ataingia kwenye mchezo huo akitaka kuendeleza moto wake wa kufunga mabao hadi sasa akiwa ndiye kinara wa kupachika mabao kwenye michuano hiyo, akiwa amefunga manne.

...........
Baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya JS Saoura jana kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, wachezaji watatu wa Simba wamesafiri leo kuelekea Zanzibar kuongeza makali ya Mapinduzi CUP.

Haruna Niyonzima, Rashid Juma na Shiza Kichuya ndiyo waliosafiri kuelekea visiwani humo tayari kwa fainali hiyo.

Simba ilitinga fainali baada ya kuiondoa Malindi FC kwa mikwaju ya penati ikiwa ni baada ya dakika 90 kumalizika kwa suluhu ya 0-0.


=====

Azam FC wananyakua kombe hilo kwa mara ya tatu mfululizo baada ya kuifunga Simba SC Tanzania mabao 2-1 kwenye fainali iliyopigwa Uwanja wa Gombani huko Pemba.
Dis is football..we hv many competition on hand.we thnks also for dis step we made..congra to my player team b..let us concetrate on huge comptxn.

Sent using [galaxy S6 edge]Jamii Forums mobile app[/url]
 
Jamani waoneeni huruma hawa vyura walichofata Zenji ni boti la azam tu kile kiberenge chao kimewakomaza makalio. Basi siti mabenchi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera azam, msimbazi walijiona kama Barcelona dhidi ya jss, wakati tim yenyewe haijulikani huko algeria. Hata ndala fc ingeshinda jana.
Haijulikani inakuwaje katika timu zao zote yenyewe ipo inawawalilisha klabu bingwa?
Upuuzi mtupu, ayaa sherekeheni leo angalau azam kashinda maana ilikiwa kila timu mnayoishangilia dhidinya simba inapigwa.
 
Back
Top Bottom