Fainali ya Ligi kuu ya mbio za mabasi Tanzania (Sauli vs New Force/ Golden Deer) na lori la mafuta, serikali imejifunza nini?

LATRA LEO WAMEFURAHI SANA.
KILA wakiambiwa NEW FORCE NI JANGA hawaSIKII, SIJUI KUNA KITU WANAPEWA?
 
Na hapo ndo ujiulize. Toka mida ajali imetokea, hakuna breakdown! Hakuna hata grader au dozer ya kutengeneza njia ya dhalula! Kutoka Kibaha,saa moja na nusu,tupo njia ya Morogoro, hakuna gari iliyopita kutoka njia hiyo au inayopita kwenda.

Jiulize jam hiyo imekaaje! Na ajali imetokea asubuhi tu!!!!

Kwa wanaojua hesabu za kihasibu,wao ndo wanajua hasara taifa liliyopata kwa mda huo.
 
Una bahati sana hujawahi kupanda Matema Beach, Safina, Zainabs, Tawaqal, Sayuni, Mwanahapa a.k.a M Sleeping Coach, ilikuwa ni balaa
 
Chama Cha Mazezeta
 
Ghafla nimeona taarifa now.kumbe katika Hilo sauli la Leo ndo analofanyia kazi rafiki yangu wa tangu shule..imagine mtu anapiga kazi na afya njema Kisha kesho inatangazwa kafa..ajali hizi

Hiyo ajali watu kibao wamekufa ila wanaficha
Ajali za New Force zinafunikwa funikwa sana
 
Kuna uzi humu ukitabiri maafa yatakayotokea kwa hizo basi kutokana na upuuzi wa kukimbizana huku majitu yakishangilia. Hii nchi ina watu wa hovyo sana
 
LATRA WAMEWEZA KUPANGA RATIBA HADI USIKU,UKIONA MTU ANASHABIKIA HAYO MABASI UJUE NI KIMEO,KWANINI UPANDE BASI ZINAKIMBIA HOVYO NAMNA HIYO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…