Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

Unamtetea bure lakini jamii inaujua ukweli.
Mke wa Sugu anampenda sana huyo mtoto..akichukuliwa kwenda hata likizo mama yake akiona wanaambatana analiamsha tena.

Fuatilia vizuri ili uhukumu kwa haki.

Huyu mama anataka kula kupitia mgogi wa mtoto
Sio anataka kula kutumia mtoto bali anataka kuliwa kutumia mtoto
 

Attachments

  • Screenshot_20221212-202601_Twitter.jpg
    Screenshot_20221212-202601_Twitter.jpg
    273.2 KB · Views: 13
Ila hapo kwenye ku west time ndo balaa lugha ya malikia kweli ilikuja na meli.
 
Kwanin haonani na mtoto?
Sugu nae ana makosa yake, nachosemea mimi mambo ya kutukana mitandaoni Faiza anakosea sana sababu kama mwanaume kakaza hivyo hayo matusi yake hayatokaa yakambadilisha sana sana ni mwiba kwa mtoto wao. Nataman hiki kitu wangekimaliza wenyewe huko ila kuvuana nguo kwa mtandao sio poa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faiza hataki pesa za Sugu kwa maelezo yake bali mtoto wake Sacha anamsumbua kutaka kuzungumza na baba yake na kilio juu Sugu kagoma kuzungumza na mtoto.
Ukweli wanaujua wao watatu Sasha, Faiza na Sugu..
Angekua hampendi mwanawe asingeenda nae kwenye tukio lake kuubwaaa la mziki,zile clip za kale katoto kumuambia mom happy sijui FUTA picha sijui nini hata Mimi ndo ningekua baba ningekaa kimya tuu
Faiza anammanipulate yule mtoto sanaa akili..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2444126
Wana jukwaa hivi hapa anaejuta kuzaa na mwenzie ni nani kati ya Faiza na Sugu?

Faiza ana mtusi matusi makubwa sijui kama anajenga kwakweli, pia mwanaume kama ni kweli hamjali mtoto kwa lolote anafanya vibaya sanaa.
Ujumbe umebeba maumivu makubwa ya Faiza kwa kumkosa/kutoswa na sugu. Anatumia uzao kama mlango lakini bado anampenda jamaa
 
Ujumbe umebeba maumivu makubwa ya Faiza kwa kumkosa/kutoswa na sugu. Anatumia uzao kama mlango lakini bado anampenda jamaa
Yah kumpenda bado anampenda na jamaa inaonekana yuko makini na ndoq yake kwa sasa
 
Back
Top Bottom