Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaa... Baby mamas wengi hawatakagi mtu uoe..au ukioa basi muendelee kufyatuana.. pia matumizi wanayoombaga hayaendani na uasiliaKwa sisi wenye watoto nje tumemuelewa zaidi; tatizo sio matunzo, anataka aendelee kupelekewa moto, bila kujali madhara yatakayotokea kwenye ndoa.
Mara amtukane mfiraji ana kibamia,sema anampendea pesa.Faiza angekuwa na pesa wala asingehangaika na Sugu.Sema maisha yakimpiga anakumbuka angekuwa na Sugu kungekuwa na mselelekoYah kumpenda bado anampenda na jamaa inaonekana yuko makini na ndoq yake kwa sasa
Kupasha kiporo ni moja ya tabia hatarishi kubwa sana zinazoweza kusababisha maambukizi ya VVUKupasha kiporo kunataka muda gani? Hata kwenye gari mbona fresh tu
Duh[emoji23][emoji23][emoji23]Waliposema mitandao ni janga na kumbukumbu hazifutiki mwanamitindo wetu Faiza ktk ubora wake
View attachment 2447599View attachment 2447600View attachment 2447601
Yupo sahihi kivipi? Sugu akionana na mwanae anatukanwa yeye na mke wake... Akikausha anatukanwa... Mbona Faiza haeleweki anataka nini? [emoji16]Kwanin asiwe anaonana na mwanae?Faiza yupo sahihi
Mtoto mwenyewe yupo naye kwa huruma ya Sugu tu... Mahakama iliisha mkabidhi mtoto kwa Sugu baada ya kuona mama hafai...Honestly Faiza anahitaji matibabu.....sad anaharibu future ya mtoto asiye na hatia
Itakua tena chooni..maana si kwa akili zileHivi anavuta eee
Hiyo picha ya chini sijui pampersKumbukizi hahahhahaha