Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Angekuwa anataka kuheshimiwa asinge-post ule ujinga
 
Aliyepost picha ni faiza na ameandika Mimi ndo faiza nitabaki kuwa Mimi faiza...baada ya kuona watu wameupokea tofauti uchizi wake yaan haukupata support akapost nyngne kutetea ujinga wake akaandika kuwa wamuache tu apost coz kupush sio kazi ndogo.
Sasa hapo soudy unamuingizaje au ndo unatetea haki ya yule anaeikataa haki yake.
 
Mleta mada uzi hebu na wewe jitafakari.
Picha ipo mitandaoni kapost mwenyewe sasa shida iko wapi! !
 
Huyo faiza alianza kupost yeye mwenyewe kwenye Insta yake na kuahidi kuwa anapost na video kuonyesha kuwa ni mwanamke wa kwanza bongo kujifungua live
 
Anatushangaa tunaomshangaa kwahiyo tunashangaana!

Kwa kweli inabidi tukubali kwamba tunatofautiana utashi wa kudadavua mambo!!

Sijui mtoto wake huyo akija kuwa mkubwa akaiona hiyo picha atajisikiaje, tuwaombee sana watu kama hawa...
tusisahau na kujiombea pia
 
Unajua mi demu nikishapiga nae story dakika 10 tu najua huyu kichwani zipo ngapi, sasa nashangaa Sugu alikuwa anakatika tu mpaka mimba yaani alikuwa ajagundua tu kama huyu chizi?
Ujue hata yeye anakuona wewe chizi[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…