Mr Mikazo
JF-Expert Member
- May 26, 2016
- 1,594
- 800
n kwel hajavaa shati mkuu? wacha uongoNimeshindwa kuidownload picha mkuu ingia inster then itupie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
n kwel hajavaa shati mkuu? wacha uongoNimeshindwa kuidownload picha mkuu ingia inster then itupie
Angekuwa anataka kuheshimiwa asinge-post ule ujingaHiyo picha ni kinyume na sheria mila na desturi ya Tanzania ndio maana tukikuta kichaa anatembea uchi huwa tunamsitiri kwa khanga jaribu ku i magine angekuwa mama yako binti yako au mkeo au hata dada yako ungeweza kuiposti kwenye page yako wewe mwandishi maarufu?
Anatushangaa tunaomshangaa kwahiyo tunashangaana!
Acha kabisa mkuu, kwa staili hii CCM itatawala Nchi hii miaka mia tanoHapa ndio unapata picha halisi kwanini CCM bado ipo madarakani na itaendelea kuwa madarakani......
NB
SAMAHANINI VIJANA KWA KUWAINGILIA
Ujue hata yeye anakuona wewe chizi[emoji23] [emoji23]Unajua mi demu nikishapiga nae story dakika 10 tu najua huyu kichwani zipo ngapi, sasa nashangaa Sugu alikuwa anakatika tu mpaka mimba yaani alikuwa ajagundua tu kama huyu chizi?
![]()
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]