Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Kuna picha zina sambaa mtandaoni zikimuonyesha Faiza Ally akiwa leba anajifungua uchi wa mnyama, kweli hizi picha huenda alizipiga kwa kupenda kwake huyu dada huwa namchukulia kama mentally challenged.

Nimeshtuka nakuogopa kuona Soudy umepost kwenye IG page yako bila kujali maelezo uliyayaambatanisha, angekuwa dada yako au mama yako ungeweza kufanya hivyo au ndio unatafuta umaarufu.

Kitendo hiki ni cha kishetani kinyume na maadili na pengine ni kinyume na sheria na nikikutana na wewe mtaani naweza kukuchukulia sheria mikononi.

Cc Ummy mwalimu

Picha ninayo siwezi kuiweka humu
Niwekee inbox
 
Kuna picha zina sambaa mtandaoni zikimuonyesha Faiza Ally akiwa leba anajifungua uchi wa mnyama, kweli hizi picha huenda alizipiga kwa kupenda kwake huyu dada huwa namchukulia kama mentally challenged.

Nimeshtuka nakuogopa kuona Soudy umepost kwenye IG page yako bila kujali maelezo uliyayaambatanisha, angekuwa dada yako au mama yako ungeweza kufanya hivyo au ndio unatafuta umaarufu.

Kitendo hiki ni cha kishetani kinyume na maadili na pengine ni kinyume na sheria na nikikutana na wewe mtaani naweza kukuchukulia sheria mikononi.

Cc Ummy mwalimu

Picha ninayo siwezi kuiweka humu
Jibu lako toka kwa mhusika maalum
tapatalk_1512299139117.jpeg
 
Mwenyewe kakubali kupigwa hiyo picha sasa wewe inakuuma nn?
Watu wengine sijui hamna ubongo.
Mbona hamfikirii?
 
Huyo ni mwanamke anayejitambua kweli?
Sidhani kama anajitambua
 
Kwani soudy ndo alienda kumpiga picha akiwa labour room?picha kapiga mwenyewe kwa utashi wake na kaisambaza mwenyewe na hajaonyesha kujutia wewe watokwa na povu,halafu ilivyo ajabu sasa yeye mwenyewe anawashangaa kwa kumshangaa.
 
Kibumbu kimenivutia [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Soudy na faiza wote wana akili sawa.
Faza mwenyewe ndo kwanza analalamka kuhusu kufutwa kwa hio photo IG...
 
Unajua mi demu nikishapiga nae story dakika 10 tu najua huyu kichwani zipo ngapi, sasa nashangaa Sugu alikuwa anakatika tu mpaka mimba yaani alikuwa ajagundua tu kama huyu chizi?
Usimshangae Sugu mkuu, kuna msemo unasema Ndege wafananao ....
 
Unajua mi demu nikishapiga nae story dakika 10 tu najua huyu kichwani zipo ngapi, sasa nashangaa Sugu alikuwa anakatika tu mpaka mimba yaani alikuwa ajagundua tu kama huyu chizi?
Ushasema sugu.mademu wa club/maskani hao mixer magheto ya ndumu
 
Nani kakosa maadili kati ya aliepiga,pigwa na kuposti...ukinipa jibu tutaendelea
 
Acheni upotoshaji soud hajaenda hospital kupiga hiyo picha faiza na bangi zake ndo kaipost wa kwanza kwenye mitandao hata snura alipomsema kwa kitendo hicho kamtolea povu
 
mwenyewe ndo naisubiri kwa hamu hapa mkuu...nataka nishuhudie alivokata gogo wakati wa kupush...maana kama anavosema kupush si kazi ndogo.

Acha zako wewe, ni kwamba nawe unasapoti huu ujinga!!!

Binadamu sasa tumekua kama wanyama duh
 
Back
Top Bottom