Faiza Ally aweka wazi mahusiano yake na Gabo Zigamba

Faiza Ally aweka wazi mahusiano yake na Gabo Zigamba

Huyu Faiza alisha poteza sana.... Kwa mwenye akili atajutia uamuzi aliouchukua usiokuwa na manufaa ktk maisha yake
Sugu-10.jpg
 
Acha uongo. Huwezi kuchuja kipi uongo kipi ni kweli?
 
Namuonea huruma huyo Gabo.
Hivi haoni mwenzie anavyojuta.
Anyway hatuwezi kuwapangia ni mapenzi yao.
All the best kwao.
 
Sio kila anayeshangaa hajui, kuna wanaoshangaa sababu ya shanga. Kuna wengine kama wewe wanainua mapanga ili waone matanga. Wakikosa wali huanzisha shari.
Yani wewe khaa [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Ngoja akose matumizi ya kijacho ndio atalijua jiji
 
This is not a normal situation, something must be wrong somewhere!
 
Huyo mwanaume sugu anaweza hata kumpa pesa kwa kumbebea huo mzigo.
 
Gabo si ana mke?
Hata kama ana mke hawa waigizaji wana njia nyingi za kujitetea,hapo anaweza kusema walikuwa wanaigiza na akakubalika,kasheshe iko kwa sie tusiokuwa waigizaji sijui utajitetea vipi...
 
Back
Top Bottom