Gene da beauty
JF-Expert Member
- Apr 18, 2017
- 446
- 830
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu ucnisahau kwnye chorus umetisha!Sio kila anayeshangaa hajui, kuna wanaoshangaa sababu ya shanga. Kuna wengine kama wewe wanainua mapanga ili waone matanga. Wakikosa wali huanzisha shari.