Faiza Ally (Ex wa Sugu) na battle isiyoisha kwa Mke wa Sugu

Faiza Ally (Ex wa Sugu) na battle isiyoisha kwa Mke wa Sugu

meghan markle

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2018
Posts
489
Reaction score
1,192
Huyu dada Faiza muda mrefu amekua aki hangaika sana toka Sugu amemuacha. Ni kama hajakubali matokeo ameshawahi fanya vituko vingi ila kilichofumbua watu akaonekana ni mental case ni pale alipotunza nguo ya ndani iliyochakaa kisa alikua nayo toka akiwa kwenye mahusiano na Sugu.

Battle imehamia kwa Happy ambae ameolewa rasmi na Sugu. Issue kubwa ni hataki picha ya mtoto wake (aliezaa na Sugu) ipostiwe na Happy. Japo kwa upande mwingine anaweza kua na hoja ya msingi kwasababu Happy hana kawaida ya kumpost Sasha sio kwenye birthday wala matukio yoyote yale.

Wakati hata Sasha akienda Mbeya kwa baba ake Happy hajawahi kuonyesha furaha wala kumpost . Faiza anachohoji iweje leo Happy apige picha pamoja na raisi akijibaraguza kua Sasha ni mwanae? Kuna mengi sana nyuma ya hii triangle ya Sugu, Faiza na Happy na mtoto Sasha.

Nafikiri pia ni wakati sasa Faiza apewe msaada , maana ni dhahiri ana mental issues. Mambo anayofanya sio ya kawaida anakoelekea anaweza kumdhuru huyu mtoto (Sasha) as a way to get back at Sugu na Happy.
 
faiza ni mwehu, haijalishi Happy anampenda mtoto au hampendi , maana Sugu anampenda mwanawe inatosha, kuna kipindi wanaharakati feki enzi hizo kina Martha Mlata mbunge viti maalum aliingilia ugomvi wa Sugu na faiza naona kwa Sasa anajutaa niliwaona wapuuzi wa Hali ya juu, Leo anatoa mitusi mizito mizito kisa tu mwanawe kapostiwa, vitu vidogo mnooo yeye anamind ,faiza angetaka kumuumiza Happy angekua anamkalia kimya tuu.

Nadhani hakujua kama happy ataolewa na atazaa na Sugu maana ashawahi muita mgumba pia.
Amefanya Sugu ajute kuzaa nae yaani Kama Kuna makosa anayajutia la kwanza hilo
Na kanikera kumuingiza mtoto kwenye maugomvi yao.

Single mamaza wakubali kuachwa,maisha yapo tuu SUGU sio mwanaume pekee Ana mtoto na baba mwingine lakini wa Sugu ndo anakoma matusi
 
faiza ni mwehu,haijalishi Happy anampenda mtoto au hampendi ,maana Sugu anampenda mwanawe inatosha,kuna kipindi wanaharakati feki enzi hizo kina Martha Mlata mbunge viti maalum aliingilia ugomvi wa Sugu na faiza naona kwa Sasa anajutaa niliwaona wapuuzi wa Hali ya juu,Leo anatoa mitusi mizito mizito kisa tu mwanawe kapostiwa,vitu vidogo mnooo yeye anamind ,faiza angetaka kumuumiza Happy angekua anamkalia kimya tuu
Nadhani hakujua kama happy ataolewa na atazaa na Sugu maana ashawahi muita mgumba pia.
Amefanya Sugu ajute kuzaa nae yaani Kama Kuna makosa anayajutia la kwanza hilo
Na kanikera kumuingiza mtoto kwenye maugomvi yao.
Single mamaza wakubali kuachwa,maisha yapo tuu SUGU sio mwanaume pekee Ana mtoto na baba mwingine lakini wa Sugu ndo anakoma matusi
Halafu tabia ya kutukana watu kuwa wagumba hakomi tu...karudia tena kwa diva....
Amuulize muna love alimnanga wema sasa hivi wapo sawa.
 
Tuliachiwa note

Kosea kuoa mtaachana ila siyo kumzalisha mtu miyeyusho.

Yaani hamjaongea almost miezi miwili zaidi ya kutuma pesa na anajibu tu 'Seen" 'Received' yaani hata kuambiwa anaumwa hakuna ila post status labda unaonekana upo sehemu ya furaha au unafanya kitu cha furaha.

Sms inayokuja 'Mtoto anaumwa huku we unakula raha tu' ukipiga simu uongee na mtoto unatextiwa tupo hospital hatuwezi ongea. Nitajie hospital nije, tumeshatoka we endelea kula raha.

Hiyo ni fiction scenario.
 
faiza ni mwehu,haijalishi Happy anampenda mtoto au hampendi ,maana Sugu anampenda mwanawe inatosha,kuna kipindi wanaharakati feki enzi hizo kina Martha Mlata mbunge viti maalum aliingilia ugomvi wa Sugu na faiza naona kwa Sasa anajutaa niliwaona wapuuzi wa Hali ya juu,Leo anatoa mitusi mizito mizito kisa tu mwanawe kapostiwa,vitu vidogo mnooo yeye anamind ,faiza angetaka kumuumiza Happy angekua anamkalia kimya tuu
Nadhani hakujua kama happy ataolewa na atazaa na Sugu maana ashawahi muita mgumba pia.
Amefanya Sugu ajute kuzaa nae yaani Kama Kuna makosa anayajutia la kwanza hilo
Na kanikera kumuingiza mtoto kwenye maugomvi yao.
Single mamaza wakubali kuachwa,maisha yapo tuu SUGU sio mwanaume pekee Ana mtoto na baba mwingine lakini wa Sugu ndo anakoma matusi
Niliwai kum mu unfollw yule dada Kam mm nilipata kero vip sugu
 
Halafu tabia ya kutukana watu kuwa wagumba hakomi tu...karudia tena kwa diva....
Amuulize muna love alimnanga wema sasa hivi wapo sawa.
Umeona eehhh!huyu demu sijui Ana shida Wapi!anajiona yeye kwa kua kazaa baasi amepataa sana!anakera mnoo!
Mi binafsi namuonaga kichaa na wanaomsapoti pia siwaelewi
 
Sugu anajuta sana.
Sasha akikua na kujitambua atamlaumu sana mama yake.
Kabisaa yaani atajiskia vibaya Sana!
Monalisa alivyoachana na George Tyson(Marehemu)nadhani Huyu baba alianza maisha mapya na mke mwingine but we never had anything kuhusu wao!
Faiza nadhani anataka umaarufu kwa nguvu Sana!
Yaani kichaa plus plus
 
Back
Top Bottom