Faiza Ally (Ex wa Sugu) na battle isiyoisha kwa Mke wa Sugu

Faiza Ally (Ex wa Sugu) na battle isiyoisha kwa Mke wa Sugu

Sugu inaonekana alimfikisha Faiza kilele ambacho ajawah fikishwa mpk leo na mwanaumee yyt ktk mapenzi ,ndio maana ana haha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kilele hicho si kingine bali ni kuvumilia upumbavu wake kwa muda mrefu sana.

Sugu was an ambitious man na alikuwa so freaking real na Faiza though personality ya Faiza inaonesha ni ile ya narcissist ambaye huwa anaku downgrade partner wake as huwezi fanya lolote bila yeye, or like ukiwa nae she feels like she is upgrading you so without her you are nothing.
Hii hali makes us Men feel so miserable haswa tukiwa down on earth ila mpenzi wako anakuwa sio mtu wa ku appreciate uwepo wako katika maisha yake licha ya jitihada unazofanya. Unamuonesha upendo haswa you buy her stuff ila ana kale kashetani ka ukorofi tu.

Kimsingi mwanzoni lilikuwa linamtesa sana Sugu especially kipindi ambacho Faiza alikuwa mainstream ana heshima kubwa tu nafikiri level za Madam Ritha zile. Imagine unavumilia drama za demu wako mwisho unaamua kuoa kabisa ukifikiri mambo yatatulia ila haiwi hivyo. Hatimaye Sugu alikuwa fed up akaona bora aliache fupa lilomshinda fisi japo kwa maumivu sana ila he had to do it sababu alikuwa tayari kashapata personality kubwa katika medani za kisiasa nchini.

Sote tunajua maumivu ya kuachana ila mbaya zaidi kwa watu mliopendana sana ila mmoja aka give up inakuwa ngumu kwa mwengine kukubali hali halisi. Mbaya zaidi kwa miaka ambayo wamekuwa pamoja na umri ambao watu hao wako nao plus mtoto. Kuna umri ukifika wanaume we only need peace of mind na tunatarajia tukioa tuipate hio peace of mind kwa wake zetu..

Kwa nachokiona Faiza ana haki ya kuchanganyikiwa zaidi sababu ndie looser katika kuachana huko.

1.Kwanza alikuwa dramatic akitegemea hataachwa matokeo yake kaachwa vizuri tu regardless ya ndoa na mtoto.

2. Pili ameachwa kipindi ambacho Sugu amefika kwenye peak ya mafanikio kimaisha he is no longer broke or going to be broke ever.

3.Umri wake umesonga na ni single mother haoleki tena kashazeeka nobody eyes on her like before.

4. I have a doubt about his financial situation huenda anapitia financial struggles sana ili ku keep up with her big name.

5. Amekwisha turnish her image kwenye public so watu wanampuuza tokana na matendo yake na drama zake toka ameachwa.
 
Kilele hicho si kingine bali ni kuvumilia upumbavu wake kwa muda mrefu sana.

Sugu was an ambitious man na alikuwa so freaking real na Faiza though personality ya Faiza inaonesha ni ile ya narcissist ambaye huwa anaku downgrade partner wake as huwezi fanya lolote bila yeye, or like ukiwa nae she feels like she is upgrading you so without her you are nothing.
Hii hali makes us Men feel so miserable haswa tukiwa down on earth ila mpenzi wako anakuwa sio mtu wa ku appreciate uwepo wako katika maisha yake licha ya jitihada unazofanya. Unamuonesha upendo haswa you buy her stuff ila ana kale kashetani ka ukorofi tu.


Kimsingi mwanzoni lilikuwa linamtesa sana Sugu especially kipindi ambacho Faiza alikuwa mainstream ana heshima kubwa tu nafikiri level za Madam Ritha zile. Imagine unavumilia drama za demu wako mwisho unaamua kuoa kabisa ukifikiri mambo yatatulia ila haiwi hivyo. Hatimaye Sugu alikuwa fed up akaona bora aliache fupa lilomshinda fisi japo kwa maumivu sana ila he had to do it sababu alikuwa tayari kashapata personality kubwa katika medani za kisiasa nchini.

Sote tunajua maumivu ya kuachana ila mbaya zaidi kwa watu mliopendana sana ila mmoja aka give up inakuwa ngumu kwa mwengine kukubali hali halisi. Mbaya zaidi kwa miaka ambayo wamekuwa pamoja na umri ambao watu hao wako nao plus mtoto. Kuna umri ukifika wanaume we only need peace of mind na tunatarajia tukioa tuipate hio peace of mind kwa wake zetu..

Kwa nachokiona Faiza ana haki ya kuchanganyikiwa zaidi sababu ndie looser katika kuachana huko.

1.Kwanza alikuwa dramatic akitegemea hataachwa matokeo yake kaachwa vizuri tu regardless ya ndoa na mtoto.

2. Pili ameachwa kipindi ambacho Sugu amefika kwenye peak ya mafanikio kimaisha he is no longer broke or going to be broke ever.

3.Umri wake umesonga na ni single mother haoleki tena kashazeeka nobody eyes on her like before.

4. I have a doubt about his financial situation huenda anapitia financial struggles sana ili ku keep up with her big name.

5. Amekwisha turnish her image kwenye public so watu wanampuuza tokana na matendo yake na drama zake toka ameachwa.
Nipe namba zake nitamvumilia
 
Kilele hicho si kingine bali ni kuvumilia upumbavu wake kwa muda mrefu sana.

Sugu was an ambitious man na alikuwa so freaking real na Faiza though personality ya Faiza inaonesha ni ile ya narcissist ambaye huwa anaku downgrade partner wake as huwezi fanya lolote bila yeye, or like ukiwa nae she feels like she is upgrading you so without her you are nothing.
Hii hali makes us Men feel so miserable haswa tukiwa down on earth ila mpenzi wako anakuwa sio mtu wa ku appreciate uwepo wako katika maisha yake licha ya jitihada unazofanya. Unamuonesha upendo haswa you buy her stuff ila ana kale kashetani ka ukorofi tu.


Kimsingi mwanzoni lilikuwa linamtesa sana Sugu especially kipindi ambacho Faiza alikuwa mainstream ana heshima kubwa tu nafikiri level za Madam Ritha zile. Imagine unavumilia drama za demu wako mwisho unaamua kuoa kabisa ukifikiri mambo yatatulia ila haiwi hivyo. Hatimaye Sugu alikuwa fed up akaona bora aliache fupa lilomshinda fisi japo kwa maumivu sana ila he had to do it sababu alikuwa tayari kashapata personality kubwa katika medani za kisiasa nchini.

Sote tunajua maumivu ya kuachana ila mbaya zaidi kwa watu mliopendana sana ila mmoja aka give up inakuwa ngumu kwa mwengine kukubali hali halisi. Mbaya zaidi kwa miaka ambayo wamekuwa pamoja na umri ambao watu hao wako nao plus mtoto. Kuna umri ukifika wanaume we only need peace of mind na tunatarajia tukioa tuipate hio peace of mind kwa wake zetu..

Kwa nachokiona Faiza ana haki ya kuchanganyikiwa zaidi sababu ndie looser katika kuachana huko.

1.Kwanza alikuwa dramatic akitegemea hataachwa matokeo yake kaachwa vizuri tu regardless ya ndoa na mtoto.

2. Pili ameachwa kipindi ambacho Sugu amefika kwenye peak ya mafanikio kimaisha he is no longer broke or going to be broke ever.

3.Umri wake umesonga na ni single mother haoleki tena kashazeeka nobody eyes on her like before.

4. I have a doubt about his financial situation huenda anapitia financial struggles sana ili ku keep up with her big name.

5. Amekwisha turnish her image kwenye public so watu wanampuuza tokana na matendo yake na drama zake toka ameachwa.
Correct kabisaa koote huko as if ulikua unaishia nao ndani
Analysis point no.4 ni kweli kwa Sasa Yuko broke alitangaza Hadi kuuza nyumba yake nadhani kuchanganyikiwa lazima hvyo anaumia kuona mtu Kama happy anaekula good time kinoma nomaa!!
Faiza anadaiwa mnooo biashara zake kwa hapa kati ziliyumba!
 
Kilele hicho si kingine bali ni kuvumilia upumbavu wake kwa muda mrefu sana.

Sugu was an ambitious man na alikuwa so freaking real na Faiza though personality ya Faiza inaonesha ni ile ya narcissist ambaye huwa anaku downgrade partner wake as huwezi fanya lolote bila yeye, or like ukiwa nae she feels like she is upgrading you so without her you are nothing.
Hii hali makes us Men feel so miserable haswa tukiwa down on earth ila mpenzi wako anakuwa sio mtu wa ku appreciate uwepo wako katika maisha yake licha ya jitihada unazofanya. Unamuonesha upendo haswa you buy her stuff ila ana kale kashetani ka ukorofi tu.


Kimsingi mwanzoni lilikuwa linamtesa sana Sugu especially kipindi ambacho Faiza alikuwa mainstream ana heshima kubwa tu nafikiri level za Madam Ritha zile. Imagine unavumilia drama za demu wako mwisho unaamua kuoa kabisa ukifikiri mambo yatatulia ila haiwi hivyo. Hatimaye Sugu alikuwa fed up akaona bora aliache fupa lilomshinda fisi japo kwa maumivu sana ila he had to do it sababu alikuwa tayari kashapata personality kubwa katika medani za kisiasa nchini.

Sote tunajua maumivu ya kuachana ila mbaya zaidi kwa watu mliopendana sana ila mmoja aka give up inakuwa ngumu kwa mwengine kukubali hali halisi. Mbaya zaidi kwa miaka ambayo wamekuwa pamoja na umri ambao watu hao wako nao plus mtoto. Kuna umri ukifika wanaume we only need peace of mind na tunatarajia tukioa tuipate hio peace of mind kwa wake zetu..

Kwa nachokiona Faiza ana haki ya kuchanganyikiwa zaidi sababu ndie looser katika kuachana huko.

1.Kwanza alikuwa dramatic akitegemea hataachwa matokeo yake kaachwa vizuri tu regardless ya ndoa na mtoto.

2. Pili ameachwa kipindi ambacho Sugu amefika kwenye peak ya mafanikio kimaisha he is no longer broke or going to be broke ever.

3.Umri wake umesonga na ni single mother haoleki tena kashazeeka nobody eyes on her like before.

4. I have a doubt about his financial situation huenda anapitia financial struggles sana ili ku keep up with her big name.

5. Amekwisha turnish her image kwenye public so watu wanampuuza tokana na matendo yake na drama zake toka ameachwa.
Hio point ya pili inawaumizaga wanawake ukute wewe uko financial well off na yeye yupo kawaida au ana struggle alafu wewe kipindi uko nae ulikua real
 
Correct kabisaa koote huko as if ulikua unaishia nao ndani
Analysis point no.4 ni kweli kwa Sasa Yuko broke alitangaza Hadi kuuza nyumba yake nadhani kuchanganyikiwa lazima hvyo anaumia kuona mtu Kama happy anaekula good time kinoma nomaa!!
Faiza anadaiwa mnooo biashara zake kwa hapa kati ziliyumba!
Nilidhan biashara zake zinaenda kumbe ziliyumba. Nilikuwa napenda outsourcing business yake
 
Mrangi na mgogo huyuu!
Wagogo akili kisoda, warangi ndo wale wale wengi wao!wasumbufu mnooo,mmekumbuka Kaka angu alizaa na mrangi [emoji16][emoji16][emoji16]yaani anatuplekesha mnoo!huwezi hata mtoto hataki aje kwetu afu anamtia sumu mnoo mtoto!!warangi nuksi kabisaaa
Sio mrangi faiza ni mnyaturu sjui. Halaf warang hatupo hivo
 
Nilidhan biashara zake zinaenda kumbe ziliyumba. Nilikuwa napenda outsourcing business yake
Kampuni za usafirishaji zilimfelishaga Sana akajikuta anaingia loss kubwa mnoo,mpk akaunti yake ikafuta Ile ya followers 2m nadhani wananchi walimshupaliaga Sana!!wakamshtakia,ndo anainuka pole pole kipindi kile Yuko busy alipunguza hizi drama
 
20220605_104242.jpg
 
Umeona eehhh!huyu demu sijui Ana shida Wapi!anajiona yeye kwa kua kazaa baasi amepataa sana!anakera mnoo!
Mi binafsi namuonaga kichaa na wanaomsapoti pia siwaelewi
Tatizo hataki ku move on leo anamtukana mtoto wa Sugu wa mwaka mmoja yeye anadhani anamkomoa Happy...hivi mwanae akienda likizo kwa baba ake ataishije?
 
Correct kabisaa koote huko as if ulikua unaishia nao ndani
Analysis point no.4 ni kweli kwa Sasa Yuko broke alitangaza Hadi kuuza nyumba yake nadhani kuchanganyikiwa lazima hvyo anaumia kuona mtu Kama happy anaekula good time kinoma nomaa!!
Faiza anadaiwa mnooo biashara zake kwa hapa kati ziliyumba!
Damn thats critical aisee! Kufikia mpaka kuwaza kuuza nyumba ngoma lazma imekuwa ngumu.
 
Back
Top Bottom