bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
sijui kwa nini hatujifunzi kwa wahindi, wao utawadhania masikini ukiwaona kumbe hawana mchezo na matumizi ya ovyo mpaka pale biashara zao zinapoimarika.We ndo umeongea point kumbe zilikua pesà za wateja na Lau km angeweka akiba asingeyumba Sana ,Tena alipaswa awe chinj mpk akae sawa Sasa alianza kula faida kabla ya biashara kuanza kuchanganya
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaani kumpa pesa tayari kosa la kwanza hiloYaani Mimi jamani muoga mnoo kwanza Hela yenyewe ya ngama Sasa kuitapanya Nako wewe...big nooo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
sijui wanakwama wapi alafu unampa faiza ambaye anavaa pampaz kwenye party😉Dunia hii unampa mtu pesa ya biashara akuletee mzigo duh
Nadhani wanakuwa wanatamani na wao kuona wanaagiza kitu kutoka njesijui wanakwama wapi alafu unampa faiza ambaye anavaa pampaz kwenye party😉
Kampuni kidg uwezekano wa kurudishiwa gharama zako inakuwa rahisi tofauti na mtu binafsiMimi ht kampuni naogopa Kwa kweli maana dada angu ashawahi agiza vyombo china ,kaletewa sahani tupuu afu Sasa zimetoboka kati almost 400
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Baadhi ya comments za waja View attachment 2609222View attachment 2609224View attachment 2609225View attachment 2609226View attachment 2609227View attachment 2609228View attachment 2609229View attachment 2609230View attachment 2609231View attachment 2609232
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
na faiza hapo ni mwenyewe kashindwa ,line upp ya wateja alipata vizuri tuNadhani wanakuwa wanatamani na wao kuona wanaagiza kitu kutoka nje
Angalia anaweza siku akaja kuchakarika na wewe 😀Wafanyabiashara wengi tu walipata haya majanga...mm ntaendelea kumuamini ni mchakarikaji aise
Inaelekea hakuwa na tahadhari endapo tatizo litatokea kwenye hizo harakati zakena faiza hapo ni mwenyewe kashindwa ,line upp ya wateja alipata vizuri tu
Mbona platforms za kuagiza mizigo zipo nyingi, kwa nini mnatumia mtu hana kampuni kuwaagizia mizigo? Naipenda sana pesa yangu siwezi kurisk namna hiyo.Kama hujui experience za biashara hivi vitu utashadadia...ni.changamoto tu hizi..mm aliniagizia kimashine changu kikafika....!
aisee nimeghairi kabisa siku hizi,maana kile kituko niliagiza ilikua balaa kwanza kaboka, kitambaa klimplini sijavaa mpk leo hela waliyochukua sasa.nimeagiza amazon km sio ally expressMi sijui kwann biashara ya mitandaoni sina imani nayo kabisa hasa nikiwa nafanya na mbongo
Nilishawahi kuagiza cake kwa mtu kwenye ukurasa wa insta pic inaonekana kubwa ila ilivyokuja mkononi kama kisoda 😆
Biashara ina risk bado mtu anaongeza nyingine za wazi wazi kabisaMbona platforms za kuagiza mizigo zipo nyingi, kwa nini mnatumia mtu hana kampuni kuwaagizia mizigo? Naipenda sana pesa yangu siwezi kurisk namna hiyo.
Hahaha[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kilivyo kipole sasaa kisauti!!!akiongea Sasa utampenda balaaa kumbe anakuua
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu kinachomponza ni kushindana na Happy basi...hapo ndo ataumia mpaka aondoke dunianiWe ndo umeongea point kumbe zilikua pesà za wateja na Lau km angeweka akiba asingeyumba Sana ,Tena alipaswa awe chinj mpk akae sawa Sasa alianza kula faida kabla ya biashara kuanza kuchanganya
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Narudia tena sio kila mtu ni mfanya biashara.Hii guys
Haya mambo ya mjini Daslam socialite Faiza na asieshiwa vituko amelipuliwa na kashfa za utapeli Kwa Baadhi ya watu waliompa Pesa awaletee mzigo kutoka China
Ukimbukwe miaka kadhaa iliyopita alianza biashara ya kwenda China kunnua vitu unampa Pesa anakuagizia then mizigo ikifika unafata
Sasa baasi nadhani hapa kati mambo yaliingiliana sijuii alikumbwa na Nini maana ana madeni na mizigo ga watu mingi wanamdai tu the extent mpk anapelekwa polisi analipa
Yasemekana pia ukimdai sana anakublok paaap,na watu wengi wanalalamika hawalipi na wanadai pesa za Mizigo
Faiza mwenyewee alishakiri kua anadaiwa na alitaka kuuza nyumba alipe madeni watu wakamshauri asiuze alipe pole pole
Kero yake ni kua ukimdai unakula mitusi na blok juu na huna Cha kumfanya ,mtoto wa mjini tenaa...
Jana Naona mange Kamlipua paaap Yaani hizo testimony za watu wanaomdai mpk huruma ,Mungu amsaidiei alipe.
Na Sasa hivi kaanzisha mchezo wa kupeana ila Bado watu wataenda
Nimegundua online business bongo Bado sana wengi wafanyabiashara ni matapeli tapeli tu,na hawana mitaji ya kuovercome losses Incase ikitokea
Ndo maana faiza Leo anaonekana tapeli
Maana pesa hawana isipokua Drama tu za mitandaoni
Lingine unaagiza mzigo January unatumia December
Ila watanzania tulivyo wajinga Bado watu wataendella kuagiza pia Ili bàadae walalamike tu
Watu Sasa hivi hawaogopi Mungu wanafanya wanavojua ,yaani ht umpelelek wapi bad anaendeleza mambo yake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kanywaa bia kafloat kwa furaha[emoji481][emoji481][emoji482][emoji482]Happy atakuwa na Sherehe huko leo[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kanywaa bia kafloat kwa furaha[emoji481][emoji481][emoji482][emoji482]
Unachokiona kuagiza online sicho kabisa wanacholetaMkuu hebu funguka...mi niliagiza vile vikoti vyao vya leather Alibaba, siku napokea hivyo vikoti hata mtoto wangu hakimtoshii