Faiza Ally na kashfa ya utapeli

Faiza Ally na kashfa ya utapeli

We ndo umeongea point kumbe zilikua pesà za wateja na Lau km angeweka akiba asingeyumba Sana ,Tena alipaswa awe chinj mpk akae sawa Sasa alianza kula faida kabla ya biashara kuanza kuchanganya

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
sijui kwa nini hatujifunzi kwa wahindi, wao utawadhania masikini ukiwaona kumbe hawana mchezo na matumizi ya ovyo mpaka pale biashara zao zinapoimarika.

Namkumbuka yule Jetu Patel aliposhitakiwa kwa kesi ya rada (dola milioni 2), ukimuona ulidhania masikini fulani hivi kumbe jamaa ni milionea
 
Usishabikie haya mambo hayana mantiki haswa kwa waagizaji wadogo wanaofanya consolidation kwa kushare continer kuna risk kubwa watu wanafariki kwa presha kile kipande mzigo upo majini karibu siku 14 na zaidi ba kuna pesa ndefu zipo herani.

Watu washafanya consolidation mzigo ukabuma njiani huyo aliagizia watu hajui afanyaje yeye kalost ila je wenzie watamuelewa nn?

Juzi tu hapa containers hapo TICTS zilidondoka na kuleta hasara ...Hayo mambo ni risk sana ya kuagiza usishabikie kama hujui biashara.
 
Mi sijui kwann biashara ya mitandaoni sina imani nayo kabisa hasa nikiwa nafanya na mbongo
Nilishawahi kuagiza cake kwa mtu kwenye ukurasa wa insta pic inaonekana kubwa ila ilivyokuja mkononi kama kisoda 😆
aisee nimeghairi kabisa siku hizi,maana kile kituko niliagiza ilikua balaa kwanza kaboka, kitambaa klimplini sijavaa mpk leo hela waliyochukua sasa.nimeagiza amazon km sio ally express
 
We ndo umeongea point kumbe zilikua pesà za wateja na Lau km angeweka akiba asingeyumba Sana ,Tena alipaswa awe chinj mpk akae sawa Sasa alianza kula faida kabla ya biashara kuanza kuchanganya

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu kinachomponza ni kushindana na Happy basi...hapo ndo ataumia mpaka aondoke duniani
 
Hii guys
Haya mambo ya mjini Daslam socialite Faiza na asieshiwa vituko amelipuliwa na kashfa za utapeli Kwa Baadhi ya watu waliompa Pesa awaletee mzigo kutoka China
Ukimbukwe miaka kadhaa iliyopita alianza biashara ya kwenda China kunnua vitu unampa Pesa anakuagizia then mizigo ikifika unafata
Sasa baasi nadhani hapa kati mambo yaliingiliana sijuii alikumbwa na Nini maana ana madeni na mizigo ga watu mingi wanamdai tu the extent mpk anapelekwa polisi analipa
Yasemekana pia ukimdai sana anakublok paaap,na watu wengi wanalalamika hawalipi na wanadai pesa za Mizigo
Faiza mwenyewee alishakiri kua anadaiwa na alitaka kuuza nyumba alipe madeni watu wakamshauri asiuze alipe pole pole
Kero yake ni kua ukimdai unakula mitusi na blok juu na huna Cha kumfanya ,mtoto wa mjini tenaa...
Jana Naona mange Kamlipua paaap Yaani hizo testimony za watu wanaomdai mpk huruma ,Mungu amsaidiei alipe.
Na Sasa hivi kaanzisha mchezo wa kupeana ila Bado watu wataenda
Nimegundua online business bongo Bado sana wengi wafanyabiashara ni matapeli tapeli tu,na hawana mitaji ya kuovercome losses Incase ikitokea
Ndo maana faiza Leo anaonekana tapeli
Maana pesa hawana isipokua Drama tu za mitandaoni
Lingine unaagiza mzigo January unatumia December

Ila watanzania tulivyo wajinga Bado watu wataendella kuagiza pia Ili bàadae walalamike tu
Watu Sasa hivi hawaogopi Mungu wanafanya wanavojua ,yaani ht umpelelek wapi bad anaendeleza mambo yake


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Narudia tena sio kila mtu ni mfanya biashara.

Biashara ni kipaji cha hali ya juu sana ndani yake kuna (financial management) ukiiweza hii wewe utaweza kufanya biashara vizuri sana.... hapo bado kukuza mtaji na bado ujapambana na kero mbalimbali za biashara na za mamlaka.

Haimaanishi ukiwa maarufu au star basi wewe unaweza pia kufanya biashara hapana.

Jitafute kwenye maisha unafit wapi zaidi then simamia hapohapo..
 
Back
Top Bottom