Maishaa ya show off waafrica wengi yanatuumiza kutaka kushindana tuonekane tumeyapatia maishasijui kwa nini hatujifunzi kwa wahindi, wao utawadhania masikini ukiwaona kumbe hawana mchezo na matumizi ya ovyo mpaka pale biashara zao zinapoimarika.
Namkumbuka yule Jetu Patel aliposhitakiwa kwa kesi ya rada (dola milioni 2), ukimuona ulidhania masikini fulani hivi kumbe jamaa ni milionea
[emoji23][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23]why pampazi jamani dahsijui wanakwama wapi alafu unampa faiza ambaye anavaa pampaz kwenye partyπ
Alipata mnoo Tena na hivi star Watu walimuamini sanana faiza hapo ni mwenyewe kashindwa ,line upp ya wateja alipata vizuri tu
Alivaa pampaz live kwenye sherehe[emoji23][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23]why pampazi jamani dah
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji12][emoji1][emoji1][emoji23][emoji4]yaani anagonga wine miguu juuuHappy atakuwa na Sherehe huko leo[emoji1787]
Yaani Faiza akitulia ni Bonge la demuuHahaha
Ana sauti nzuri sana huwezi hisi kama nati zimelegea[emoji16]
Na hawezi mpata HappyHuyu kinachomponza ni kushindana na Happy basi...hapo ndo ataumia mpaka aondoke duniani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na alivyo na sifa yeye na Mumewe sasa....
Watapiga na Vigelegele Aki...
Nakumbuka na Ndo alianzia kuvumaga kipindi hiko mpk Leo yaani hua nikimtazama simmaliziAlivaa pampaz live kwenye sherehe
sijui alimaanisha nini.
Alafu mtu unampa hela akuletee mzigo utakua unaumwa
Kampuni zipo na zinajulikanaSafi sana Faiza, Tanzania tuna idadi kubwa sana ya watu wazima wasio na akili ukifanikiwa kuwatumia kama rasilimali katika biashara yako unatusua mapema sana.
Kampuni rasmi za kuagiza mizigo zipo, ila jitu mbumbumbu bado linataka shortcut na kuagiza kwa mtu ambaye hana hata ofisi. Stupid
Sasa hivii Kila mtu mjasiriamali ,mfanyabiashara yaani tabu tupuMnafanya biashara na mtu ambaye siyo mfanyabiashara wala hana idea
Na biashara mnategemea nini
Tatizo tanzania biashara zimevamiwa
Ova
Acha wale brandKampuni zipo na zinajulikana
Lakini,eti watu wanamkimbiliaaaa faiza [emoji1] wenyewe wanakuambia Ana brand
Ova
Kabisa ...yaan anafanya happy azidi kumpenda sugu, ahisi labda yuko exceptional [emoji16]...kume anamiliki kiba 100Na hawezi mpata Happy
Kwanza angejua angekaa kimya wakati mwingine ukute ndoa ya Sugu na yule dada inadumu Kwa sababu ya Faiza ukichaa wake
Maana Happy ht afanyweje hawezi Toka asilani
Ila km angetulia ukute ingekua kishanuka Sasa yeye anampa Happy attention mnoo na kujishindanisha nae
Wakati mwenziwe anamrusha roho kusudi tuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]witn hamna kituKabisa ...yaan anafanya happy azidi kumpenda sugu, ahisi labda yuko exceptional [emoji16]...kume anamiliki kiba 100
Kulikuwa na ulazima gani kutaja pampazi ππππ[emoji23][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23]why pampazi jamani dah
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuna watu hawana uchungu na pesa kabisaDunia hii unampa mtu pesa ya biashara akuletee mzigo duh
Wahindi noma sana kula yao sasa....utachoka, wale watu wanajua kubana bajeti to the maximum point. Nili'date na mmoja arusha, Outings nyingi anasisitiza kula chakula cha bei ya chini wakati mlipaji ni mimi.....maji chupa moja tu ziletwe glass mbili, juice sasa dooh...ila alinifunza sana yule binti.[emoji23][emoji23]sijui kwa nini hatujifunzi kwa wahindi, wao utawadhania masikini ukiwaona kumbe hawana mchezo na matumizi ya ovyo mpaka pale biashara zao zinapoimarika.
Namkumbuka yule Jetu Patel aliposhitakiwa kwa kesi ya rada (dola milioni 2), ukimuona ulidhania masikini fulani hivi kumbe jamaa ni milionea