[emoji2][emoji2][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji13][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]daahhhKumbe uliporwa [emoji1]
Ova
We kaka Mungu anakuona[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]ngudu Kuna madon ujueImagine BRO kuporwa demu na mtu kutoka Ngudu.. [emoji24]
Sahihi kabisaHiyo biashara ya kuagizia watu vitu China haitakiwi kufanywa na maskini kwasababu mchina akizingua kidogo tu huwa ni janga kwa mwagizaji na mteja wake. Ikifanywa na mtu mwenye uwezo wake ni rahisi kufidia na pia mtu ambaye hana njaa ni ngumu kuingia tamaa za kifala kuzungusha kwanza hela ya mteja kwenye ishu zake binafsi. Hao kina Faiza wanachofanya ni kutumia hela za watu kuzungusha kwenye biashara zao kwanza ndo maana mizigo inachukua hadi miezi 4 haijafika. Na wengine hela hiyohiyo atataka afanye show off. Nadhani mtu kama Salaah ana wababe wengine ndo wanastahili kufanya hiyo biashara sio hawa makapuku kina Faiza na wahuni wengine.
😄 Ngudu hata uwe Don bado unahesabika mshamba. Maisha sio hela tu.We kaka Mungu anakuona[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]ngudu Kuna madon ujue
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyo aliepost nae kawaliza watu arusha akiwemo dada yangu,nae mulemule heri ukanunue vitu kwacash kuliko kuagizaYaani Mimi jamani muoga mnoo kwanza Hela yenyewe ya ngama Sasa kuitapanya Nako wewe...big nooo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
kuna sisi hapa, wazee wa kuorder kwa wajasi wa IG.
Mie sikomi… siku nikipigwa ndio nitashtuka. Ila kwa sasa, na kuorder bidhaa kuendelee [emoji16]
Usishabikie haya mambo hayana mantiki haswa kwa waagizaji wadogo wanaofanya consolidation kwa kushare continer kuna risk kubwa watu wanafariki kwa presha kile kipande mzigo upo majini karibu siku 14 na zaidi ba kuna pesa ndefu zipo herani.
Watu washafanya consolidation mzigo ukabuma njiani huyo aliagizia watu hajui afanyaje yeye kalost ila je wenzie watamuelewa nn?
Juzi tu hapa containers hapo TICTS zilidondoka na kuleta hasara ...Hayo mambo ni risk sana ya kuagiza usishabikie kama hujui biashara.
Jamani Hornet hiyo avatar Nini lakini🤣🤣🤣My order na Vipodozi Jamani
Nikiwatapeli basi tena [emoji1787][emoji1787]
Ila wasaniii [emoji119], Faiza aliweka mzigo kwenye container la mtu akamsusia [emoji23][emoji23] pesa ya kutoa sijui alikua hana
Ushaambiwa mastaa wengi bongo ni choka ile mbaya ila wanaigiza maisha tu na ndiyo maana wengi wao wanaishia kurogana tu na kuwashusha wenzao.Hii guys
Haya mambo ya mjini Daslam socialite Faiza na asieshiwa vituko amelipuliwa na kashfa za utapeli Kwa Baadhi ya watu waliompa Pesa awaletee mzigo kutoka China
Ukimbukwe miaka kadhaa iliyopita alianza biashara ya kwenda China kunnua vitu unampa Pesa anakuagizia then mizigo ikifika unafata
Sasa baasi nadhani hapa kati mambo yaliingiliana sijuii alikumbwa na Nini maana ana madeni na mizigo ga watu mingi wanamdai tu the extent mpk anapelekwa polisi analipa
Yasemekana pia ukimdai sana anakublok paaap,na watu wengi wanalalamika hawalipi na wanadai pesa za Mizigo
Faiza mwenyewee alishakiri kua anadaiwa na alitaka kuuza nyumba alipe madeni watu wakamshauri asiuze alipe pole pole
Kero yake ni kua ukimdai unakula mitusi na blok juu na huna Cha kumfanya ,mtoto wa mjini tenaa...
Jana Naona mange Kamlipua paaap Yaani hizo testimony za watu wanaomdai mpk huruma ,Mungu amsaidiei alipe.
Na Sasa hivi kaanzisha mchezo wa kupeana ila Bado watu wataenda
Nimegundua online business bongo Bado sana wengi wafanyabiashara ni matapeli tapeli tu,na hawana mitaji ya kuovercome losses Incase ikitokea
Ndo maana faiza Leo anaonekana tapeli
Maana pesa hawana isipokua Drama tu za mitandaoni
Lingine unaagiza mzigo January unatumia December
Ila watanzania tulivyo wajinga Bado watu wataendella kuagiza pia Ili bàadae walalamike tu
Watu Sasa hivi hawaogopi Mungu wanafanya wanavojua ,yaani ht umpelelek wapi bad anaendeleza mambo yake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Fine senkyuHi,
How are you?
😂😂 najua we huwezi kutapeli.My order na Vipodozi Jamani
Nikiwatapeli basi tena [emoji1787][emoji1787]
Ila wasaniii [emoji119], Faiza aliweka mzigo kwenye container la mtu akamsusia [emoji23][emoji23] pesa ya kutoa sijui alikua hana
[emoji23][emoji23] najua we huwezi kutapeli.
Nakuja ku order [emoji3059]
Akamsusia huyo mtu? Mtu si anaenda zake kuviuza [emoji1787]
Jamani Hornet hiyo avatar Nini lakini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Simaanishi watu waende china wenyewe, mbona unaagiza tu online huku unakunywa chai yako na unapigwa vumbi lako la bongo lkn wachina wanakufungia mzigo ndani ya siku kadhaa unafika.Jamani msiwalaumu,watu wote wafuate mzigo china?
Kumbuka watu wengi hawana exposure , mwingine hata hajui anaanzia wapi!
Hata hivyo mwanzo watu walimsifia alikuwa analeta mzigo vzr tu, sijui sshv kakutwa na nn, may be ndo ups n down za bness
Naogopa kukupoteza,akikukiss unaeza zama Kati ya mdomoni au puani upotelee humo🙆[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shemeji yako huyo
[emoji13][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji1]daahhh[emoji1] Ngudu hata uwe Don bado unahesabika mshamba. Maisha sio hela tu.
Asehhh...mjini kumbe kuwahiana tuuHuyo aliepost nae kawaliza watu arusha akiwemo dada yangu,nae mulemule heri ukanunue vitu kwacash kuliko kuagiza
Kaaahh...labda gharama za kutoa zilikua kubwaaMy order na Vipodozi Jamani
Nikiwatapeli basi tena [emoji1787][emoji1787]
Ila wasaniii [emoji119], Faiza aliweka mzigo kwenye container la mtu akamsusia [emoji23][emoji23] pesa ya kutoa sijui alikua hana
Kuna mda anatia huruma ujueKama wanaona Faiza anawaibia si wakaagize Silent ocean....Hana baya Faiza wangu changamoto tu za Corona zilimkumba