Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

 
Nipo kawaida tu.

Isipokuwa nawaasa vijana wasome. Kila kinachosomeka wakisome. Kuna njia rahisi sana ya kujielimisha mwenyewe. Ataependa nitamjuza.
Ni upi unaweza kiri kuwa ni madhaifu yako Na huwa unayadhibiti vipi yasije kukugharimu katika shughuli zako Na mahusiano Na watu wengine!
 
0.Mtazamo wako vitabu vina uwezo wa kubadilisha maisha?
1.Unasoma vitabu vingapi kwa mwaka?
2.Aina gani ya vitabu unapenda kusoma?
3.Tupe majina ya vitabu vyako kumi bora ulivyowai kusoma?
4.Kwa mtu ambaye anataka kuanza kusoma vitabu,aanze na kipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…