Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

Jibu na yakwetu uyu dj mizinguo sana anahodhi mjadala alafu anaenda speed yakinyonga.



Swali langu ni kwann awamu hii umepowa sana hautumii nguvu nyingi kutetea serikali ya Magufuli kama ulivyokuwa unatetea serikali ya Jakaya? nini kimekusibu?


Swali la pili: Unaonaje utawala wa Magufuli? unahisi anatupeleka sehemu sahii sisi taifa la tz?

Nna uhakika Rais ana nia njema kabisa. Kinachotustua ni style yake ya kuongoza.

Elewa kuwa Magufuli anasimamia na kutekeleza ilani ya CCM. Magufuli anatekeleza ilani ya CCM to the dot.

Mapungufu ya ilani hiyo hayakufafanua itekelezwe vipi, imeainisha tu ya kufanyiwa kazi, vipi yatafanyiwa kazi haikuwekwa.

Kuna daladala moja niliisoma imeandikwa "chizi kapewa rungu", ikanifikirisha sana. Nikacheka.
 
Nna uhakika Rais ana nia njema kabisa. Kinachotustua ni style yake ya kuongoza.

Elewa kuwa Magufuli anasimamia na kutekeleza ilani ya CCM. Magufuli anatekeleza ilani ya CCM to the dot.

Mapungufu ya ilani hiyo hayakufafanua itekelezwe vipi, imeainisha tu ya kufanyiwa kazi, vipi yatafanyiwa kazi haikuwekwa.

Kuna daladala moja niliisoma imeandikwa "chizi kapewa rungu", ikanifikirisha sana. Nikacheka.
Hongera sana Bibi.

Bora unyamaze kutoishabikia maana ina mapungufu kama ulivyosema huku M/kiti hataki kushauriwa
 
Hapo nyuma kidogo kuna bandiko unadai kuwa ulikatishwa ndoto yako ya kusoma ili uolewe ,sasa je ni kitu gani hasa kilichochagiza suala hilo?

1)Je familia yako ilikuwa haijiwezi kiuchumi mpaka wakaamua kukuoza ili wapoze machungu ya ugumu wa maisha?

2)Je ulikuwa machepele sana kiasi kwamba wazazi wako wakahofia unaweza kuwaletea mimba isiyo na baba nyumbani mwisho wa siku ukawatia aibu?

3)Je kulikuwa na ulazima wowote wa ziada uliopelekea wewe kuolewa angali mdogo kiumri?

Na je kama uliolewa hali ya kuwa bado hujamaliza masomo yako sasa je;

1) Huyo mume wako ndiye aliyekulipia karo ya shule na vyuo mpaka unahitimu au ni wazazi wako ndiyo waliosimamia suala hilo?

2)Ni changamoto zipi ulizokumbana nazo wakati unasoma na pia ni mke wa mtu?

3)Je ulijiunga na shule kabla hujamzalia mume wako au ulimzalia baada ya kuhitimu?

4)Kitu gani kilichopelekea urudishwe tena shule wakati hapo awali ulikatishwa masomo yako?
Maswali yako yote nimeyajumuisha kwenye jibu moja...

Hapana, niliamua mwenyewe kuoana na Mume wangu, huku nikijiuliza ntaendelea kusoma kweli? Nikajikuta katika dilemma "niolewe nisiolewe niendelee na masomo? ". Mahaba niue nikaamua ndoa.

Kwa bahati nzuri kabisa nikajikuta nimeoana na mtu ambae from day one ameni encourage kuendelea na masomo na akawa msaada mkubwa kwangu kimasomo.

Hakukuwa na sababu yoyote ya uwezo. Kwani nilibahatika kusomeshwa bure na serikali ya huko nilipoishi (si Tanzania) kwa wakati huo.

Changamoto hazikuwa nyingi kwa sababu mume wangu alikuwa akifanya kazi za kwenye visima vya mafuta, kurudi kwangu kusoma ilikuwa faraja kwangu na kwake maana alikuwa anafanya kazi nchi tofauti tofauti na kulikuwa na gap ya kuonana. Masomo yakani keep busy.

Sikuolewa mdogo sielewi hilo umelitoa wapi? Nimeolewa umri wa halali kuolewa kidini na kiserikali.

Kumbuka nimeolewa tayari nikiwa Chuo Kikuu.
 
1) Hapana, niliamua mwenyewe kuoana na Mume wangu, huku nikijiukiza ntaendelea kusoma kweli? Nikajikuta katika dilemma "niolewe nisiolewe niendelee na masomo? ". Mahaba niue nikaamua ndoa.

Kwa bahati nzuri kabisa nikajikuta nimeoana na mtu ambae from day one ameni encourage kuendelea na masomo na akawa msaada mkubwa kwangu kimasomo.

Hakukuwa na sababu yoyote ya uwezo. Kwani nilibahatika kusomeshwa na serikali ya huko nilipoishi (si Tanzania) kwa wakati huo.
Shukrani Bibi
 
Nadhani sijachelewa sana.Naomba niingie kwenye maswali tangy
1)Hali ya sasa ya kisiasa nchini una lipi la kusema?
2)Katika tukio hili lililotokea la Mb Tundu lissu la kupigwa risasi una mtizo gani kwa upande wako?.
3)Tumeshuhudia wananchi wakikosa imani kwa vyombo vya ulinzi na usalama je hali ikiendelea haiwezi kupelekea machafuko?
4)Nini kifanyike kukombowa wimbi la vijana wasio na ajira?
Shukrani.
 
Mie nataka nijue mama hilo jina la faiza foxy ni jina lako halisi na hiy avatara ni wew na kama sio wew huyo mama ulomuweka kweny avatari unajifunza nin kutoka kwake
Kuhusu jina, jibu lake ni hili...
Kama wa zamani utakumbuka kuna movie ikiitwa Black Mama White Mama. Mmoja wa ma actress, Pam Grier, alifanya movie iitwayo Foxy Brown. Akasahaulika jina lake halisi la Pam Grier na akawa maarufu kwa jina la Foxy Brown.

Enzi hizo wakanifananisha nae.

Kuhusu avatar huyo si mimi huyo ni Lisa Valentine kisa chake kilinifanya nimkubali sana. Kisome kisa chake hapa: US judge jails Muslim woman over head scarf - World News - SINA English
 
faiza heshima yako mkuu....


1. umeajiriwa ?
2. mwanao wa kwanza ana umri gani ?
3. nje ya tanzania ushasafiri wapi na wapi ?

4.. unaonekana mtu wa imani sana, je huwa unatoa fungu la kumi ?

5. kama ukipewa nafasi ya kuwa kiongozi jf , ni jambo gani ungerekebisha ambalo halipo sawa ?

6. tupe ratiba yako kwa siku kuanzia unapoamka hadi unapolala
1) Sijaajiriwa, naajiri.

2) Kuulizana umri ni ubaguzi, AlhamduliLlah wanangu wote ni watu wazima na shughuli zao.

3) AlhamduliLlah, nimebahatika kusafiri sana tena sana. Zaidi ya nchi 100 duniani.

4) Mimi ni Muislam, Waislam hatuna "fungu la kumi" Waislam tuna Zaka. AlhamduliLlah natoa Zaka.

5) Ban zingezidi kwa members wasio na heshima. Ningehakikisha JF inakuwa "cited" bila mtu kuona haya kuwa ni member wa JF.

5) Siku zangu hazilingani kila siku, itakuwa ngumu kuweka ratiba. Siishi kwa ratiba ispokuwa kuna mambo muhimu ambayo siyakosi kila siku. Kuswali na kuongea na wanangu wote. Labda nisiwapate kwenye simu.
 
Asante My friend Transcend!
Kuhusu kupunguza siku za interview nitalifikiria kuanzia wiki ijao,maana itabidi kurekebisha ratiba yangu ambayo kwa kweli imejaa.

Ushauri kwa members wengine wameusikia
Regard
DJ sepetu.
Mkuu ungejaribu kuziyanya interviews kuanzia mida ya saa kumi ivi, watu wengi wanakuwa flexible, binafsi ile ya miss natafuta ilinipita
 
1) Sijaajiriwa, naajiri.

2) Kuulizana umri ni ubaguzi, AlhamduliLlah wanangu wote ni watu wazima na shughuli zao.

3) AlhamduliLlah, nimebahatika kusafiri sana tena sana. Zaidi ya nchi 100 duniani.

4) Mimi ni Muislam, Waislam hatuna "fungu la kumi" Waislam tuna Zaka. AlhamduliLlah natoa Zaka.

5) Ban zingezidi kwa members wasio na heshima. Ningehakikisha JF inakuwa "cited" bila mtu kuona haya kuwa ni member wa JF.

5) Siku zangu hazilingani kila siku, itakuwa ngumu kuweka ratiba. Siishi kwa ratiba ispokuwa kuna mambo muhimu ambayo siyakosi kila siku. Kuswali na kuongea na wanangu wote. Labda nisiwapate kwenye simu.
Shukrani Bibi
 
Umekielewa ulicho kikwoti?

Au umeamua kukwoti kila bandiko lililo mbele yako ili tujue uwepo wako?

[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Ili iweje? Ungeona humu kila post nai-quote kama ufanyavo wewe wengine hatupendi kucomments hovyo, kusoma tu comments za watu inatosha ila jamaa unaharibu mtiririko kuna vitu ambavyo unakuta mtu unasubiria vijibiwe na bibie wewe ushadakia na kuchafua mazngira.
 
Back
Top Bottom