Amiin. Kwa sote hiyo dua.nakupenda sana faiza.. allah akujalie kizazi chema, familia njema,akuhurumie na kukusamehe yalioya dhahiri na yaliyo yasiri...
nataman ningemuoa binti yako
Amiin. Kwa sote hiyo dua.
Usubiri wajukuu.
Anajibu yote ila alipewa angalizo, aanze kujibu maswali ya aliyeomba mkabala (interview).Hivi Faiza kaja kujibu maswali yako tuuu[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
= ajiliTatizo huyu binti Dj kashawatishia watu kuhusu maswali, nadhani kakuita kwa ajiri yake tuu,
Mzee mwenzangu kwanza habari za masiku
Nna uhakika Rais ana nia njema kabisa. Kinachotustua ni style yake ya kuongoza.
Elewa kuwa Magufuli anasimamia na kutekeleza ilani ya CCM. Magufuli anatekeleza ilani ya CCM to the dot.
Mapungufu ya ilani hiyo hayakufafanua itekelezwe vipi, imeainisha tu ya kufanyiwa kazi, vipi yatafanyiwa kazi haikuwekwa.
Kuna daladala moja niliisoma imeandikwa "chizi kapewa rungu", ikanifikirisha sana. Nikacheka.
Kuanza kumkosoa kwa spelling wakati unajua wazi huyo ni sawa Na bibi yako ni nn?
Nia yako ilikuwa ni kumdhalilisha kwa kisingizio tu huwa anakukosoa!
Sorry mkuu.
Kaka bora umerud dahhhh,,Hii tabia umeanza lini ya kuacha kunitag??
Ipo inaitwa Abdul - badry kama hujasoma dini kaa kimya mkuu .inasoma kwakuwataja mashwahaba wamwenyezimungu .Nailisomwa kwenye vita ya badry .so Abdul badry so shirki .Kwenye uislam hakuna kitu kinaitwa albadir full stop.
Sawa Bibi.Amiin. Kwa sote hiyo dua.
Usubiri wajukuu.
Ulisema kuchapia ni ruksa kwenye huu uzi.= ajili
Zamani enzi za jambo forums zilikuwa hoja za maana zinatamalaki, hata yule unaelumbana nae unajifunza kitu kwake.Salam kwako bi faiza unawezaje kuhimili mihemko ya members wa humu?
hongera kwa maelezo hayaAmini usiamini, siasa naichukulia kama ushabiki wa Simba na Yanga hainikoseshi usingizi.
Siasa, hususan za kwetu Tanzania, ni porojo tu za hapa na pale.
Siasa ni mchezo mbaya sana kwa wasioelewa maana ya neno siasa.
Siasa si uadui.
asante kwa majibu yako
swali lingine.wewe unavaa nguo za aina gani?
Hizo harakati uliniona wapi nikizifanya?Kwanini harakati zako za haki sawa huzifanyi msikitini?
Hahahahahahaaaa.Navaa nguo za aina zote, saa zingine sivai kabisa, inategemea na "situation".
Ulisema kuchapia ni ruksa kwenye huu uzi.
Vyote. Bila pesa huduma inakuwa muhali. Bila kuhudumia jamii pesa zinakuwa hazina faida.Bi Faizafoxy ni kipi hasa kina umuhimu ktk maisha yako ni pesa au kutoa huduma bure kwa jamii inayokuzunguka?.
Hapo juu umekanusha kuwa hauja olewa halafu chini yake umesema una miaka 35 tangu muoane na mumeo,imekaa kaaje hii?Hapana, sijaolewa.
AlhamduliLlah mimi na Mume wangu tumeoana kwa zaidi ya miaka 35 sasa.
Tuna watoto 5 nilipoteza wawili. La haula wala quwatta ila bi Llah.
Good evening!!
Baada ya interview nzuri Na miss natafuta,tunapenda kuwajulisha kuwa,mnamo saa kumi Na mbili jioni tutakuwa nae bibie Faiza foxy .
Ili kupata viovyo tofauti tofauti tunaomba ushiriki mwema Na wenye hekima kulingana Na umuhimu Na karba ya mgeni wetu Leo.
Asanteni.
Good evening!!
Baada ya interview nzuri Na miss natafuta,tunapenda kuwajulisha kuwa,mnamo saa kumi Na mbili jioni tutakuwa nae bibie Faiza foxy .
Ili kupata viovyo tofauti tofauti tunaomba ushiriki mwema Na wenye hekima kulingana Na umuhimu Na karba ya mgeni wetu Leo.
Asanteni.