Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Vyote. Bila pesa huduma inakuwa muhali. Bila kuhudumia jamii pesa zinakuwa hazina faida.
Kizungumkuti.
Huyo hajachapia, hajuwi wapi pakuweka R na wapi pakuweka L.
Ni darsa la bure hilo.
Wasidumazwe na starehe zisizo na mipango.
Wasome.
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Ili iweje? Ungeona humu kila post nai-quote kama ufanyavo wewe wengine hatupendi kucomments hovyo, kusoma tu comments za watu inatosha ila jamaa unaharibu mtiririko kuna vitu ambavyo unakuta mtu unasubiria vijibiwe na bibie wewe ushadakia na kuchafua mazngira.
Hapo juu umekanusha kuwa hauja olewa halafu chini yake umesema una miaka 35 tangu muoane na mumeo,imekaa kaaje hii?
Ukishasoma then what?Ipo inaitwa Abdul - badry kama hujasoma dini kaa kimya mkuu .inasoma kwakuwataja mashwahaba wamwenyezimungu .Nailisomwa kwenye vita ya badry .so Abdul badry so shirki .
nae[emoji735]Achana nae, asikupe shida huyo punguani.
Anahamu ya wanaume tu hana zaidi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ww umesema haipo that's y nikakwwmbia ipo .nasoshirki inasomwa msikitini pale msikitini hakuna miungu mingine .sasa unauliza nini kinatokea ??fanya tafiti kwawatu walosewa nini kiliwakumba .kiufupi so nzuri huwa inatafuna mpaka wasokuwepo wakimwepo watoto mke\mume .Ukishasoma then what?
Hyo albadir imethibiti wapi unaweza kunieleza? Au ndo wapotoshaji wenyeweWw umesema haipo that's y nikakwwmbia ipo .nasoshirki inasomwa msikitini pale msikitini hakuna miungu mingine .sasa unauliza nini kinatokea ??fanya tafiti kwawatu walosewa nini kiliwakumba .kiufupi so nzuri huwa inatafuna mpaka wasokuwepo wakimwepo watoto mke\mume .
Pole sana Mama kwa kupoteza watoto wako wawili hapo kwenye kuoana hata sijaelewa umenijibu haujaolewa halafu tena umeniambia mmeoana na mume wakoHapana, sijaolewa.
AlhamduliLlah mimi na Mume wangu tumeoana kwa zaidi ya miaka 35 sasa.
Tuna watoto 5 nilipoteza wawili. La haula wala quwatta ila bi Llah.
Neno kuabudu lina maana pana sana.FaizaFoxy, hebu angalau kwa ufupi, uhuru wa kuabudu dini ya Uislam katika nchi za magharibi ukoje ukilinganisha na Afrika hasa Tanzania?
ShukranNeno kuabudu lina maana pana sana.
Kuabudu si kuswali pekee kama wengi wanavyofikiria.
Ibada ni kufanya yote ya halali na kuwacha yote ya haramu.
Ni mada kamili yenye mengi sana. Maisha anayoishi mwanadam huwa na mambo mengi, moja linaweza kuwa ni haramu kwa Muislam lakini si haramu kwa asiye Muislam likaleta utata.
Ndiyo maana tunaamrishwa tukumbushane mema na tukatazane mabaya.
Kuna kisa kimoja cha Sheikh mkubwa wa AL Azhar, Misr, alienda kutembea nchi za Magharibi kwa ziara ndefu. Aliporudi Misr, aliulizwa umekuta nini huko? Akajibu huko "nimekuta Uislam lakini Waislam hakuna, hapa kwetu Waislam wengi Uislam hakuna".
Sijapata kusikia wala kuona "albadiri" ikisomwa msikitini.Ww umesema haipo that's y nikakwwmbia ipo .nasoshirki inasomwa msikitini pale msikitini hakuna miungu mingine .sasa unauliza nini kinatokea ??fanya tafiti kwawatu walosewa nini kiliwakumba .kiufupi so nzuri huwa inatafuna mpaka wasokuwepo wakimwepo watoto mke\mume .
Of course ya kutungwa.Kwahiyo ni ya kutunga
hii ni ukweli mtupu, yaani kuna muda unaamua hata usifuatilie maana unakutana na comments za story hadi unaona uvivu kufuatilia hiyo interview maana ni mvurugano tu.[/QUOTE]3 . HUU NI USHAURI WA MEMBERS WENGINE
Naomba tuwe na NIDHAMU ya interview kama tunataka kweli tujifunze, hizi interview sio kwa ajili ya kufurahisha tuu ila kuna mambo mengi ya kujifunza. Kwenye interview mtu anaweza kushare kitu adimu sana lakini kama kila mtu anauliza maswali tena bila mpangilio lazima tupoteze point na mengine hayatajibiwa kabisa.
Sehemu b, wasomaji tuache kupiga stori kwenye interview ya mtu. Hii kiti kinakera sana kwenye interview watu wanapiga stori kama wako pm...sio ishu naomba tuache wakuu.
Tuwe na ustaarabu ili tufaidi hizi interview. Nimesema hili na mimi nikiwa ni mmojawapo ya watu wenye hiyo tabia.
Kuna watu wanapenda kuingilia na kuaribu thread , tutakuombea BAN tuu. No way.
MIMI NIMEACHA HII TABIA. LEO MWISHO.
[/color]
1) Malezi sasa hivi yamekuwa magumu sana. Wewe unajitahidi kulea na TV nayo inalea vingine. Play stations zinalea vingine. Day care wanalea vingine, a kianze chekechea nako anakumbana na malezi mengine.FaizaFoxy mimi nauliza maswali kadhaa tu ya mwisho kwa kuwa yale mengine umenijibu vyema..Nimevuta subra kama ulivyosema..
Sasa maswali yangu ni haya..
1: Unachukuliaje suala la Malezi ya watoto hasa katika kipindi hiki cha Utandawazi? Uonavyo wazazi wanatimiza wajibu wao ipasavyo??
2: Kuna dhana imejengeka kwenye jamii yetu kuwa Mwanamke akipata elimu anakuwa na kiburi/majivuno na kumuona mumewe hafai, wewe unaonaje hili suala ni sawa au sawa? Je wewe limeshakukuta??
3: Ni kweli kuwa baadhi yenu nyie wanawake hampendani ninyi kwa ninyi?? Nini huchangia hili??
4: Ukipewa nafasi ya kuongeza/kupunguza kitu hapa JF ungeongeza nini au kupunguza nini...je unawashauri nini wamiliki wa mtandao huu pendwa??
5: Unawashauri nini vijana wanaotafuta mafanikio kwa njia za mikato (shortcut)??
Na mwisho kabisa unapendelea kufanya nini upatapo muda wa ziada..
(Mimi maswali yangu ni hayo tu, ukinijibu nitashukuru sana, asante)