Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

Vyote. Bila pesa huduma inakuwa muhali. Bila kuhudumia jamii pesa zinakuwa hazina faida.

Kizungumkuti.
7fe5750a62a91d4128dcf84e7184aa33.jpg


Sawa Bibi. Asante kwa Busara zako. Nakuona ulikua unauza Nyago siku ile ITV

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili iweje? Ungeona humu kila post nai-quote kama ufanyavo wewe wengine hatupendi kucomments hovyo, kusoma tu comments za watu inatosha ila jamaa unaharibu mtiririko kuna vitu ambavyo unakuta mtu unasubiria vijibiwe na bibie wewe ushadakia na kuchafua mazngira.
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Ukishasoma then what?
Ww umesema haipo that's y nikakwwmbia ipo .nasoshirki inasomwa msikitini pale msikitini hakuna miungu mingine .sasa unauliza nini kinatokea ??fanya tafiti kwawatu walosewa nini kiliwakumba .kiufupi so nzuri huwa inatafuna mpaka wasokuwepo wakimwepo watoto mke\mume .
 
Ww umesema haipo that's y nikakwwmbia ipo .nasoshirki inasomwa msikitini pale msikitini hakuna miungu mingine .sasa unauliza nini kinatokea ??fanya tafiti kwawatu walosewa nini kiliwakumba .kiufupi so nzuri huwa inatafuna mpaka wasokuwepo wakimwepo watoto mke\mume .
Hyo albadir imethibiti wapi unaweza kunieleza? Au ndo wapotoshaji wenyewe
 
Hapana, sijaolewa.

AlhamduliLlah mimi na Mume wangu tumeoana kwa zaidi ya miaka 35 sasa.

Tuna watoto 5 nilipoteza wawili. La haula wala quwatta ila bi Llah.
Pole sana Mama kwa kupoteza watoto wako wawili hapo kwenye kuoana hata sijaelewa umenijibu haujaolewa halafu tena umeniambia mmeoana na mume wako
 
FaizaFoxy, hebu angalau kwa ufupi, uhuru wa kuabudu dini ya Uislam katika nchi za magharibi ukoje ukilinganisha na Afrika hasa Tanzania?
Neno kuabudu lina maana pana sana.

Kuabudu si kuswali pekee kama wengi wanavyofikiria.

Ibada ni kufanya yote ya halali na kuwacha yote ya haramu.

Ni mada kamili yenye mengi sana. Maisha anayoishi mwanadam huwa na mambo mengi, moja linaweza kuwa ni haramu kwa Muislam lakini si haramu kwa asiye Muislam likaleta utata.

Ndiyo maana tunaamrishwa tukumbushane mema na tukatazane mabaya.

Kuna kisa kimoja cha Sheikh mkubwa wa AL Azhar, Misr, alienda kutembea nchi za Magharibi kwa ziara ndefu. Aliporudi Misr, aliulizwa umekuta nini huko? Akajibu huko "nimekuta Uislam lakini Waislam hakuna, hapa kwetu Waislam wengi Uislam hakuna".
 
Neno kuabudu lina maana pana sana.

Kuabudu si kuswali pekee kama wengi wanavyofikiria.

Ibada ni kufanya yote ya halali na kuwacha yote ya haramu.

Ni mada kamili yenye mengi sana. Maisha anayoishi mwanadam huwa na mambo mengi, moja linaweza kuwa ni haramu kwa Muislam lakini si haramu kwa asiye Muislam likaleta utata.

Ndiyo maana tunaamrishwa tukumbushane mema na tukatazane mabaya.

Kuna kisa kimoja cha Sheikh mkubwa wa AL Azhar, Misr, alienda kutembea nchi za Magharibi kwa ziara ndefu. Aliporudi Misr, aliulizwa umekuta nini huko? Akajibu huko "nimekuta Uislam lakini Waislam hakuna, hapa kwetu Waislam wengi Uislam hakuna".
Shukran
 
Ww umesema haipo that's y nikakwwmbia ipo .nasoshirki inasomwa msikitini pale msikitini hakuna miungu mingine .sasa unauliza nini kinatokea ??fanya tafiti kwawatu walosewa nini kiliwakumba .kiufupi so nzuri huwa inatafuna mpaka wasokuwepo wakimwepo watoto mke\mume .
Sijapata kusikia wala kuona "albadiri" ikisomwa msikitini.

Si kweli.
 
3 . HUU NI USHAURI WA MEMBERS WENGINE

Naomba tuwe na NIDHAMU ya interview kama tunataka kweli tujifunze, hizi interview sio kwa ajili ya kufurahisha tuu ila kuna mambo mengi ya kujifunza. Kwenye interview mtu anaweza kushare kitu adimu sana lakini kama kila mtu anauliza maswali tena bila mpangilio lazima tupoteze point na mengine hayatajibiwa kabisa.

Sehemu b, wasomaji tuache kupiga stori kwenye interview ya mtu. Hii kiti kinakera sana kwenye interview watu wanapiga stori kama wako pm...sio ishu naomba tuache wakuu.
Tuwe na ustaarabu ili tufaidi hizi interview. Nimesema hili na mimi nikiwa ni mmojawapo ya watu wenye hiyo tabia.

Kuna watu wanapenda kuingilia na kuaribu thread , tutakuombea BAN tuu. No way.

MIMI NIMEACHA HII TABIA. LEO MWISHO.


[/color]
hii ni ukweli mtupu, yaani kuna muda unaamua hata usifuatilie maana unakutana na comments za story hadi unaona uvivu kufuatilia hiyo interview maana ni mvurugano tu.[/QUOTE]
watu wananogewa story kwenye interview,
wanatupoteza wapenzi wasomaji,
bora na wewe umeacha
uzi unafika mbaaali kwa stori za watu tu.
 
FaizaFoxy mimi nauliza maswali kadhaa tu ya mwisho kwa kuwa yale mengine umenijibu vyema..Nimevuta subra kama ulivyosema..

Sasa maswali yangu ni haya..

1: Unachukuliaje suala la Malezi ya watoto hasa katika kipindi hiki cha Utandawazi? Uonavyo wazazi wanatimiza wajibu wao ipasavyo??

2: Kuna dhana imejengeka kwenye jamii yetu kuwa Mwanamke akipata elimu anakuwa na kiburi/majivuno na kumuona mumewe hafai, wewe unaonaje hili suala ni sawa au sawa? Je wewe limeshakukuta??

3: Ni kweli kuwa baadhi yenu nyie wanawake hampendani ninyi kwa ninyi?? Nini huchangia hili??

4: Ukipewa nafasi ya kuongeza/kupunguza kitu hapa JF ungeongeza nini au kupunguza nini...je unawashauri nini wamiliki wa mtandao huu pendwa??

5: Unawashauri nini vijana wanaotafuta mafanikio kwa njia za mikato (shortcut)??

Na mwisho kabisa unapendelea kufanya nini upatapo muda wa ziada..

(Mimi maswali yangu ni hayo tu, ukinijibu nitashukuru sana, asante)
1) Malezi sasa hivi yamekuwa magumu sana. Wewe unajitahidi kulea na TV nayo inalea vingine. Play stations zinalea vingine. Day care wanalea vingine, a kianze chekechea nako anakumbana na malezi mengine.

Watoto wa siku hizi wanalelewa kwa shida sana, wanafikia mpaka wanachanganyikiwa, hawajuwi nani wakumfata.

Zamani tukilelewa na jamii nzima. Mtu mzima akikukuta njiani inafanya utovu basi atachukua hatua tena akiwa so proud kuwa a nafanya jema. Leo yanawezekana hayo?

Tujitahidi sana kuwa limit watoto na play stations na TV's.

Tunapowaanzisha shule tuhakikishe shule inafundisha maadili mema.

Ni hatari.
 
Back
Top Bottom