Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

Bibi umerusha jiwe gizani
 
[emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419]
Nakazia
 
Hapana, sijaolewa.

AlhamduliLlah mimi na Mume wangu tumeoana kwa zaidi ya miaka 35 sasa.

Tuna watoto 5 nilipoteza wawili. La haula wala quwatta ila bi Llah.
Hapana hujaolewa ila umeishi na mumeo kwa miaka 35 mbona sijakuelewa hapo
 
Ipo inaitwa Abdul - badry kama hujasoma dini kaa kimya mkuu .inasoma kwakuwataja mashwahaba wamwenyezimungu .Nailisomwa kwenye vita ya badry .so Abdul badry so shirki .
Hakuna maswahaba wa mwenyezi MUNGU kuna maswahaba wa mtume. Pia ni ahlul -badry sio abdul
 
Akiwa na mumewe havai ndo mana akasema inategemea na situation. Acha uvivu wa kufikiria
 
kwa nini unatumia jina FaizaFoxy?
Ulisoma telecom, umeisaidiaje jamii yako kwa elimu yako hiyo?
unaushauri gani kwa vijana katika suala zima la kutafuta kipato ktk mazingira magumu ya ajira na ugumu wa kibiashara
 
1) Sasa hivi siioni siasa.
2) Hili tatizo tusilichukulie kisiasa na jazba. Uchunguzi wa kina ufanyike na kila muhusika achukuliwe hatua kali za kisheria.
3) Kuna fitna kubwa sana kwenye mali. Tusikurupuke.
4) Waelimishwe ajira si kuajiriwa tu.
 
Umekuwa na mtazamo hasi sana kwa Mwl Nyerere na nchi ya Marekani,sababu ni nini?
Si kweli.

Ukweli hatuupendi. Niliishi wakati wa Nyerere nauelewa utawala wake. Hakuwa mtawala mzuri kwa namna yoyote ile. Tulikuwa masikini wa mwisho duniani wakati wake. Tulikaa foleni za chakula wakati wake.

Kwanini hatusemi ukweli?
 
I fly at night in the real sense, you can never avoid that when you travel a lot by air. But I never fly in the nude.

I do prefer my baths in the nude. What about you?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…