Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,059
Eti eeee sio yeyeNahsi sio Jose mwenyewe mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti eeee sio yeyeNahsi sio Jose mwenyewe mwenyewe
Unaogopa eeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ni upi unaweza kiri kuwa ni madhaifu yako Na huwa unayadhibiti vipi yasije kukugharimu katika shughuli zako Na mahusiano Na watu wengine!
emmyta Sakayo
Shunie joanah
Linamo ukhuty
Gentries
carbamazepine Kichwa Kichafu
geniveros Neybright stable woman
Na wengineo kujeeeeeniii ila msichapie tu hapa tupo na mwalimu wa waalimu
Hunter watu wataniita mleta fujo hapaWeka swali hunter hamna muda mwingine.
Pamoja hunter.Hunter host Muosha Rungu amemkataza msailiwa kujibu maswali ya members..Tuvute subira mpaka baaadaeee hukooo atakapomaliza yeye kumuuliza ndio sisi tuulize...kwa hiyo ukiuliza swali tegemea kujibiwa baadae sana au HILO TAYARI LIMESHAJIBIWA
Sijaona mantiki ya hoja yake hapa kwa maana inapendeza ajibu papo kwa papo na ndio raha ya interview..
Hunter mimi sina mengi, nikisema hapa baadhi ya wadau wananiona mchochezi na mleta fujo na wakati nauliza maswali ya kawaida tu
Kabadilika sanaAnakitafuta kiti cha muosha rungu kwa namna yeyote ile!
Hujaitwa kuja hapa,dharau zako peleka kwenye Uzi mwingine,wewe ni mtu mmoja mbaya sana,una wivu Na ujinga mwingi sana.nani aliyekupa kazi ya kuwa editor hapa?Niangalie nini?
Sasa hivi natumia simu, niki log in kwa PC nitaiona.Dah. Swali gumu sana.
Malengo binafsi hayana tena muda kwangu, sasa hivi malengo yangu ni kuelimisha yale machache niyajuayo. Umeiona signature yangu?
Sidhani ukimkosoa anaweza akakubali au akakataa inategemeaKuna mtu aliwahi kumkosoa na yeye akamwambia hivyo hivyo
Hii tabia umeanza lini ya kuacha kunitag??
Fresh hunterPamoja hunter.
stahamili [emoji735]Kutokustahamili pale mtu naona kabisa ananidanganya na anapiga porojo. Huwa sistahamili nampa ukweli. Hilo limenigharimu sana na nimejaribu kijizuwia lakini imeshindikana, nikikaa kimya dhamira huwa inanisuta.
Namuomba Allah usiku na mchana aniongeezee subra.
Naomba huyu mwanadada afutwe uanachama humu JFTehtehteh na kuna watu hapo wanatumia i.d za kiume!!!
Mnajiita TEAM UBUYU na mtu ana claim KE????
Joseverest, umekula nini leo eti?UKIULIZA MASWALI UNAAMBIWA UNAFANYA FUJO
Kumbe kuuliza maswali ni kufanya fujo? Haya endeleeni kunihisi vibaya ila sina lengo lolote baya la kumuudhi au kumchafua mtu...otherwise ni UTANI tu.. AsanteKabadilika sana
Binadamu tuko Na tabia tofauti tofauti tabia gani zinakupa ugumu kujichanganya Na watu !Kutokustahamili pale mtu naona kabisa ananidanganya na anapiga porojo. Huwa sistahamili nampa ukweli. Hilo limenigharimu sana na nimejaribu kijizuwia lakini imeshindikana, nikikaa kimya dhamira huwa inanisuta.
Namuomba Allah usiku na mchana aniongeezee subra.
Kijizuwia[emoji735]Kutokustahamili pale mtu naona kabisa ananidanganya na anapiga porojo. Huwa sistahamili nampa ukweli. Hilo limenigharimu sana na nimejaribu kijizuwia lakini imeshindikana, nikikaa kimya dhamira huwa inanisuta.
Namuomba Allah usiku na mchana aniongeezee subra.
GitheriJoseverest, umekula nini leo eti?