carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Shunie tayari twende tukaleTayari njoo ule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shunie tayari twende tukaleTayari njoo ule
Baby unaimba kwaya?wapi?Aitheee ndio nimetoka Kwayani sasa hv harta kuniita
Yani acha tu ni mateso bila chuki[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama nakuona akirudi data inazimwa [emoji1][emoji1]
Unaweza Fanya hivyo akiwa nyuzi zingine kumbuka hapa kuna watu wanafuatilia kimya tena ndio wengi,unaweza ona viewers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au simu kuzimwaYani acha tu ni mateso bila chuki[emoji23] [emoji23] [emoji23]
WoyooooNa pespi nishawanunulia
Wanaboa sana hawa hawana hekima na kichalaza maneno kabisa wao wanaleta habari tofauti wakati watu tunafatilia mahojiano mujarabu. MBADILIKENyie mademu acheni fujo
Pole mkuuNamtafuta shunie kaunguza mboga na andazi sioni leo dalili
Kwa hiyo leo muosha baada ya kupinduliwa kaamua kuwakomesha au[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo nimepewa upenyo
[emoji115][emoji115][emoji115]Linamo umeona ujumbe wa shunieNa pespi nishawanunulia
Mmh ebu atutume picha kwanza pm
Kazi kweli kweliNimeshamuogesha baba d ngoja namsikiliza kidogo mama faiza kidogo tu
Jifunze adabu.
Mbona hujawaita hao wanawake wote wanaoji chatisha humu na i.d za METayari njoo ule
Kwako maisha yana tafsiri ipi mujarabu kabisa?
Lengo lango la kuwa duniani ni lipi ikiwa utaulizwa!
Baby unaimba kwaya?wapi?
Hivi ww huwa ni KE??Pole mkuu
Mdada wa kazi wa nini tena jamaan bye [emoji137] [emoji137] natoka acha niendelee na kaziKazi kweli kweli
Bhasi ndo yule mdada wa kazi tumruhusu aje awe anakusaidia