Kama yapi mkuuYuko smart ila usmart wake mara nying anautumia kwa mambo ya kijinga
Yuko biased sana kwenye mambo ya siasa na dini na hilo linafahamika. Km hukujua jaribu kuchunguza.Kama yapi mkuu
kishapenda kikongwe mwenzio acha kuharibuu..πππYuko biased sana kwenye mambo ya siasa na dini na hilo linafahamika. Km hukujua jaribu kuchunguza.
[emoji23][emoji23] ..tatizo nimeishia darasa la 6Utasikia
Hizo shule mlienda kusomea ujinga
Kweli Kabisa yaani humu jf nzima hakuna kama faizasio kiasi Fulani, yupo upstairs vizuri kweli
Km unadhan avatar ile ni yeye bas hata avatar yako ni wwKweli Kabisa yaani humu jf nzima hakuna kama faiza
[emoji444][emoji444] niite jina langu bebii ,huenda nafsi yangu ikapoa ....shika moyo wangu bebii ,unavyokwenda mbio ww utapoaa ..kuna muda namuomba mungu angetuweka mapemaa ...ππ Mapeeenzi hayana mwenyeeewe, unaweza penda Kijana Au mzeeee!!
Yaani kitu real mkuu ..hakuna kufake hapaa .. si unaikumbuka ile nyimbo inaimbwa...;Km unadhan avatar ile ni yeye bas hata avatar yako ni ww
Muombe Radhi dada yetu umemdhalilisha sana na kumvunjia Heshima yake unapomwambie niweMsione hivi mwenzenu kila siku silali namuwaza huyu bibie mrembo na kipenzi cha moyo wangu FAIZA FOX Y.
Tatzo mm ni domo zege na ninahofia sijui niingie na gia gani ya kumtongoza bibie maana sio wa mchezo mchezo useme eti atakukubalia tu harakaharaka muwe wapenzi.
Kwakweli nimeamua kubadili mpaka dini ili nimpate bibie kipenzi cha moyo wangu,najua itakuwa sio rahisi lakini nitajitahidi mpaka nimpate mrembo huyu asiye na maringo wala majivuno.
Faiza fox bebi wangu mtarajiwa,nakuomba unionee huruma mwenzio silali,sipati hata hamu ya kula yaani nikiona post yako tu jf ninachoka kabisa, Najua utakuwa umeshaolewa kitambo lakini PLEASE naomba ufanye juu chini ikiwezekana niwe hata mchepuko wako kwani ukinikatalia naweza hata nikanywa sumu jaman ..
Naomba na WANA JAMII FORUM wenzangu mnisaidie jamani kuniunganishia kwa huyu cha moyo wangu jamani nateseka mimi.
Akina Mshana jr na wengine naomba sana jamani niko seriously jamani naombeni mniokoe nisije nikanywa sumu bure na nyie mpo mnaoweza kuniunganishia kwa bebi wangu wa moyo faiza foxy
_dume suruali_
Hahahaa 'FARU JOHN'Unaleta ufaru John? Itabidi utolewe Jf ili kutunza kizazi kijacho..
Kwani mtu unaye muheshimu huwezi kumpenda .?Muombe Radhi dada yetu umemdhalilisha sana na kumvunjia Heshima yake unapomwambie niwe
" hata mchepuko wako"
Kweli maneno haya unaweza kumuambia mtu unayemweshimu Kweli? Mtake radhi Dada yetu kwa kumdhalilisha na kumfedhehesha
Yaani huu ni wimbo wangu wa taifa mkuu ...kila nikiamka ninauimba ..Ukisikiaa ule wimbo wa "Nampenda bibi kizeee nampenda kikongwe" bila shaka utakuwa unafarijikaππππ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mama yetu faizafoxy njoo uone maajabu huku
Utasikia
Hizo shule mlienda kusomea ujinga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaa 'FARU JOHN'
Hapana jamani ...sema watu wanamchokozaga tu Makusudi faiza wangu..Yuko smart ila usmart wake mara nying anautumia kwa mambo ya kijinga