Faizafox anautesa moyo wangu jamani

πŸ™„πŸ™„ Mapeeenzi hayana mwenyeeewe, unaweza penda Kijana Au mzeeee!!
[emoji444][emoji444] niite jina langu bebii ,huenda nafsi yangu ikapoa ....shika moyo wangu bebii ,unavyokwenda mbio ww utapoaa ..kuna muda namuomba mungu angetuweka mapemaa ...
 
Km unadhan avatar ile ni yeye bas hata avatar yako ni ww
Yaani kitu real mkuu ..hakuna kufake hapaa .. si unaikumbuka ile nyimbo inaimbwa...;

Ama keep reeeeeal ..Ama keep Og
Ama keep reeeeeal ..Ama keep Og [emoji444][emoji444][emoji445]
 
Muombe Radhi dada yetu umemdhalilisha sana na kumvunjia Heshima yake unapomwambie niwe

" hata mchepuko wako"

Kweli maneno haya unaweza kumuambia mtu unayemweshimu Kweli? Mtake radhi Dada yetu kwa kumdhalilisha na kumfedhehesha
 
Yaani mkuu unampenda [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji3] [emoji3] huyu ndo FF mwenyewe sasa kazi kwako.
 

Attachments

  • tapatalk_1478770849768.jpeg
    13.7 KB · Views: 28
Muombe Radhi dada yetu umemdhalilisha sana na kumvunjia Heshima yake unapomwambie niwe

" hata mchepuko wako"

Kweli maneno haya unaweza kumuambia mtu unayemweshimu Kweli? Mtake radhi Dada yetu kwa kumdhalilisha na kumfedhehesha
Kwani mtu unaye muheshimu huwezi kumpenda .?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…