Faizafoxy Mwanamke wa shoka, ubishe usibishe

Kama alisoma hiyo kitu kwa miaka ile.. Salute&much respect.
 
Ungesema amepogwa shoka kama wanawake wengine ningekuelewa.
 
Ngoja nisubiri FaizaFoxy aje nione akiona hapo kwenye blue atafanyaje.
Je atapotezea sababu umemsifia vya kutosha, au shughuli itakua ni ile ile ya shule mmeenda kusomea ujinga au
Nasikia ana ban
 
Ni kweli huyu mama ni jembe lakini sio kuzidi wote..kuna mtu anaitwa kiranga huyu ni hatari sana.. au akina maxshimba..Jew..au kyoma au kichuguu..mkuu wa chuo n.k..kuna majembe yametulia
Kwani kiranga ni mwanamke?
 
 
Siku hizi jamaa umekua mweupe sana,,yaani wewe ndio wakuandika ujinga huu,,....
 
Hii inatusaidia nini kujua biography ya mtu ambae hata hatumii jina au picha yake halisi?
 
Naona mmekiri kawazidi uwezo wa kufikiri.
 
Wanaume wa dar busy kimdiscuss kibibi,haya sasa bado wema!
 
Ana uelewa mkubwa na uzoefu wa maisha lazima awabuluze vilaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…