Faizafoxy Mwanamke wa shoka, ubishe usibishe

Kama kuna mtu atamchukia huyu mwanamke labda kwasababu ya Dini yake tu

lkn kiukweli kabisa huyu mwanamke yupo makini

mm binafsi nafuatilia sana michango yake pia ningependa sana kumfahamu zaid
 
umerogwa?
 
"nina" Kiswahili ni tusi.
Kiswahili cha wapi "nina" ni tusi??? Labda kiswahili cha Korea. Ingawa "nina " inapopachikwa na maneno mengine kama "kum*** na kusomeka kum***nina inaweza kuwa tusi. Lakini hapa ninampa, "Ni" imetumika kama kiambishi cha nafsi, nafsi ya kwanza umoja....."Na" imetumika kama kiambishi cha wakati na hali, wakati uliopo. "Mpa"....ni mzizi. Sasa hiyo nina ambayo ni tusi umeitoa wapi????

Inzi akiacha ujinga kidogo ataweza kutengeneza asali.
 
Hivi ni jina lake halisia - ninaamanisha FaizaFoxy- sio jina la mtandaoni tu? Sio mwanamume huyu? Mimi siamini mpaka nimwone kikwelikweli!
 

Kiswahili hukijuwi.
 
Kama kuna mtu atamchukia huyu mwanamke labda kwasababu ya Dini yake tu

lkn kiukweli kabisa huyu mwanamke yupo makini

mm binafsi nafuatilia sana michango yake pia ningependa sana kumfahamu zaid
Wewe tu ndio unamuona ana maana lkn kwetu sisi tunao mjua ni 00000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…