FAIZAFOXY ni TUNU ya JF ni mama bora mwenye malezi bora tumkumbatie

FAIZAFOXY ni TUNU ya JF ni mama bora mwenye malezi bora tumkumbatie

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Amani iwe juu yenu wakuu

Nuru ya MUNGU iwaangaze

Naseseleka nayo

Jf kuna kila aina ya watu wapo wapole na wakorofi sana

Sitaki kuwazungumzia wengine Leo namuongelea mama yetu mpendwa FaizaFoxy ni mama wa makamo wala si bibi kama wengi wanavyojua, ni mama anayejishemu sana msomi wa ngazi za juu, mama huyu mwenye mihemuko na dini kupita Maelezo ni mama mdadisi sana ambaye kamezwa na uiccm

Mama huyu ni mama bora kuanzia alivyolelewa nyumban kwao na sasa anavyoishi kwake, mama huyu wanae wote pamoja na yeye ni watu wa MUNGU sana yaan waislam safi sana ambao kwa hakika wataiona pepo ya Allah subuhana wataara

Wito wangu kwa wana jf tumutumie vizur huyu bibi yetu maana ni moja ya tunu za jf

Ni mama mbalikiwa sana na mwingi wa hekima asiyekuwa na kinyongo na mtu

Abalikiwe sana bibi yetu huyu

Inshanlaa

N:B punguza tu udini bibi yangu

Nawasilisha

LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi umetumia criteria gani mpaka kufikia hatua kuyasema mawazo ya MUNGU kwamba yeye na wanaye Ni wachamungu na wataiona pepo?
 
Nilishamvua vyeo vyoote tangu nijue kuwa na yy ni extremist (itikadi kali) kupandikiza mihemko ya kidin kwenye platform kama hii.Yan bila kujal umri wa usomi wake ninamuona hovyoo tu.
Ushauri wangu ni:
Kila mtu ana dini na ana Mungu wake.Kama ni ulokole baki nao kama ni upagani baki nao kama ni uislam baki nao ni wako .usianzishe malumbano humu.
 
Amani iwe juu yenu wakuu

Nuru ya MUNGU iwaangaze

Naseseleka nayo

Jf kuna kila aina ya watu wapo wapole na wakorofi sana

Sitaki kuwazungumzia wengine Leo namuongelea mama yetu mpendwa FaizaFoxy ni mama wa makamo wala si bibi kama wengi wanavyojua, ni mama anayejishemu sana msomi wa ngazi za juu, mama huyu mwenye mihemuko na dini kupita Maelezo ni mama mdadisi sana ambaye kamezwa na uiccm

Mama huyu ni mama bora kuanzia alivyolelewa nyumban kwao na sasa anavyoishi kwake, mama huyu wanae wote pamoja na yeye ni watu wa MUNGU sana yaan waislam safi sana ambao kwa hakika wataiona pepo ya Allah subuhana wataara

Wito wangu kwa wana jf tumutumie vizur huyu bibi yetu maana ni moja ya tunu za jf

Ni mama mbalikiwa sana na mwingi wa hekima asiyekuwa na kinyongo na mtu

Abalikiwe sana bibi yetu huyu

Inshanlaa

N:B punguza tu udini bibi yangu

Nawasilisha

LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
siti ya mbele, nianze mimi kumkumbatia tafadhali, wengine mpange foreni!
 
Back
Top Bottom